Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

ujue ni kwanini unasema mkeo ni mbaya ni kwa sababu 2 umeisha muona hg wako anafaa zaidi kuliko huyo mkeo na pia kuhusu kupokelewa na mambo mengine inategemea na mlivyo zoeshana ;kwa ushauri 2 nikukaa chini mwambie mkeo unapo pata mda mke wangu uwe unaniandalia chakula cku moja moja na kunifanyia mambo mengine naimani utamuona anafaa kuliko hata huyo hg wako
 
Anza mchakato wa kumuweka karibu huyo house girl na ikibidi kuwa nae kabisa yaani chakachua kila kitu na ikiwezekana mkeo mfukuze kabisa hapo nyumbani maana house girl kamzidi kila kitu.
Baada ya miezi mitatu baada ya kuwa umeyatekeleza hayo njoo utuambie kinachoendelea.
Nakutakia kila la kheri kwenye mchakato wako mzuri wa kufanya mapinduzi baridi.
 
Umemsifia sana huyo HG! Huna hata ka-picha kamoja binafsi nimuone ili niwe kwenye position nzuri ya kutoa ushauri?
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.
Bahati mbaya ni kwamba binadamu (kwa maana ya jinsia zote) huwa wanaridhika wakiwa na kitu na hujua kwamba kilikuwa muhimu kwao pale kinapoondoka. Sasa kwa ushauri wangu, leo hii ukimuacha mkeo na ukamchukua HG bado baada ya mwaka mmoja utakuja hapa kusema naye amekuwa na tabia kama za mkeo wa sasa. Kwahiyo mi nafikiria cha kufanya ni kukaa chini na mkeo na kumweleza kuwa tabia yake haikuvutii na inakuput down sana kiasi cha kufikiria kumuacha. Mpe muda wa kujirekebisha kabla hujafikiria any other actions.
 
Mi nitaishia hapa kwa HG tu and that line of chain you have indicated is your own imagination. We sail through various waves before we finally get settled and that is the moment i am now going through!

Haya ulitakiwa uyafanye kabla hujaoa bana!!!
 
Umemsifia sana huyo HG! Huna hata ka-picha kamoja binafsi nimuone ili niwe kwenye position nzuri ya kutoa ushauri?

Love is in my eyes not in yours! ila take it from me kwamba HG ni mtambo!
 
Bahati mbaya ni kwamba binadamu (kwa maana ya jinsia zote) huwa wanaridhika wakiwa na kitu na hujua kwamba kilikuwa muhimu kwao pale kinapoondoka. Sasa kwa ushauri wangu, leo hii ukimuacha mkeo na ukamchukua HG bado baada ya mwaka mmoja utakuja hapa kusema naye amekuwa na tabia kama za mkeo wa sasa. Kwahiyo mi nafikiria cha kufanya ni kukaa chini na mkeo na kumweleza kuwa tabia yake haikuvutii na inakuput down sana kiasi cha kufikiria kumuacha. Mpe muda wa kujirekebisha kabla hujafikiria any other actions.


Nimemvumilia sana for 4 solid years! Kama hajabadilika arudi kwao wakamfanyie tena kitchen party
 
ujue ni kwanini unasema mkeo ni mbaya ni kwa sababu 2 umeisha muona hg wako anafaa zaidi kuliko huyo mkeo na pia kuhusu kupokelewa na mambo mengine inategemea na mlivyo zoeshana ;kwa ushauri 2 nikukaa chini mwambie mkeo unapo pata mda mke wangu uwe unaniandalia chakula cku moja moja na kunifanyia mambo mengine naimani utamuona anafaa kuliko hata huyo hg wako

Kwani hakufundishwa kwenye kitchen party? Au alikua na hamu na vyombo tu? Ndo shida ya wanawake wa siku hizi kazi ni vyombo tu wakati wa kitchen party hawafikirii hata maneno na ushauri wanaopewa. Mimi kwangu sina muda wa kumfunda mtu.
 
But umewahi kuzungumza naye kuhusu suala hilo?

Several times, hata tukihusisha ndugu na wazazi wake. I have exploited all means....all she loves is watching DSTV. Labda niiondoe hiyo TV? Je akihamia kwa jirani coz nae ana TV?
 
Nimemvumilia sana for 4 solid years! Kama hajabadilika arudi kwao wakamfanyie tena kitchen party

Tena mngeongozana,wakati yeye anarudi kwao nawe urudi kwa wazee wako ukaombe mafunzo ya jandoni. Mwanaume hueleweki! Mara ex,mara Hg huyo mkeo ulilazimishwa kumuoa?
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

Daah ndugu yangu nnaweza kusema tu kwa ufupi kuwa You need Prayers more than our advices. Yaani sikuamini nilivyoona thread hii kuwa ni wewe na mada imebadilika kidogo tu, kuwa from your ex now to your HG.. mmmh kwa kweli naweza kusema kuwa hukupaswa kuoa uliwahi kidogo kwani uliye muoa its not your choice and am very sorry for her.

USHAURI: Just pray and talk to your wife wisely she will change. Wanawake ni rahisi sana kubadilika na hasa ukimwonyesha you care for her, really utam win.
 
Tena mngeongozana,wakati yeye anarudi kwao nawe urudi kwa wazee wako ukaombe mafunzo ya jandoni. Mwanaume hueleweki! Mara ex,mara Hg huyo mkeo ulilazimishwa kumuoa?

Naona unafanana na mke wangu kwa majibu hayo. Ningekuolea HG wawili nikukomeshe.
 
Mke wangu hana tabu coz yeye halalamiki, mwenye tabu ndo nalalamika Ennie

Tabu anayo hasa! Imagine unaishi na mtu ambaye anaku compare na kila anayekutana naye barabarani na muda wote anafikiria yupi aku replace. Hapo hata ufanye wema wa mshumaa hautaonekana mara zote yako makosa tu.
 
Tabu anayo hasa! Imagine unaishi na mtu ambaye anaku compare na kila anayekutana naye barabarani na muda wote anafikiria yupi aku replace. Hapo hata ufanye wema wa mshumaa hautaonekana mara zote yako makosa tu.

Ndo maana hata katika maswali tulikuwa tunajibu "Compare and contrast"...If u fail to compare, you will obviously make a bad choice. Life is all about compairing and contrasting issues, including evaluating your marriage after some time and make decisions out of it. Without it, life becomes short, even much shorter than you could anticipate.
 
Back
Top Bottom