Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Umejitahidi kadri ya uwezo wako katika kuinusuru ndoa yako ikiwemo kwenda kuomba msaada kwa wazazi wa mwenzio, kuongea naye na pia kwenda kuwaona wazee wa kanisa. Binadamu tunatakiwa tujiletee raha katika maisha yetu pale ambapo mazingira yanastahili kufanya hivyo. Wengine humu wanakuzodoa lakini ingekuwa wao hizo juhudi ulizofanya wewe wala wasingezifanya bali wangepiga chini haraka sana na kuendelea na raha zao.

Maisha yenyewe mafupi haya labda huyo mkeo ukiamua kuachana naye atatia akili kichwani mwake na kujua kwamba hakuna wa kumlaumu kuhusu kuvunjika kwa ndoa yenu ila yeye mwenyewe maana umejaribu kumpa nafasi chungu nzima za kubadili tabia zake zinazokukera bila mafanikio yake. Jiwahi na huyo binti mrembo hapo nyumbani kwako kwa kumpa promotion kubwa sana ya kutoka HG na kuwa Mother House kabla wenzio hawajakuwahi.
 
Umejitahidi kadri ya uwezo wako katika kuinusuru ndoa yako ikiwemo kwenda kuomba msaada kwa wazazi wa mwenzio, kuongea naye na pia kwenda kuwaona wazee wa kanisa. Binadamu tunatakiwa tujiletee raha katika maisha yetu pale ambapo mazingira yanastahili kufanya hivyo. Wengine humu wanakuzodoa lakini ingekuwa wao hizo juhudi ulizofanya wewe wala wasingezifanya bali wangepiga chini haraka sana na kuendelea na raha zao.

Maisha yenyewe mafupi haya labda huyo keo ukiamua kuachana naye atatia akili kichwani mwake na kujua kwamba hakuna wa kujilaumu kuhusu kuvunjika kwa ndoa yenu ila yeye mwenyewe maana umejaribu kumpa nafasi chungu nzima za kubadili tabia zake zinazokukera bila mafanikio yake. Jiwahi na huyo binti mrembo hapo nyumbani kwako kwa kumpa promotion kubwa sana ya kutoka HG na kuwa Mother House kabla wenzio hawajakuwahi.

Nakushukuru sana kwa kufuatilia thread hii. Wengine hapa wanarukia tu, wanaona kama napoteza muda wao ila mie sijamlazimisha mtu kujibu thread hii. All i need is someone to help our family after all my efforts (not my wife's efforts) have proved futile. Sasa kama nimejitahidi njia zote hzo na bado wengine wananiona sifai coz ni wanawake wa jana tu hapa! Asante mkuu kwa jibu lako.
 
Usiseme binti, sema mwanamke niliemlea... Ana umri wa kuwa na mme tayali ndo maana namfagilia. Sasa nikishindwa mie unataka aende kwa mwingine wakati amefaidi vya kwangu?

Kaka huo sasa ni ubinafsi, huyo mkeo uliyomuona kapendeza na ukamuoa unajua alifaidi vya nani? Ila atakayekuja kuoa watoto wako hasa wakiwa wamepndeza si watakuwa wamefaidi vya kwako na pia utakuwa umewapiga picha nadhani atapatisha sana
 
unajua bwana ndoa ikishafika hapa mi huwa sioni wala haja ya kumshauri mtu!
huna furaha na huyo mke wako na wala hudhani kama anastahili kuwa mkeo simce yu seem kutafutia makosa kila siku na walahi hwish kuyaona!
hivi ngoja nikuulize unafikir wenzio wanaofika au tunaofika miaka 20 15 ya ndoa huwa hatuoni mapungufu kwa wenzi wetu!
NDOA NI KUKUA PAMOJA KIHISIA,KIMAJUKUMU,KIMAADILI,KIIMANI!
kama ndoa yako huioni iko kwenye stage hiyo!JUST BACK OFF!muache huyo mwanamke nenda kwa huyo unayeamini anaweza kukupa furaha haijalishi kama ni msichana wenu wa kazi au ni xgf wako!
 
