Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
u havent give me any of them lol
Mmm wapi tena huko wahome???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
u havent give me any of them lol
huyu mtoa mada mbona haonekani? au amezarau ma ushauri yetu na ashaenda kujiachia na hauziboi?
hapana , naona mtoa mada kabonyea bila taarifa. dah waifu so far naamini kwamba haelewi JF ni kitu gani lakini u never know pengine yumo humu humu na si mara anaitwa afrodenzi, preta, gaijin etc . eee mungu niepushe na kutongoza mke wangu bila kujielewa. tusemeni AMEN.K kwani vipi ushaanza kumuonea wivu asije akawa mkeo???
u havent give me any of them lol
hapa naona alama ya hatari utakuwa usham- mind wewe......shamba boy atakuwa kakomaa komaa na kujazia jazia sasa ukimlingani na baba mjengo hapo amabaye kitambi kisha-engage unatamani shughuli ya kijana huyo......hayo mambo ucjaribu ukigusa tu umenata!
hapana , naona mtoa mada kabonyea bila taarifa. dah waifu so far naamini kwamba haelewi JF ni kitu gani lakini u never know pengine yumo humu humu na si mara anaitwa afrodenzi, preta, gaijin etc . eee mungu niepushe na kutongoza mke wangu bila kujielewa. tusemeni AMEN.
:hug::hug:
usijali mambo madogo tu..Mmm wapi tena huko wahome???
halaf hiyo avatar yako. mi nangoja ugeuke ujuemmmmmhhh wewe
kina AD mmoja tu...
mie kula pande mbili siwezi....
halaf hiyo avatar yako. mi nangoja ugeuke ujue
kwenye maandiko imeandikwa "uchoyo sio mzuri". mwisho wa kunukuuhahahha lol
kitambi huoni ng'ooo lol
Sasa nimeelewa kitu kimoja. Mwanamme akikuanzia issue ya mke mwisho anakugeuzia kibao.
Yaliwahi kunifika kama hayo unayoeleza ila huyo jamaa alikuwa msomi na kazi yake nzuri.
Mazoea naye sina kwa sana kivile lakini alikuwa akinieleza issue za mkewe kuwa na wanaume nje anataka amuache sasa katika kumshauri ndo akaingiza hiyo mada
Sasa nimeelewa kitu kimoja. Mwanamme akikuanzia issue ya mke mwisho anakugeuzia kibao.
Yaliwahi kunifika kama hayo unayoeleza ila huyo jamaa alikuwa msomi na kazi yake nzuri.
Kama ukweli unao wewe na ndio muhusika haya bana sibishani na wewe sababu mie ndo najua nachoongea kwa mtazamo wako kama ni hivyo poa
Anataka kihalali huyo Houseboy ampe tu....hataki kubaka ana jiamini atapata tuuuu, mama kalegeza mwenyewe halafu anataga kubana sasa hivi? Anavuta shuka asubuhi?Ok. Km vp mfkuze then h'band akiulza mwleze ukwel. Au mwambie kwnz kabla hujamtimua. Kuna cku utabak mwnyewe akubake manake keshakutaman so hawez kuacha.
mmmhhh
afadhali hata si baba mkwe..