Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Naona unafanana na mke wangu kwa majibu hayo. Ningekuolea HG wawili nikukomeshe.

Na ungepata mke kama mimi akili ingekukaa sawa maana huwa sifugi maradhi. Ungeoa hata 10 na wala nisingestuka,kwani tulizaliwa pamoja? Nashukuru Mungu niliolewa na mwanaume na si mtoto wa kiume.
 
Aisee inaelekea una matayizo sana.Umetoka kwenye mke wa mtu sasa unatamani housegirl.Usipoangalia utaishia pabaya.Mtaka yote hukosa yote.Achana na binti huyo.Nakushauri umrudishe kwao,mwishowe utaishia kumbanjua.Ni aibu tena aibu kubwa kuoa HG wako.Achana kabisa na mawazo hayo.Wazuri wako wengi.
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.
 
Na ungepata mke kama mimi akili ingekukaa sawa maana huwa sifugi maradhi. Ungeoa hata 10 na wala nisingestuka,kwani tulizaliwa pamoja? Nashukuru Mungu niliolewa na mwanaume na si mtoto wa kiume.

Labda uje umpe darasa mke wangu.
 
Oya kamanda, piga chini hilo vuvuzela unaloita mke, chukua HG huyo atakufaa.

Eti bwana? Mwanamke ka vuvuzela wa nini kukaa nae? Bora HG nikiongea kila kitu ni samahani. Huyu hana ata heshima...tunaongea chumbani anawaka hadi HG asikie ili wajue anaitawala..Hajui mwanamme ni kichwa cha nyumba. Tangu lini kiwiliwili kikashindana na kichwa?
 
nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu hg, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

hujatulia
 
Several times, hata tukihusisha ndugu na wazazi wake. I have exploited all means....all she loves is watching DSTV. Labda niiondoe hiyo TV? Je akihamia kwa jirani coz nae ana TV?
Hahahahaaa, umenichekesha hapo kwenye DSTV, anyway what sisi kama watu wa pembeni tunaweza kushauri ni possibilities za kusolve matatizo lakini kwenye kuamua kama mahusiano yanaendelea ama la hapo jukumu linakuwa kwako zaidi. Ila tu ushauri wangu mimi ni kwamba ungejaribu yoote na kama yakiisha ndio unyanyue mikono juu
 
aiseeeeeeeeee babaangu huu mwezi auta isha bila kumdonowa huyo beki 3
 
Hahahahaaa, umenichekesha hapo kwenye DSTV, anyway what sisi kama watu wa pembeni tunaweza kushauri ni possibilities za kusolve matatizo lakini kwenye kuamua kama mahusiano yanaendelea ama la hapo jukumu linakuwa kwako zaidi. Ila tu ushauri wangu mimi ni kwamba ungejaribu yoote na kama yakiisha ndio unyanyue mikono juu

Hapa macho yamefika shingoni mkuu! What i plan is may be i should start by removing the TV set. Kwa vile sins flat screen, nitasema naiondoa ili tulete mpya halafu iwe kimyaaa. Mwache hata akihamia kwa jirani atakua kajifukuzisha mwenyewe.
 
Hapa macho yamefika shingoni mkuu! What i plan is may be i should start by removing the TV set. Kwa vile sins flat screen, nitasema naiondoa ili tulete mpya halafu iwe kimyaaa. Mwache hata akihamia kwa jirani atakua kajifukuzisha mwenyewe.
Mkuu, kila nikiangalia nahisi kama huyu mkeo (nisamehe ntatumia neno baya kidogo) ni limbukeni flani au maisha aliyokulia hayakumpa previleges anazopata sasa so inamfanya achanganyikiwe asijue nini kinampasa kufanya
 
mchane live mkeo had apate wivu. af jifanye huna habari nae. ukileta zawad unaleta ya familia yani watoto na HG. kama outing unawatoa watoto na HG. then unakuwa unamuachia maagzo HG kuwa unataka kula nin au unapenda watoto wale nini. uktaka kufanyiwa kaz km kufua au kunyoosha usimwambie mkeo, mpe HG moja kwa moja na mkeo anaona. then after week anza kumsifia HG kwa mkeo mkiwa wawili kuwa anafanya kaz vzuri na ana adabu hvyo unapendekeza aongezewe mshahara. na wakat mnaongea hakikisha una zawad 2 zinazofanana na mwambie hii yako na hii ya HG. then mwambie mkeo unataka uombe likzo uende nyumbani kwa wazaz au mbuga za wanyama na watoto na HG yeye alinde nyumba ataenda awamu ijayo, akikuuliza kwanin muende na HG, mwambie ili awe ananisaidia kuniandalia nguo nk km anavyofanya hapo nyumbani then.... ntaendelea bdae
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

