Hotuba za Mgombea urais kupitia CHADEMA ni nzuri sana, haziwezi katu kurushwa live!

Ujasiri amezidi mara mbili. Kwa kweli anatisha sana
 
Tulia dawa iwaingie vizuri.
 
Jamaa anavutia kumsikiliza. Muwe mnatuma humu tumsikilize. Pia hakikisheni viongozi wenu na wanachama wenu na wapenda demokrasia wanashare hizi hotuba kwenye social media zao ambazo zina followers wengi.
🙏🏾
 
Ujasiri amezidi mara mbili. Kwa kweli anatisha sana
Ndomaana jana katikisha kibuyu cha bibi (wale tuliosoma zamani tunajua kilichompaka jamaa aliyeiba kibuyu cha bibi chenye karanga). Eti anataka mdahalo na Magu. Mimi nasema Magu aje na TCRA, TBC crews wote, Abbas, Polepole, Mwinyi junior, Musiba, G. Msigwa, mahindi ya kuchoma, jogoo na Chalamilla halafu Lissu asiruhusiwe kuingia na mtu yeyote hata na note book. Akimshinda kwenye huo mdahalo nahama nchi saa hiyohiyo
 
Kwanini utongoze mke wa mtu nikukosa maadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…