Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

You might be having hard time in your marriage life but I don't think if that option on your mind will bring the best results.Try to see the positive side of your wife as no one is perfect 100%,the same applies to her,you are not completely perfect to her.Let me as you one question,you have been together for how long now?

My friend, this marriage is incurable! I have been in hell with this for 4 years!
 
Mbona kama ushafanya maamuzi na hapa unatafuta watakaokusaidia 'kuidanganya' roho yako kuwa ndio ushauri wa wengi?

Kaka 'virembo' haviishi, vyazaliwa na kufa kila uchao......
 
Unahitaji mamombi ndugu yangu....Kumwacha mkeo eti HG anakutamanishaaa????!!!!
 
...uzinzi mchanganyiko ndo unakusumbua.....
Nani anyempokea mizigo mkeo? Nani anayemfulia na kumwandalia viatu? Kwa hiyo nae ampende hausigirl waanze kusagana?

Kuna umuhimu wa kuwapima akili wanaume wa siku hizi kabla ya kukubali kuolewa.....

 
...uzinzi mchanganyiko ndo unakusumbua.....
Nani anyempokea mizigo mkeo? Nani anayemfulia na kumwandalia viatu? Kwa hiyo nae ampende hausigirl waanze kusagana?

Kuna umuhimu wa kuwapima akili wanaume wa siku hizi kabla ya kukubali kuolewa.....


We usawa huo ndo unawadanganya!
 
Unahitaji mamombi ndugu yangu....Kumwacha mkeo eti HG anakutamanishaaa????!!!!

Mi hanitamanishi kabisa, lakini kazi zake ndo zinamfaa kuwa mke kabisa! Pia ni kweli she looks beautiful indeed! Amenawili kwa kula chakula changu na kuogea sabuni zangu.
 
Acha tamaa mbaya kwani huyo hg ana nini ambacho mkeo hana? Kama ni kukufanyia hivyo vyote si ukae nae muongee? Au humpendi? Kila binadamu ana mapungufu yake hata ww una yako anakuvumilia tu.
 
msihangaike hata kumshauri.. Mwacheni afuate akili yake
 
Acha tamaa mbaya kwani huyo hg ana nini ambacho mkeo hana? Kama ni kukufanyia hivyo vyote si ukae nae muongee? Au humpendi? Kila binadamu ana mapungufu yake hata ww una yako anakuvumilia tu.

Sio tamaa wewe! Maisha ni furaha na unafurahia na kile ukipendacho na kukitamani. Sasa kama nampenda HG ndo nisiseme? HG ni common name tu, behind that is a beautiful lady!
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

mkuu Wiyelele, namwomba mkeo nikae naye walau mwezi mmoja ili nimfundishe na kumuelekeza namna ya kuishi na mumewe kwani wewe umeshindwa na badala yake wewe umemuelekeza housegirl yale ambayo ulipaswa umuelekeze mkeo ili ayafanye!!
ndugu yangu naomba ukue, achana na tamaa za mwili zitakugharimu, ohoooooooooooooooooooooooooo!!!
 
Last edited by a moderator:
mkuu Wiyelele, namwomba mkeo nikae naye walau mwezi mmoja ili nimfundishe na kumuelekeza namna ya kuishi na mumewe kwani wewe umeshindwa na badala yake wewe umemuelekeza housegirl yale ambayo ulipaswa umuelekeze mkeo ili ayafanye!!
ndugu yangu naomba ukue, achana na tamaa za mwili zitakugharimu, ohoooooooooooooooooooooooooo!!!

Tamaa zipi mbona hapa umeanza kutamani na wewe? Hapa nimeleta mzigo uli niutue!
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

umenichosha mwili na roho
 
IVI HAPO ULIPO UNATAMBUA KWAMBA HUYO HG NI KAMA MWANAO MAANA UMEMLEA WEWE HIVYO SASA UNADHIHILISHA KWAMBA SIKU MWANAO WA KIKE AKIKUA NA KUANZA KUVUTIA UTA MLALA WEWE,HUO NDIO NINAITA UNYANYASAJI WA KIJINSIA KWANI HUYO MKEO ULIMUOA ILI AJE KUFUA NGUO ZAKO NA KUSAFISHA VIATU VYAKO WEWE ULIMFULIA LINI NA KUMNYOOSHEA NGUO ZAKE?SASA KAMA NA YEYEY ANAFANYA KAZI KWANINI HOUSE GAL ASIMSAIDIE KUFANYA HIZO KAZI ZA NJE HARAFU YEYE AFANYE ZA CHUMBANI KAMA VILE KUKURIDHISHA KIMAHABA MBONA NYIE WANAUME MNATAKA KUTUFUJA WATOOT WA WENZENU?:A S angry:
We kwakweli ni tatizo hapo mtaani,baada ya harakati za kumrudia gf wako wazamani ambaye ni mke wa mtu now umehamia kwa hg,ukitoka kwa hg utahamia kwa shemeji,ukitoka kwa shemeji utaenda kwa mdogo wake shemeji,ukitoka kwa mdogo wake shemeji utahamia kwa rafiki wa mdogo wa shemeji.Matatizo ya ndoa hayatatuliwi kwa kuacha mke au mme vinginevyo watu wangekuwa wanaoa/olewa kama mara 40 kabla maisha yao hayajaisha hapa duniani.
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.
Mkuu, kama ingekuwa hujaoa na umebahatika kuwa na house girl wa aina hiyo, wala isingekuwa tatizo, mngesaidiana zaidi kwa kuoana. Ila sasa kama unataka kudharauliwa na jamii, basi fanikisha janga la kumfanya mkeo ampishe huyo house girl, hata kama mtaachana kwa sasa, uamuzi wa kumchukua house girl kama mwenza kuanzia sasa ni balaa itakayokuletea dharau kubwa sana. Ni mtazamo!
 
tatizo lako wewe unapenda sana ule utelezi kunako maeneo ya pale kati,ana-ana,anateleza?
 
nenda kaombewe ni pepo lina kusumbua.
 
Back
Top Bottom