Membe ni Mwizi wa pesa za Marehemu Gadafi na pesa za Ununuzi wa nyumba za Balozi huko Ulaya America na kwingine hata lile fungu la pesa za Wageni pale wizara ya mambo ya nje Membe huwa anapiga pesa nyingi, January Makamba ni mwizi amekuwa akitumia ikulu kujipatia 10% kwa kila Uwekezaji waliofika ikulu na ule mladi wa mararia alimwibia sugu na sasa anamchuna pesa Rostam Azizi baada ya kuchepuka na dada yake mwanvita, Hapa Tanganyika hakuna Kiongozi aliye msaafi kiasi cha kumnyooshea mwenzake Kidole, Wakiletwa FBI wawachunguze Viongozi Wote mmoja baada ya mwingine wote watakwenda Jela kwani Wengi wanamiliki nyumba mali Kinyume na Vipato vyao harisi.