Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Hatua ya kwanza jitibu wewe...Ukishamaliza, utakuta mkeo 'kishapona' zamani !!
'Kapona' hata kabla ya wewe 'kupona' !!!

Soma hapa:-
01 Petro 03:07-09 inasema...
7 Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
8 Neno la mwisho ni hili; mwe na nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;
9 watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki; kwa sababu hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.

Kwani babu yetu Abrahamu alivyotaka kumtoa sadaka mwanaye yule alimzaa na nani vile?
 
Ni mmoja tu niliempendezesha na sio wengine. Kwani we HG humpigi picha pindi akija?

Ukumbuke huyo HG ukishamuoa atakuja mbadala wake yaani HG mpya pia naye utampiga picha kama kawaida yako baadae utakugundua kapendeza
 
You doesn't know the pride of wife!........au huyo mkeo ni ndoa ya mkeka ambaye hukumpenda?hata kama ni ya mkeka ina maana mwanzo wenu mlikuwa girlfriend na boyfriend!ndo maana mkafungishwa ndoa ya mkeka!!Ila kwa hili umemtukana mkeo mke nikama mtoto anahitajikufundishwa kila siku!!

Mi sio kindergarten mkuu!
 
Kweli mkuu, imagine yeye ana first degree bado mshamba. Nimemununulia gari (achana na hivi vi vitz vya kuhonga) lakini hana shukrani. amtoa outing ila bado hana shkrani. Tukirudi tu macho kwenye TV. Akianza kusimulia anawajua waigizaji wa nigeria hata viatu walivyovaa jana!
Dah mkuu hapo una shughuli
 
Nakubaliana nawe. My mind imegoma kuamin nilichokisoma,hv huyu naye anaitwa mume?mwanaume au wa kiume? Ohh God forbid....

God forbid your statements. How do u define a man? Usiponiunga mkono utakuwa na matatizo sana kama ya mke wangu.
 
Usiseme binti, sema mwanamke niliemlea... Ana umri wa kuwa na mme tayali ndo maana namfagilia. Sasa nikishindwa mie unataka aende kwa mwingine wakati amefaidi vya kwangu?

sasa ulitaka awe vile vile alivyokuja kwako kaka?! kama ni hivyo ata mwanao wa kike waweza dai kama inshu ni kula vya kwako...! very bad aaaaaaahhhhhh!
 
Dah mkuu hapo una shughuli

Afadhali unanielewa, kuna vibinti hapa vinaniponda bila kufuatilia hii thread! Sijui vimekulia wapi? Ndo hao hao ambao kitchen party kwao ni vyombo tu ndo vina matter. I am experiencing real problems and i would greatly invite you to witness what iam passing through!
 
sasa ulitaka awe vile vile alivyokuja kwako kaka?! kama ni hivyo ata mwanao wa kike waweza dai kama inshu ni kula vya kwako...! very bad aaaaaaahhhhhh!

You should differentiate between a Hg and my daughter. There is also a difference btn my wife and daughter. It appears u dont understand and pls put yourself into my shoes.
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

Mkuu kama imani na dhamira yako vinakuruhusu wewe beba huyo house girl maana hiyo house girl, bar maid, sister na menngine ni majina tu hayana maana yoyote katika ndoa, bibi kashindwa unabadilisha shida iko wapi hapo, haiko shida kabisa.
 
Kwani babu yetu Abrahamu alivyotaka kumtoa sadaka mwanaye yule alimzaa na nani vile?
Abraham alikuwa na watotowawili. Ishmael na Isaka.
Ishmael alikuwa mtotowake kwa mjakazi wake. Isaka alikuwa mtoto wake kwa Sara (mkewe).
Kama nimekuelewa vizuri, swla hili ni tofauti na swala la Wiyelele.
Abraham alikuwa anatafuta mtoto akakosa kwa siku nyingi sana. Sasa mkewe Sara amwambia Abraham amzalie mtoto kwa kupitia mjakazi wake Hajiri.
Hapa Sara (mke) alimshawishi mumewe apate mtoto kwa Hajiri.

Soma hapa:-
Mwanzo 16:01-05 inasema ....
Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.
2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
3 Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
4 Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.
5 Sarai akamwambia Abramu, Ubaya ulionipata na uwe juu yako; nimekupa mjakazi wangu kifuani mwako, naye alipoona kwamba amepata mimba, mimi nimekuwa duni machoni pake. Bwana na ahukumu kati ya mimi na wewe.
 