Kaka huo sasa ni ubinafsi, huyo mkeo uliyomuona kapendeza na ukamuoa unajua alifaidi vya nani? Ila atakayekuja kuoa watoto wako hasa wakiwa wamepndeza si watakuwa wamefaidi vya kwako na pia utakuwa umewapiga picha nadhani atapatisha sana

Wacha misamiatai yako wewe! You have to debate issues and not looking into trivial things.
 
Ukiona mwanaume anasema eti mtu fulani ni mzuri kuliko mke wangu, jua huyo ni mwehu. Hivi kama ungeoa mzungu ungetarajia akufanyie hayo yote????

We unatafuta kijisababu cha kumbandua HG wako, Acha tamaa.

Alafu unasema HG wako kafaidi vyako, we mbona nakufnyia kazi zote hizo
 
Kwa wake zetu hawasemi kwa sauti husema kwa vitendo tu. Kifupi hawatimizi majukumu yao! Wamerasimu majukumu yao kwa wadada wasaidizi wa nyumbani! Dada anatandika kitanda! Dada anafua nguo za baba! Dada anapika chakula cha baba! Na hata mama akipika chakula hakifai kuliwa! Dada anatenga maji ya kuoga kwa baba mwenye nyumba!
Kwa nini waruhusu ukaribu huu?

Mara nyingi wamama wanasubiri wababa waje karibu nao. Hivyo kama mume uko mbali na mkeo, naye mke atakuwa mbali nawe.
Kwa kuwa mbali na mume, mke hujaribu kuendelea kumhudumia mumewe kwa kutumia msichana wa kazi.
Ukiona hivyo ujue hapo mume ndio aliyeanza kuwa mbali ma mkewe. Mke hawezi kulazimisha ukaribu wa mumewe.
Ni jukumu la mume kuwa karibu na mkewe.
Mume anatakiwa kuwa karibu na mkewe ili apate huduma zote za mke.
Mkuu Wiyelele, anza sasa kuwa karibu na mkeo utaona matokeo hivi karibuni.
Kaa 'karibu sana' na mkeo ( sisitiza neno 'karibu sana' ...) Yaani 'very close proximity' !!!
Sijui nitumie tafsida gani hapa, yaani kila kiungo chako kiwe karibu na mkeo, na ukiwa karibu na mkeo, hakikisha uko 'live', uko 'active', na uko 'mahiri' 'kutembelea' 'idara' zote husika za ndoa !! (Siwezi kueleza zaidi ya hapo) !!!!
Itafika mahala, huyo house girl utamuona kama kero tu....
 
mkuu we ni jirani yangu nini maana naona kama umeangalia life yangu ukaamua kuileta humu ila wanajf wanakukoromea bure mi naona weakness imo kwa hawa wake zetu
 
Umejitahidi kadri ya uwezo wako katika kuinusuru ndoa yako ikiwemo kwenda kuomba msaada kwa wazazi wa mwenzio, kuongea naye na pia kwenda kuwaona wazee wa kanisa. Binadamu tunatakiwa tujiletee raha katika maisha yetu pale ambapo mazingira yanastahili kufanya hivyo. Wengine humu wanakuzodoa lakini ingekuwa wao hizo juhudi ulizofanya wewe wala wasingezifanya bali wangepiga chini haraka sana na kuendelea na raha zao.

Maisha yenyewe mafupi haya labda huyo mkeo ukiamua kuachana naye atatia akili kichwani mwake na kujua kwamba hakuna wa kumlaumu kuhusu kuvunjika kwa ndoa yenu ila yeye mwenyewe maana umejaribu kumpa nafasi chungu nzima za kubadili tabia zake zinazokukera bila mafanikio yake. Jiwahi na huyo binti mrembo hapo nyumbani kwako kwa kumpa promotion kubwa sana ya kutoka HG na kuwa Mother House kabla wenzio hawajakuwahi.