mchane live mkeo had apate wivu. af jifanye huna habari nae. ukileta zawad unaleta ya familia yani watoto na HG. kama outing unawatoa watoto na HG. then unakuwa unamuachia maagzo HG kuwa unataka kula nin au unapenda watoto wale nini. uktaka kufanyiwa kaz km kufua au kunyoosha usimwambie mkeo, mpe HG moja kwa moja na mkeo anaona. then after week anza kumsifia HG kwa mkeo mkiwa wawili kuwa anafanya kaz vzuri na ana adabu hvyo unapendekeza aongezewe mshahara. na wakat mnaongea hakikisha una zawad 2 zinazofanana na mwambie hii yako na hii ya HG. then mwambie mkeo unataka uombe likzo uende nyumbani kwa wazaz au mbuga za wanyama na watoto na HG yeye alinde nyumba ataenda awamu ijayo, akikuuliza kwanin muende na HG, mwambie ili awe ananisaidia kuniandalia nguo nk km anavyofanya hapo nyumbani then.... ntaendelea bdae
 
mchane live mkeo had apate wivu. af jifanye huna habari nae. ukileta zawad unaleta ya familia yani watoto na HG. kama outing unawatoa watoto na HG. then unakuwa unamuachia maagzo HG kuwa unataka kula nin au unapenda watoto wale nini. uktaka kufanyiwa kaz km kufua au kunyoosha usimwambie mkeo, mpe HG moja kwa moja na mkeo anaona. then after week anza kumsifia HG kwa mkeo mkiwa wawili kuwa anafanya kaz vzuri na ana adabu hvyo unapendekeza aongezewe mshahara. na wakat mnaongea hakikisha una zawad 2 zinazofanana na mwambie hii yako na hii ya HG. then mwambie mkeo unataka uombe likzo uende nyumbani kwa wazaz au mbuga za wanyama na watoto na HG yeye alinde nyumba ataenda awamu ijayo, akikuuliza kwanin muende na HG, mwambie ili awe ananisaidia kuniandalia nguo nk km anavyofanya hapo nyumbani then.... ntaendelea bdae

Wewe umenipa shule! Kuhusu mshahara, HG nampa laki kwa mwezi na namnunulia kila kitu (chochote ujuacho). Hata nguo nampa anafua na za kupiga pasi anafanya hvyo. Anaingia chumbani na kupanga nguo kwenye kabati. Anatandika kitandani kwetu hata kama mke wangu yuko. Wakati mwingine, mke wangu anamuita chumbani "eti ampelekee maji ya kunywa". HG anajua kila kitu cha ndani. Ila hilo la kusafiri nae ndo jibu. Tena nikisafiri ni moja kwa moja kutoa posa.
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

Kwa kuangalia thread hii na ile nyingine kuhusu ex-wako, naona tatizo liko kwako wewe, na sio mkeo !!
Iko hivi:-
  • Wewe ndio mwenye matatizo. Unataka ufuliwe nguo, upikiwe, upokelewe mzigo, n.k. Sasa wewe umeshawaki kufanya hayo yote kwa mkeo ??
  • Unamtamani house girl wako kwa kumlinganisha na mkeo kwa sababu tu anakufulia nguo !! Siku house girl naye akiacha kufua nguo utamwonaje??
  • Inaelekea wewe bado hujaweza 'kumuweka sawa' mkeo. Jifunze mbinu mbali-mbali za kumridhisha mkeo, ukiweza hapo utakuwa umetoa 'huduma' nzuri sana kwa mkeo, naye automatically ataanza kutoa huduma unazohitaji (kufuliwa nguo, n.k.).
  • Umegusia kuhusu mkeo kupenda sana kuangalia DSTV. Huu sasa ndio 'mwanya' mzuri wa 'kumuweka sawa'. Karibiana naye kwenye kuangalia DSTV, halafu mkimaliza kuangalia pamoja utaona kama hata huyo house girl utamuangalia tena !! (unaelewa ??)
  • Jifunze kutoa 'huduma' mbali-mbali kwa mkeo. Hapa JF kuna jukwaa la kufundishana maswala hayo !!
  • Usijikweze mbele ya mkeo. Kujikweza hakusaidii lolote. Jishushe ili uwe naye sambamba, halafu utaona matokeo mazuri hivi karibuni, yaani utafaidi sana 'kila kitu' (..... pamoja ma kufuliwa nguo na kupokelewa mzigo unaporudi toka kazini).
  • Kaa karibu sana na mkeo, utamuona jinsi alivyo 'moto' , anang'aa kuliko yeyote yule.
 