Mkuu kama imani na dhamira yako vinakuruhusu wewe baby huyo house girl maana hiyo house girl, bar maid, sister na menngine ni majina tu hayana maana yoyote katika ndo, bibi kashindwa unabadilisha shida iko wapi hapo, haiko shida kabisa.

Nimekukubali mkuu! You have made my day indeed!
 
Mi sio kindergarten mkuu!
Bora umetamka kwa kidhungu lakini wewe ni vidudu au chekechea!kama unakaa na mwanamke huwezi kufundisha maisha mpaka unatamani hg inamaana huyo mwanamke ungemuoa akiwa na mtoto basi ungemtaka mwanae kwakuwa anafanya shughuli zote!!
 
You should differentiate between a Hg and my daughter. There is also a difference btn my wife and daughter. It appears u dont understand and pls put yourself into my shoes.

Am trying to underscore what's ur demeanor in this friend! but no bad! THINK TWICE ..HG TO WF!
 
Bora umetamka kwa kidhungu lakini wewe ni vidudu au chekechea!kama unakaa na mwanamke huwezi kufundisha maisha mpaka unatamani hg inamaana huyo mwanamke ungemuoa akiwa na mtoto basi ungemtaka mwanae kwakuwa anafanya shughuli zote!!

We unamatusi. kwangu sio sehemu ya kitchen party. We have alot of things to think abou coz watu wakioana hawaoani vichanga
 
Abraham alikuwa na watotowawili. Ishmael na Isaka.
Ishmael alikuwa mtotowake kwa mjakazi wake. Isaka alikuwa mtoto wake kwa Sara (mkewe).
Kama nimekuelewa vizuri, swla hili ni tofauti na swala la Wiyelele.
Abraham alikuwa anatafuta mtoto akakosa kwa siku nyingi sana. Sasa mkewe Sara amwambia Abraham amzalie mtoto kwa kupitia mjakazi wake Hajiri.
Hapa Sara (mke) alimshawishi mumewe apate mtoto kwa Hajiri.

Soma hapa:-
Mwanzo 16:01-05 inasema ....
Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.
2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
3 Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
4 Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.
5 Sarai akamwambia Abramu, Ubaya ulionipata na uwe juu yako; nimekupa mjakazi wangu kifuani mwako, naye alipoona kwamba amepata mimba, mimi nimekuwa duni machoni pake. Bwana na ahukumu kati ya mimi na wewe.

Kwa wake zetu hawasemi kwa sauti husema kwa vitendo tu. Kifupi hawatimizi majukumu yao! Wamerasimu majukumu yao kwa wadada wasaidizi wa nyumbani! Dada anatandika kitanda! Dada anafua nguo za baba! Dada anapika chakula cha baba! Na hata mama akipika chakula hakifai kuliwa! Dada anatenga maji ya kuoga kwa baba mwenye nyumba!
Kwa nini waruhusu ukaribu huu?
 
Kipendacho moyo ni dawa, hata kama baadaye chaweza geuka sumu.

  • 😱hwell:
 
Kwa wake zetu hawasemi kwa sauti husema kwa vitendo tu. Kifupi hawatimizi majukumu yao! Wamerasimu majukumu yao kwa wadada wasaidizi wa nyumbani! Dada anatandika kitanda! Dada anafua nguo za baba! Dada anapika chakula cha baba! Na hata mama akipika chakula hakifai kuliwa! Dada anatenga maji ya kuoga kwa baba mwenye nyumba!
Kwa nini waruhusu ukaribu huu?

Hayo ndo anafanya mke wangu hadi kumruhusu HG chumbani. Halafu HG nae anaingia na kanga moja utafikiri ni chumbani kwake. And if u compare, oh HG mzuri aisee! Afterall anafanya kila kitu and wife looks on
 
Usiseme binti, sema mwanamke niliemlea... Ana umri wa kuwa na mme tayali ndo maana namfagilia. Sasa nikishindwa mie unataka aende kwa mwingine wakati amefaidi vya kwangu?

Hapo kwenye blue,
Usizini !!
Kimbia mbali kabisa na zinaa na matamanio ......

Soma hapa chini:-
Mathayo 05:28-30 inasema....
27 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.
30 Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.
 
Back
Top Bottom