Halafu unajua nini AD, ogopa hao wadada waliomaliza Kidato cha 7! Ni wakali kuliko unavyoweza kuamini. Nawafahamu washikaji ambao wamepelekeshwa hadi hawana hamu!
Mhhh, naona hapo Engineer Mkuu (Mungu) alifanya mazingaombwe ya kutisha!
Nimebaki bubu
Hata hivyo kosa la bosi hadi sasa ni kujipa nafasi ili labda kuona kama anaweza kuitikia ombi la h/boy!
it is simple if you know your stand,, whether kumpa au kumnyimaJF habari zenu!!
Mwenzenu nina tatizo kubwa sana ambalo tangu nizaliwe sijawahi kukutana nalo.
Nina houseboy hapa home!! Jana wakati tuko shambani kanitongoza/kanitamkia ananizimia na anaweza kunipa raha mno!!
Nimechanganyikiwa sijwamwambia Husband. Najifikiria nimtafutie visa ili aondoke ama nifanyaje maana nikisema aondoke bila sababu husband atauliza sababu nini nini na nitapata kigugumizi.
Nisaidieni tafadhali
Maana ningekurusha ulivyomnanihiii nanihiii
Yaani mie hata mpango nae sina mume wangu mbona yuko poa sana na tunapendana mno siwezi kumtenda kwa ajili ya houseboy
Kweni kuna matatizo gani ukimwambia Hubby kama kijana anakosa heshima na itakuwa ni busara akiwa hayupo kazini.
Houseboy ana qualification zote za kuingia 6 x 6 na maza hausi
Huyu boss lazima alitengeneza mazingira hausi boi arushe kete
it is simple if you know your stand,, whether kumpa au kumnyima
it is very complicated if you dont know what you want...
my advice is dont do it, kama amefikia kukutamkia, then he probably has made a fwe consultations as well, just like are doing right here.... and naturally when we consult for those things, we usually give feedback
tell you husband that kakuomba au mpe... but rest assured, for him to have courage, someone must have boosted his morale, and no secret whatsoever
it is simple if you know your stand,, whether kumpa au kumnyima
it is very complicated if you dont know what you want...
my advice is dont do it, kama amefikia kukutamkia, then he probably has made a fwe consultations as well, just like are doing right here.... and naturally when we consult for those things, we usually give feedback
tell you husband that kakuomba au mpe... but rest assured, for him to have courage, someone must have boosted his morale, and no secret whatsoever
Nimerudi.
Maushauri yenu mazuri na mabaya yote mwake tu nimeyapokea.
Walionikasirikia wakaniita kicheche poa, malaya poa vyovyote vile ilimradi mie najijua nilivyo sipo kama mnavyofikiria. Hata hivyo nawashukuru kwa maushauri yenu.
Nitafanya vile navyoamini inafaaa kama kumpa shega kama kukataaa shega vile vile.
Samahani kwa kuwakwaza walio wengi hasa kwa waliochangia jana walikuwa na jazba nyingi sana mnisamehe sio nia yangu.
Thread officially closed. :closed_2:
Thanks
Umeamka Mpenzi??? Haya tuendelee lakini Thread officialy CLOSED
Uliyelambwa na houseboy, la hasha. Viungo vyangu ni vitakatifu.
Vipi leo tena umeopen your big mouth, jana uliambiwa shut up ukashut. Hata houseboy akikuambia zip it, you do.
Houseboy si mwanaume kama wewe??? Mwanaume suruali sipu wazi 24hrs????