Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Kusema ukweli siwezi kuunga mkono hili la my wife wako kumpisha HG! Sikushauri ingawa nimeshawahi kushuhudia haya yakitokea!
Lakini hebu wadada mliokwisha olewa tayari tuambieni tu! Shida ni nini? Kwa nini huwa mnabadilika sana? Kulikoni mnakabidhi (sio wote) majukumu yenu kwa wadada wasaidizi wa nyumbani? Chakula! Dada. Maji! Dada. Mkoba wa safari ama ofisini! Dada. Kufua na kupasi! Dada! Kulea dogo! Dada. Kudeki! Dada............and many more you can name! Huwa mnajisahau ama ni ugonjwa wenu? Halafu sikiliza anavyobwabwaja asubuhi tena kwa ukali utafikiri askari wa K.A.R!
Jirekebisheni!

You are so objective kwa vile umetazama pande zote. Mtu eti mkiwa wachumba anakazana kumbe linataka kuolewa tu na watu wale ubwabwa! Unamwingiza ndani anaanza kuleta za kuleta anasahau kila kitu. Sasa zigo kama hili la nini? Halafu cha ajabu mtu mwenyewe nae ni graduate ambae lazima awe muelewa. Mimi sivuti sigara wala sinywi na nina akili timamu, iweje mke anitese kiasi hiki?
 
huna hata haya wewe mwanaume wewe? khaaa!sina hata cha kukushauri wewe na h/girl wako wote ni wauaji wakubwa tena umwambie na huyo hg kesho na yeye atakuwa na nyumba yake ataweka house girl na mumewe atamtamani kama ulivyo wewe muulize atajisikiaje, Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga.

NB: Acha tabia hiyo siku hizi mambo ya kutembea tembea hovyo hovyo yamepitwa na wakati, watu wameelimika siku hizi wewe naona bado uko sijui kijiji gani. HESHIMU NDOA YAKO, IMEANDIKWA NDOA IHESHIMIWE NA WATU WOTEEE.
 
Nakubaliana nawe. My mind imegoma kuamin nilichokisoma,hv huyu naye anaitwa mume?mwanaume au wa kiume? Ohh God forbid....
...uzinzi mchanganyiko ndo unakusumbua.....
Nani anyempokea mizigo mkeo? Nani anayemfulia na kumwandalia viatu? Kwa hiyo nae ampende hausigirl waanze kusagana?

Kuna umuhimu wa kuwapima akili wanaume wa siku hizi kabla ya kukubali kuolewa.....

 
You are so objective kwa vile umetazama pande zote. Mtu eti mkiwa wachumba anakazana kumbe linataka kuolewa tu na watu wale ubwabwa! Unamwingiza ndani anaanza kuleta za kuleta anasahau kila kitu. Sasa zigo kama hili la nini? Halafu cha ajabu mtu mwenyewe nae ni graduate ambae lazima awe muelewa. Mimi sivuti sigara wala sinywi na nina akili timamu, iweje mke anitese kiasi hiki?

Kwa kusema ukweli maisha ni mafupi sana! Sina muda wa kujitesa! Kama kuna kosa nilishafanya KUOA! Yaani sina hamu hata! Hizi dini zetu basi tena! Alichounganisha Mungu mwanadamu asitenganishe! Ikinbidi ntaishi mwenyewe kwani lazima!
 
huna hata haya wewe mwanaume wewe? khaaa!sina hata cha kukushauri wewe na h/girl wako wote ni wauaji wakubwa tena umwambie na huyo hg kesho na yeye atakuwa na nyumba yake ataweka house girl na mumewe atamtamani kama ulivyo wewe muulize atajisikiaje, Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga.

NB: Acha tabia hiyo siku hizi mambo ya kutembea tembea hovyo hovyo yamepitwa na wakati, watu wameelimika siku hizi wewe naona bado uko sijui kijiji gani. HESHIMU NDOA YAKO, IMEANDIKWA NDOA IHESHIMIWE NA WATU WOTEEE.