Mkuu watu wahakurupuki soma thread yake kabla ya hii,
user-online.png
Wiyelele

9th November 2012 10:32
#1
Senior Member Array


Join Date : 9th November 2012
Posts : 101
Rep Power : 321
Likes Received10
Likes Given26



[h=2]
icon1.png
Mke wa mtu anataka turudiane, alikuwa girlfriend wangu[/h] Nisaidieni jamani. Nilikuwa na msichana ambaye nilimpenda sana, lakini aliolewa wakati sikuwa na pesa. Huko aliko ananyanyaswa sana na mme wake. Siku moja alikuja kwangu amepigwa vibaya akiwa amevimba uso. ila kwa sasa nimeoa na bado anataka turudiane. Mimi nampenda sana kuliko hata mke wangu coz she was my first love! Nayeye mimi i was her first love. Hebu nisaidie
 
Mara nyingi wamama wanasubiri wababa waje karibu nao. Hivyo kama mume uko mbali na mkeo, naye mke atakuwa mbali nawe.
Kwa kuwa mbali ma mume, mke hujaribu kutoendelea kumhudumia mumewe kwa kutumia msichana wa kazi.
Ukiona hivyo ujue hapo mume ndio aliyeanza kuwa mbali ma mkewe. Mke hawezi kulazimisha ukaribu wa mumewe.
Ni jukumu la mume kuwa karibu na mkewe.
Mume anatakiwa kuwa karibu na mkewe ili apate huduma zote za mke.
Mkuu Wiyelele, anza sasa kuwa karibu na mkeo utaona matokeo hivi karibuni.
Kaa 'karibu sana' na mkeo ( sisitiza neno 'karibu sana' ...) Yaani 'very close proximity' !!!
Sijui nitumie tafsida gani hapa, yaani kila kiungo chako kiwe karibu na mkeo, na ukiwa karibu na mkeo, hakikisha uko 'live', uko 'active', na uko 'mahiri' 'kutembelea' 'idara' zote husika za ndoa !! (Siwezi kueleza zaidi ya hapo) !!!!
Itafika mahala, huyo house girl utamuona kama kero tu....

Asee wale mama zetu sawa sio hawa wa kizazi cha dot com! Unataka ukaribu gani mangi wakati we unarudi nyumbani wala haoni kama kuna mtu kaingia! Unaenda chumbani yeye kang'ang'ania shade of sin! Hata pole mme wangu hamna! Ukirudi sebuleni ndo kwanza kashika remote zote mkononi? Mkuu sio kwamba hatukai nao karibu ila wao wanajenga daraja lkati yao na sisi! Tena usiombe ukute uliombwa hela ya wigi lile la laki tatu na hukutoa hiyo hela hata miezi sita itapita bila kulamba kitu ingawa naye anafanya kazi!
 
mkuu we ni jirani yangu nini maana naona kama umeangalia life yangu ukaamua kuileta humu ila wanajf wanakukoromea bure mi naona weakness imo kwa hawa wake zetu

Kuna msemo unasema...
'Ukitaka kumulika nyoka gizani, anza kumulika mguuni pako'.
Yaani kitaka kutafuta chanzo cha tatizo, anzia kwako wewe mwenyewe !!!
 
Nina wasiwasi kama una mke,kwa akili nilizoziona ulivyokuwa unamtetea aliekuwa demu wako! naona kama unatafuta attenton fulani hivi humu.Ni mtazamo wangu
 
Asee wale mama zetu sawa sio hawa wa kizazi cha dot com! Unataka ukaribu gani mangi wakati we unarudi nyumbani wala haoni kama kuna mtu kaingia! Unaenda chumbani yeye kang'ang'ania shade of sin! Hata pole mme wangu hamna! Ukirudi sebuleni ndo kwanza kashika remote zote mkononi? Mkuu sio kwamba hatukai nao karibu ila wao wanajenga daraja lkati yao na sisi! Tena usiombe ukute uliombwa hela ya wigi lile la laki tatu na hukutoa hiyo hela hata miezi sita itapita bila kulamba kitu ingawa naye anafanya kazi!

Sasa katika hali kama hii tunafanyaje ??
Maana ukichukua 'uamuzi' kama wa Wiyelele, kusema uangalie uwezekano wa 'kuhamia' kwa house girl, si ndio mabo yataharibika kabisa.
Dawa ni kutafuta suluhu na mke. Kuangalia wapi kuna kikwazo.
 
