Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Ni kweli kuwa mtu anaetaka kwenda ikulu kwa pesa ni wa kuogopwa kama ukoma

Watu wa aina hii wote wapo CCM,sio Membe wala nani,wote ni wale wale

Hivi kuna ambaye hatumii pesa kwenda ikulu? Nitajie jina
 
Mmmmmh......... Tanzania ya 1992 sio ya leo 2015! Kuwa,makini usidanganyike na sauti

hotuba ya Mwalimu kwenye sherhe za mei mosi kitaifa mbeya? hujiulizi kwa nini TBC hawarudi hotuba za nyerere? ni hotuba za mchonga ni mwiba mkali kwa CCM ya leo
 
hotuba ya Mwalimu kwenye sherhe za mei mosi kitaifa mbeya? hujiulizi kwa nini TBC hawarudi hotuba za nyerere? ni hotuba za mchonga ni mwiba mkali kwa CCM ya leo

NItajie mtu hata mmoja asiyetumia pesa kusaka njia kuelekea ikulu
 
Jamani hee hapa kwenye JF pawekwe sehenu maalum, watu wenye hizi speech za mwalimu waweke nadhani zitatusaidia sana

Nitajie mtu mmoja asiyetumia pesa kusaka njia kuelekea ikulu
 
NItajie mtu hata mmoja asiyetumia pesa kusaka njia kuelekea ikulu

Mmeshikwa pabaya hahahahahaha hivi ukijiuliza Mzee wenu alikuwa na haraka gani kufanya movie zote hizo?
 
hotuba ilivyoanza kama walikuwa wanaangalia itv washabadili stesheni zamani,

unafiki wao unawasuta kutazama hotuba za Nyerere,

Membe na January wametumia pesa kutengeneza na kuisambaza Hiyo video sasa Hiyo si ni kutumia pesa kununua njia kuelekea ikulu?
 
Mmeshikwa pabaya hahahahahaha hivi ukijiuliza Mzee wenu alikuwa na haraka gani kufanya movie zote hizo?

Nitajie mtu mmoja tu asiyetumia pesa kwenda ikulu
 
Membe na January wangeteneza video na kuisambaza kwa pesa na lengo lao ni kwenda ikulu, wanatumia pesa kwenye Umafia wa kuchafuana kwenye mitandao nk ni pesa inatumika, je? Hiyo kauli ya Nyerere wanaikwepa vipi? Membe na January wamekurupuka na kutengeneza movie pasipo kutafakari kabla sasa inawatafuna wenyewe, hakuna asiyejua kuwa Membe na January wanatumia pesa nyingi sana kununua njia ya kuelekea ikulu tena kwa njia Haramu kwa pesa Haramu, hii kauli ya Nyerere inawatafuna sana najua huko walipo wanajutia walichofanya.
 
Ahsante kiongozi. Tataizo ni kwamba waTz wengi wenye uwezo ni waoga! Kama si kuogopa fitna, basi ni ushirikina!

Wengine wana vyote Mfano January Makamba yeye ni mpenda fitna na ni Mshirikina hakuna mfano na ni mwoga sana Ndiyo maana katengeneza video ya Lowasa baada ya kumwogopa sana.
 
January makamba na Membe wameungana wamewekeza Mabilioni wanatengeneza hiyo kazi na watahakikisha inasambazwa kote , Lakin wamesahau kuwa Watanzania wa sasa si wajinga wameshajua mchezo Woote na pesa wanazotumia kusambaza Fitna ni Nyingi kuliko pesa anazotumia Lowasa.

Tatizo hapa ni uchafu,rushwa, uchu wa madaraka alionao lowasa ulioonwa na mwalimu. Ikulu sio pango la wezi na mafisadi
 
Membe ni Mwizi wa pesa za Marehemu Gadafi na pesa za Ununuzi wa nyumba za Balozi huko Ulaya America na kwingine hata lile fungu la pesa za Wageni pale wizara ya mambo ya nje Membe huwa anapiga pesa nyingi, January Makamba ni mwizi amekuwa akitumia ikulu kujipatia 10% kwa kila Uwekezaji waliofika ikulu na ule mladi wa mararia alimwibia sugu na sasa anamchuna pesa Rostam Azizi baada ya kuchepuka na dada yake mwanvita, Hapa Tanganyika hakuna Kiongozi aliye msaafi kiasi cha kumnyooshea mwenzake Kidole, Wakiletwa FBI wawachunguze Viongozi Wote mmoja baada ya mwingine wote watakwenda Jela kwani Wengi wanamiliki nyumba mali Kinyume na Vipato vyao harisi.
hao wote ni mizigo ya takataka. tunataka kiongozi safi na bora
 
WOSIA WA BABA WA TAIFA.

Tukifika karibu na uchaguzi, vipindi vya kutafuta kura kutatokea na viongozi wa namna mbalimbali katika kujinadi kuomba kura.

Wapo viongozi wakiona ni ngumu kupata kura kwa sera; kwa mfano wananchi mkituchagua tutawafanyia 1,2,3,4,5. Viongozi ambao hawana sera au hoja za kuwashawishi wananchi huwa wanabadili hoja zao na kuanza kutumia;

1.Ukabila na
2.Udini.

Hawa viongozi wataanza kuwagawa watu katika ukabila na udini.

Kazi ya kiongozi ni kuunganisha watu na si kuwagawa katika ukabila na udini. Tutambue wazi kuwa tukiwakubalia hawa watu WATATUGAWANYA.

Na mwisho wa mugawanyiko ni kuanza kuchinjana, na mkishafika huko hakutakuwa na mtu wa kukemea eti ACHENI na akasikilizwa.

Na: Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
 
Lukuvi, Pinda, Membe, ZZK, Nchemba wanaendana na kauli ya JKN ? Kila siku wanapiga propaganda za Udini Ukabila na ukanda ...
 
Ujinga wa mwalimu nyerere una hekima kuliko hekima ya huyu toy wako, kichwa nazi tena dafu.
 
2015 Ikulu hatupeleki wanaokwenda kutengeneza faida.
 
Back
Top Bottom