Hiyo sentsnsi ya mwisho ni wimbo tu! Wangesema hata talaka iheshimiwe na watu wote. Sasa mimi nampenda HG wangu, iweje nimwambie tena eti atakuwa na "nyumba yake" wakati hapa kwangu kuna mianya hiyo? Nitakuwa sijitendei haki kabisa. Mimi niko Kijijini kwetu Darisalama. Sijui mwenzangu uko wapi?
 
Inaelekea wewe ni Mzee ila ninachokuambia ni kwamba mwanamke wa design ulienae sio kama hawa wa leo. Wa zamani waliheshim ndoa zao na "kumtukuza mwanamme kadri wawezavyo". Wasasa kazi ni kutazama DSTV tu na kujiremba kucha kama nao wapiga rangi!

Hujitambui bado na hujui maana ya familia
 
huna hata haya wewe mwanaume wewe? khaaa!sina hata cha kukushauri wewe na h/girl wako wote ni wauaji wakubwa tena umwambie na huyo hg kesho na yeye atakuwa na nyumba yake ataweka house girl na mumewe atamtamani kama ulivyo wewe muulize atajisikiaje, Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga.

NB: Acha tabia hiyo siku hizi mambo ya kutembea tembea hovyo hovyo yamepitwa na wakati, watu wameelimika siku hizi wewe naona bado uko sijui kijiji gani. HESHIMU NDOA YAKO, IMEANDIKWA NDOA IHESHIMIWE NA WATU WOTEEE.

Kama mama mwenye nyumba angetimiza wajibu wala baba mwenye nyumba asingelalamika.
Wachumba wa siku hizi wengi wenu wallah mmelogwa sio bure!
 
Kwa kusema ukweli maisha ni mafupi sana! Sina muda wa kujitesa! Kama kuna kosa nilishafanya KUOA! Yaani sina hamu hata! Hizi dini zetu basi tena! Alichounganisha Mungu mwanadamu asitenganishe! Ikinbidi ntaishi mwenyewe kwani lazima!

Hizi dini rafiki yangu si wameleta wazungu? Mimi nimekwenda sana huko kwa wamasai, utakuta mzee wa kanisa anawake watatu! Sasa iweje sisi watukataze? Mi najuta kuoa ningejua....?
 
Afadhali umenishauri vizuri maana HG alipokuja nilimpiga picha, nikiiweka na alivyo sasa hata yeye anajikubali. Sasa iweje nimpendezeshe na mwingije aje ajipatie tu? Lazima nifanye replacement haraka! asante bwana
Mmmmmmhhhhh inamaana wote watakao pendeza kupitia wewe utakuwa unafanya replacement
 
Yawezekana ninalo tatizo ila langu linatibika

Hatua ya kwanza jitibu wewe...Ukishamaliza, utakuta mkeo 'kishapona' zamani !!
'Kapona' hata kabla ya wewe 'kupona' !!!

Soma hapa:-
01 Petro 03:07-09 inasema...
7 Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
8 Neno la mwisho ni hili; mwe na nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;
9 watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki; kwa sababu hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.
 
Mmmmmmhhhhh inamaana wote watakao pendeza kupitia wewe utakuwa unafanya replacement

Ni mmoja tu niliempendezesha na sio wengine. Kwani we HG humpigi picha pindi akija?
 
Ushindwe....! WEWE hapo unaemtamani binti uliemlea mwenyewe>>>>>

Usiseme binti, sema mwanamke niliemlea... Ana umri wa kuwa na mme tayali ndo maana namfagilia. Sasa nikishindwa mie unataka aende kwa mwingine wakati amefaidi vya kwangu?
 
You doesn't know the pride of wife!........au huyo mkeo ni ndoa ya mkeka ambaye hukumpenda?hata kama ni ya mkeka ina maana mwanzo wenu mlikuwa girlfriend na boyfriend!ndo maana mkafungishwa ndoa ya mkeka!!Ila kwa hili umemtukana mkeo mke nikama mtoto anahitajikufundishwa kila siku!!
 
Back
Top Bottom