Mkuu, kila nikiangalia nahisi kama huyu mkeo (nisamehe ntatumia neno baya kidogo) ni limbukeni flani au maisha aliyokulia hayakumpa previleges anazopata sasa so inamfanya achanganyikiwe asijue nini kinampasa kufanya

Kweli mkuu, imagine yeye ana first degree bado mshamba. Nimemununulia gari (achana na hivi vi vitz vya kuhonga) lakini hana shukrani. amtoa outing ila bado hana shkrani. Tukirudi tu macho kwenye TV. Akianza kusimulia anawajua waigizaji wa nigeria hata viatu walivyovaa jana!
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.


Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

Inaonesha umeshamchoka huyo mkeo bora umwache tu mtoto wa watu, maana ulianza kwa ex-girlfriend leo umekuja na housegirl sijui kesho utakujaje, kwani ulilazimishwa kumuoa?
 
Kusema ukweli siwezi kuunga mkono hili la my wife wako kumpisha HG! Sikushauri ingawa nimeshawahi kushuhudia haya yakitokea!
Lakini hebu wadada mliokwisha olewa tayari tuambieni tu! Shida ni nini? Kwa nini huwa mnabadilika sana? Kulikoni mnakabidhi (sio wote) majukumu yenu kwa wadada wasaidizi wa nyumbani? Chakula! Dada. Maji! Dada. Mkoba wa safari ama ofisini! Dada. Kufua na kupasi! Dada! Kulea dogo! Dada. Kudeki! Dada............and many more you can name! Huwa mnajisahau ama ni ugonjwa wenu? Halafu sikiliza anavyobwabwaja asubuhi tena kwa ukali utafikiri askari wa K.A.R!
Jirekebisheni!
 
Kwa kuangalia thread hii na ile nyingine kuhusu ex-wako, naona tatizo liko kwako wewe, na sio mkeo !!
Iko hivi:-
  • Wewe ndio mwenye matatizo. Unataka ufuliwe nguo, upikiwe, upokelewe mzigo, n.k. Sasa wewe umeshawaki kufanya hayo yote kwa mkeo ??
  • Unamtamani house girl wako kwa kumlinganisha na mkeo kwa sababu tu anakufulia nguo !! Siku house girl naye akiacha kufua nguo utamwonaje??
  • Inaelekea wewe bado hujaweza 'kumuweka sawa' mkeo. Jifunze mbinu mbali-mbali za kumridhisha mkeo, ukiweza hapo utakuwa umetoa 'huduma' nzuri sana kwa mkeo, naye automatically ataanza kutoa huduma unazohitaji (kufuliwa nguo, n.k.).
  • Umegusia kuhusu mkeo kupenda sana kuangalia DSTV. Huu sasa ndio 'mwanya' mzuri wa 'kumuweka sawa'. Karibiana naye kwenye kuangalia DSTV, halafu mkimaliza kuangalia pamoja utaona kama hata huyo house girl utamuangalia tena !! (unaelewa ??)
  • Jifunze kutoa 'huduma' mbali-mbali kwa mkeo. Hapa JF kuna jukwaa la kufundishana maswala hayo !!
  • Usijikweze mbele ya mkeo. Kujikweza hakusaidii lolote. Jishushe ili uwe naye sambamba, halafu utaona matokeo mazuri hivi karibuni, yaani utafaidi sana 'kila kitu' (..... pamoja ma kufuliwa nguo na kupokelewa mzigo unaporudi toka kazini).
  • Kaa karibu sana na mkeo, utamuona jinsi alivyo 'moto' , anang'aa kuliko yeyote yule.

Yawezekana ninalo tatizo ila langu linatibika
 
Back
Top Bottom