House girl wangu anatumia vidonge vya HIV

Niliomba ushauri siyo matusi. Kama huna la kunishauri kaa kimya.
Wewe ni mpumbavu...
Yaani mtoto uzae wewe afu alelewe na mwanamke mwingine, si bora usingezaa tu.
 
Ilitokea hii miaka ya nyuma, waliteketea watoto kwa kufanyiwa kusudi.
Ndio Ivo Kaa makini maana hii pia imetokea kwa jamaa yng baada ya kugumdua kaathirika na anakua akitumia miswaki ya watoto wake pia
 
Achukue huu ushauri wako. Aachane na mambo ya wana harakati
 
Ndio Ivo Kaa makini maana hii pia imetokea kwa jamaa yng baada ya kugumdua kaathirika na anakua akitumia miswaki ya watoto wake pia
Au ndo ilikuwaga hii habari, iliandikwaga magazetini zamani tu Ila ilisikitisha sana.
 
Imejitokeza kwangu mwaka huu. Mdada wa kazi 16yrs anajituma, bidii zote na anampenda mtoto.
Alizaliwa nao, kumrudisha tukaona huruma maana pacha wake yupo salama yeye ndio aliathirika.
Nilichofanya kuna mkwe wangu hana watoto, so tulimpeleka kule mpaka leo yupo nae na anasimamia kunywa dawa.
 
Mwambie umetambua, unathamini na kuheshimu uamzi wa kuzingatia matumizi ya ARV. Mpokee katika hiyo hali, mwongoze katika kumlea mwanao kwa usalama. Atakuheshimu sana.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Muondoe hapo nyumbani kwako haraka lakini kidiplomasia, ukichelewa kuna siku shemeji ako, au mdogo wako au baba yako au ba mkwe wako atakuja kula tunda kimasikhara na kama sio wao kuna siku utamuuzi sana na atakuja kupunguzia hasira zake kwa mwanao, tena atamwambukiza kwa makusudi.
 
Naupokea ushauri wako naufanyia kazi
 
Atamaliza familia mpe mtaji akaanze maisha mengine mapya
 
Mimi naushauri mzuri mwambie kesho ajiandae anarudi kwao kwanini nimefanya nini mwambie mama ameamua kukaa na mwanae so haija haja ya wewe uendelee kuwa hapa ila hakikisha kaenda kwao na umsaidie kimfungulia kimtaji cha kujiendeleza na ukampime mtoto wako afya yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…