Houseboy

Houseboy

Status
Not open for further replies.
tehe teh! Hata mm nmeshangaa kapotea ghlfa bla kuaga. Ila amwemwachia Denna anamsaidia kujib. Haya na a2ambie mwenziye yuko wp?
huyu mtoa mada mbona haonekani? au amezarau ma ushauri yetu na ashaenda kujiachia na hauziboi?
 
K kwani vipi ushaanza kumuonea wivu asije akawa mkeo???
hapana , naona mtoa mada kabonyea bila taarifa. dah waifu so far naamini kwamba haelewi JF ni kitu gani lakini u never know pengine yumo humu humu na si mara anaitwa afrodenzi, preta, gaijin etc . eee mungu niepushe na kutongoza mke wangu bila kujielewa. tusemeni AMEN.
 
hapa naona alama ya hatari utakuwa usham- mind wewe......shamba boy atakuwa kakomaa komaa na kujazia jazia sasa ukimlingani na baba mjengo hapo amabaye kitambi kisha-engage unatamani shughuli ya kijana huyo......hayo mambo ucjaribu ukigusa tu umenata!

mmmhhh unajua kipinde kile niko mdogo..
kitambi kilikuwa utajiri
nini kimebadilia sasa???
 
hapana , naona mtoa mada kabonyea bila taarifa. dah waifu so far naamini kwamba haelewi JF ni kitu gani lakini u never know pengine yumo humu humu na si mara anaitwa afrodenzi, preta, gaijin etc . eee mungu niepushe na kutongoza mke wangu bila kujielewa. tusemeni AMEN.

mmmmmhhh wewe
kina AD mmoja tu...
mie kula pande mbili siwezi....
 
Sasa nimeelewa kitu kimoja. Mwanamme akikuanzia issue ya mke mwisho anakugeuzia kibao.

Yaliwahi kunifika kama hayo unayoeleza ila huyo jamaa alikuwa msomi na kazi yake nzuri.

Hapo kwenye red...,so huyo jamaa ukampa kitumbua chako.,mbona hujamalizia?
 
1. SINA SHAKA UNAMPENDA HUYO MFANYA KAZI WAKO.UNACHOULIZA NI KWA VIPI UTAMPA PASIPO KUJULIKANA
2.WENGI HAWAJAKUELEWA HAPA.
3.USHAURI.
KWA VILE MNAPENDANA NA KUMEZEANA MATE, HIYO NI HATARI KUBWA KWENU. MTASHIKWA NA KUJUTA.
mweleze mwenyewe atangaze kuacha kazi kwa kisingizio chochote, AKIGOMA MFUKUZE.
 
dadaangu kemea pepo huyo, tena mtimue kabisa huyo houseboy....hana adabu kabisa 🙂 anataka kula meza moja na bwana wake?
 
Kuna sehemu umeonyesha udhaifu ktk ndoa yako na ndio maana kaona kuna mwanya autumie, na kweli ukim displine atamwaga mboga. Isingekuwa hivyo ilitakiwa uchukue action palepale na mumeo apelekewe taarifa tu juu ya hatua hiyo. Kwa kutochukua hatua mpaka saa hizi kwa hilo la kwanza inawezekana!
 
Mazoea naye sina kwa sana kivile lakini alikuwa akinieleza issue za mkewe kuwa na wanaume nje anataka amuache sasa katika kumshauri ndo akaingiza hiyo mada


Ahaaaa wakati wa kumshauri macho ulilembua mama, Houseboy kaona mteremko ngoja arushe mshare....
 
Sasa nimeelewa kitu kimoja. Mwanamme akikuanzia issue ya mke mwisho anakugeuzia kibao.

Yaliwahi kunifika kama hayo unayoeleza ila huyo jamaa alikuwa msomi na kazi yake nzuri.


Kwani wasomi huwa hawadanganyi? Kutongoza hakuna msomi wewe, tena wasioenda shule ndo ma convicer wazuri kuliko wasomi maana wanajua hamna jingine zaidi ya kusomesha tuuu...hana suporting documents kama msomi...angalia matapeli wengi wanajua kutongoza sana ili akutapeli...
 
Kama ukweli unao wewe na ndio muhusika haya bana sibishani na wewe sababu mie ndo najua nachoongea kwa mtazamo wako kama ni hivyo poa


Shusha Munkali Desiiii...hapa leo mpaka kieleweke,hasira za nini mpe house boy aone zali la mentali...
 
Ok. Km vp mfkuze then h'band akiulza mwleze ukwel. Au mwambie kwnz kabla hujamtimua. Kuna cku utabak mwnyewe akubake manake keshakutaman so hawez kuacha.
Anataka kihalali huyo Houseboy ampe tu....hataki kubaka ana jiamini atapata tuuuu, mama kalegeza mwenyewe halafu anataga kubana sasa hivi? Anavuta shuka asubuhi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom