Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

It is true it is the real speech of Mwalimu that he made during May Day in Mbeya waya back in 1995. Listen to the original video. Mukitaka details kaongeeni na waliokuwepo siku hiyo huko Mbeya (Mkuu wa Mkoa Paul Kimiti, Katibu wa OTTU, Bruno Mpangalla)


Nadhani tatizo wengi hapa ni watoto wadogo. Mwaka 1995 walikuwa wengi hawajazaliwa ama walikuwa wakinyonya hivyo hawakuiona hiyo hotuba. Pia tatizo lingine hata kujishughulisha kusoma ama kusikiliza hotuba za zamani hakuna, vijana wengi wamekalia whatsapp na photoshop hivyo wandhani kila kitu ni uongo. Kwenye clip ya mtoa mada ni kwamba kachanganya picha kuonyesha ni alikuwa akimaanisha Mwalimu lakini sauti ni yake bila chenga. Watu wamezoea uozo wa whatsapp hivyo wanadhani kila kitu ni fake.
 
Last edited by a moderator:

Hii njia Haramu ya kutengeneza na kusambaza Ujumbe huu imegharamiwa na kusambazwa na January Makamba na Membe, wanatumia jina la Nyerere kimafia, wao wanatumia pesa kutengeneza na kusambaza Hiyo Fina yao na Lengo ni kumdhoofisha Lowasa ni pesa nyingi inatumika Hapo ina maana kuwa Membe na January wanatumia pesa kununua njia kuelekea ikulu kwa njia za kimafia, Mbinu za Membe na January ni mbaya kuliko watangaza nia wengine wote.
 
wote mnatoa pesa mnazidiana tu kiwango

Membe na January wao wanewekeza kwenye Umafia na fitna kutokana na Taaluma zao za usalama, mbinu za Haramu zinatumia pesa nyingi Kuliko njia za Lowasa, Makamba katunga kitabu, kagawa simu, sasa anatumia pesa Haramu toka kwa Rostam baada ya kuchepuka na dada yake, Membe yeye anatumia pesa za Marehemu Gadafii ambazo aliziiba baada ya kumuua balozi wa Libya kimafia na kupoteza Ushahidi, Lowasa yupo wazi wazi lakini wao wanatumia njia za chini kwa chini lakini zenye gharama kubwa zaidi, Membe na January kamwe watanzania hawadanganyiki, watanzania wa sasa wameamka hawataki longo longo na Unafiki.
 
Lowasa ni mwizi

Membe ni Mwizi wa pesa za Marehemu Gadafi na pesa za Ununuzi wa nyumba za Balozi huko Ulaya America na kwingine hata lile fungu la pesa za Wageni pale wizara ya mambo ya nje Membe huwa anapiga pesa nyingi, January Makamba ni mwizi amekuwa akitumia ikulu kujipatia 10% kwa kila Uwekezaji waliofika ikulu na ule mladi wa mararia alimwibia sugu na sasa anamchuna pesa Rostam Azizi baada ya kuchepuka na dada yake mwanvita, Hapa Tanganyika hakuna Kiongozi aliye msaafi kiasi cha kumnyooshea mwenzake Kidole, Wakiletwa FBI wawachunguze Viongozi Wote mmoja baada ya mwingine wote watakwenda Jela kwani Wengi wanamiliki nyumba mali Kinyume na Vipato vyao harisi.
 
Team Membe itakuwa Hembe na Mende. Raisi ajaye ni Lowassa, pesa zote team Kikwete walizo zificha Uswisi zitarudi nchini.

Pesa wanazotumia Membe na january kwenye fitna ni nyingi kuliko pesa ambazo wangetumia kwenye mbinu za kawaida kusaka uungwaji Mkono.
 
Sauti ya Nyerere kweli bado inaishi! Maneno haya aliyoyazungumza miaka 20 iliyopita, utafikiri ameyasema leo!!!!!????? Kweli Nyerere alikuwa lulu, hakuna ubishi!

Maneno ni lulu lakini Membe na January wanatumia Pesa nyingi kutengeneza video na kusambaza kote na fitna za kila aina na lengo lao ni kununua njia ya kuelekea ikulu je? Hayo maneno ya Nyerere hayawahusu Membe na January? Wanatumia jina la Nyerere kwa mbinu za kimafia.
 
Ujumbe mzuri huu, tujiulize tu anakimbilia Ikulu kufanya nini?

Ebu jiulize swali hili January na Makamba na Membe wametumia pesa nyingi kutengeneza na kusambaza hii video wakiwa na lengo la kujisafishia njia ya kuelekea ikulu, je? Hii si kununua njia ya kuelekea ikulu? Wote wenye nia ya URAIS wanatumia pesa hakuna asiyetumia pesa.
 
It is the real Speech of Nyerere, walichokifanya ni kuandaa image

Pesa za Marehemu Gadafi na pesa za kupewa na Rostam Azizi, hawana Uchungu na pesa zao maana wamenipa kirahisi pasipo kutoa jasho, ndiyo maana Membe na January wanazitumia kwenye fitna na Umafia badala ya kubuni njia bora na sahihi ambazo zingewasaidia kupata uungwaji mkono.
 
Back
Top Bottom