Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Binafsi sijakusoma unamaanisha kitu gani. Labda pengine umeingia kumwaga wino hapa kabla ya kutumia kichwa chako vizuri kaka. Hata kama unaona hotuba hizo haziendani na nyakati hizi lakini mawazo yaliyomo katika hotuba hizo yanaweza badilishwa na yakaleta mabadiliko kwa nyakati hizi. Sawa kaka?
 
Binafsi sijakusoma unamaanisha kitu gani. Labda pengine umeingia kumwaga wino hapa kabla ya kutumia kichwa chako vizuri kaka. Hata kama unaona hotuba hizo haziendani na nyakati hizi lakini mawazo yaliyomo katika hotuba hizo yanaweza badilishwa na yakaleta mabadiliko kwa nyakati hizi. Sawa kaka?

Mabadiliko gani mkuu na wakati hizi ni zama za ubepari?
 
Ngoja wagala waje kukushambulia hapa unamkosoa mgalatia namba moja tanzania? Hakosolewi yule mwasisi wa mbio za mwenge na katiba kandamizi ohoo!
 
Habari wana Jamii Forums,.

Nimekuwa nikizisikiliza Hotuba mbalimbali za hayati Mwalimu Nyerere ambazo zilipata kurekodiwa katika nyakati tofauti tofauti alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hotuba hizi mara nyingi zinarushwa hewani katika kipindi maalum cha Hotuba za Baba wa Taifa kupitia Tbc Fm.

Hotuba nyingi zilikuwa zikihusiana sana mambo ya Ujamaa katika Taifa letu ambalo kwa sasa dhana hiyo haipo kiuhalisia.

My take: Kuna haja gani ya Hotuba za hayati Mwl. Nyerere kuendelea kurushwa hewani ilhali haziendani na mazingira halisi yaliyopo sasa?

Nawasilisha,..

Unataka hotuba za nani uzisikilize?
 
Yule ni rais wa kwanza lazima history idumishwe ......sasa itafika wakati utaleta mada tuwaache wazazi waliotuzaa kipindi cha ujamaa tuwatafute wa kipindi hiki cha mazingira haya
 
Yule ni rais wa kwanza lazima history idumishwe ......sasa itafika wakati utaleta mada tuwaache wazazi waliotuzaa kipindi cha ujamaa tuwatafute wa kipindi hiki cha mazingira haya

Maudhui ya hotuba zake yana faida gani kwa mazingira ya sasa?
 
Naona mtoa mada bado hajafikiria la kuongea aende akajipange upya maana anapinga kisichopingika.
 
Kwani hotuba za Mwl Nyerere zimeingizwa kwenye mitaala ya kufundishia mashuleni mkuu?

Hapana ila hizo hutuba hazina tofauti na unavofutilia historia fulani. Na historia hutoa mafunzo ya siku zijazo ila si lazima ufanye kama zamani ingawa unajifunza kutokana na nyakati zilizopita.
 
"Kupewa kazi ya nchi ni lazima hujieshimu" huwezi kupewa kazi ya nchi halafu unaishi kihuni huni" na hii mayo haiendani na wakati???
 
Tatzo lako nn?tupo wengi tunaihitaji kwako ww umeona bora uwekewe bolingo iliukate mauno mkuu.
 
Hutuba zaBaba wa taifa za wakati huo ukifuatilia kwa umakini mpaka sasa bado ziko hai.
 
Habari wana Jamii Forums,.

Nimekuwa nikizisikiliza Hotuba mbalimbali za hayati Mwalimu Nyerere ambazo zilipata kurekodiwa katika nyakati tofauti tofauti alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hotuba hizi mara nyingi zinarushwa hewani katika kipindi maalum cha Hotuba za Baba wa Taifa kupitia Tbc Fm.

Hotuba nyingi zilikuwa zikihusiana sana mambo ya Ujamaa katika Taifa letu ambalo kwa sasa dhana hiyo haipo kiuhalisia.

My take: Kuna haja gani ya Hotuba za hayati Mwl. Nyerere kuendelea kurushwa hewani ilhali haziendani na mazingira halisi yaliyopo sasa?

Nawasilisha,..

fikirisha ubongo wako vizuri utang'amua maana na umuhimu wa hotuba za mzee huyu,siamini kama una akili ndogo kiasi hiki bado nna imani utaleta mrejesho mzuri
 
fikirisha ubongo wako vizuri utang'amua maana na umuhimu wa hotuba za mzee huyu,siamini kama una akili ndogo kiasi hiki bado nna imani utaleta mrejesho mzuri

Wewe mwenye akili nyingi, hotuba za Mwl Nyerere zimekusaidia nini tangu uanze kuzisikiliza? Nishawishi na mimi,..
 
Wasiopokea rushwa wapo,wenye kutufikisha salama nchi yetu wapo,wasiopenda kutafuta urais kwa hela wapo,wenye kusema ikulu si mahali pa kufanya biashara wapo wapo ,tena wapo tele wenye uchungu na nchi hii na sio utungu wa kujilimbikizia mali wapo.tuombe mungu tumpate rais wa kaliba hii
 
Back
Top Bottom