Jasusi na DATOGA!
Na imani mmemsikiliza Mwalimu. Nakubaliana na mchango wenu mko sahihi kabisa.
Ukimsikilize huyu Mzee wetu, unaona kabisa anachosema ndio anachomaanisha.
Tofauti na viongozi wetu wa sasa imani kwao hatuna maana wanakimbilia kutupa data ambazo ki-uhalisia haziingii akilini.
Simply kama jana PM kajieleza kwa upande mmoja tu wa kilichopo lakini ameshindwa kufafanua kwanini anafikiri madaktari wameibuka na hayo madai. Siamini kwamba Madaktari ni wajinga kiasi hicho wasijue pato la nchi pamoja na taratibu za bajeti, wanaona viongozi wao wanayofanya hayaendani na hiyo hali haisi wanayoisema kuwa ni ngumu.
Sijui nani atakaeibuka mwenye nia safi na uchungu wa nchi hii atusaidie kwakweli inasikitisha sana.