Nimesoma kwa kituo na sioni tatizo la yeye kuwa muwazi. Hata hiyo thread ya mke wa mtu kutaka kurudiana naye haina ajabu yoyote. Wapo wake na waume wengi ambao hawamo kwenye ndoa zenye furaha na huwasiliana na wale waliokuwa wapenzi wao kabla ya kuoa/kuolewa na kuwaomba kama inawezekana wakarudiana ila wengine hawawi wawazi na kuja hapa kuandika yanayowasibu ndani ya ndoa zao. Sioni cha ajabu hapo.

Mkuu watu wahakurupuki soma thread yake kabla ya hii,
user-online.png
Wiyelele

9th November 2012 10:32
#1
Senior Member Array


Join Date : 9th November 2012
Posts : 101
Rep Power : 321
Likes Received10
Likes Given26



icon1.png
Mke wa mtu anataka turudiane, alikuwa girlfriend wangu


Nisaidieni jamani. Nilikuwa na msichana ambaye nilimpenda sana, lakini aliolewa wakati sikuwa na pesa. Huko aliko ananyanyaswa sana na mme wake. Siku moja alikuja kwangu amepigwa vibaya akiwa amevimba uso. ila kwa sasa nimeoa na bado anataka turudiane. Mimi nampenda sana kuliko hata mke wangu coz she was my first love! Nayeye mimi i was her first love. Hebu nisaidie
 
nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu hg, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.



house girl means much to you more than just your wife??
Indeed brother man u have gone astray..
 
Mwanangu Wiyelele acha uroho na tamaa za kipuuzi. Kwanini usimwambie mkeo matatizo yake na jinsi yanavyokuathiri badala ya kuanza kumwakia HG wenu? Si useme tu kuwa unajenga mazingira ya kutaka kumwacha mkeo na kuoa huyo HG? Ila kumbuka. Mkeo anaweza kummwagia maji ya moto na huo uzuri uliokuzuzua ukapotea ukamponza mtoto wa watu. Warembo hawajazaliwa. Leo utampenda huyo na kumponda hata kumwacha mkeo. Kesho utapata HG mwingine mzuri kuliko huyo naye unamnyemelea. Utanyemelea wangapi mwanangu? Usikubali kuingia majaribuni. Ili kukusaidia zaidi hebu fikria mkeo angemuona House Boy wenu mzuri kuliko wewe ungejisikiaje? Nadhani tatizo la mkeo si kilema. Ni malezi mabaya tu ya kutojulishwa wajibu na mipaka ya mke. Kwangu mimi HG hawezi kugusa vitu vyangu hasa ikizingatiwa kuwa mama yenu alilelewa vilivyo.
 
Nimesoma kwa kituo na sioni tatizo la yeye kuwa muwazi. Hata hiyo thread ya mke wa mtu kutaka kurudiana naye haina ajabu yoyote. Wapo wake na waume wengi ambao hawamo kwenye ndoa zenye furaha na huwasiliana na wale waliokuwa wapenzi wao kabla ya kuoa/kuolewa na kuwaomba kama inawezekana wakarudiana ila wengine hawawi wawazi na kuja hapa kuandika yanayowasibu ndani ya ndoa zao. Sioni cha ajabu hapo.
Nimekupata mkuu hata mimi nafurahia uwazi wake ila nilikuwa napinga kuwa amechukua jitihahada za makusudi za kuinusuru ndoa yake wakati anajua fika analotatizola kumpenda mkewe, Na ndio maana haoneshi ni sababu ipi inayomfanya atake kurudi kwa EX GF wake na pia kumuoa House girl, lakini pia bado anatatizo la kuwa na msimamo kwenye mapenzi maana haiwezekani ndani ya wiki moja anataka ushauri kwa watu wawili, pia kibaya zaidi sababu aliyoitoa hapo juu sio kuwa anampenda huyo binti ila anavutia kuliko mkewe na watu wanamsifu binti kuliko mama mwenye nyumba(mkewe) mpaka hapo hata yeye hajui kwanini anataka kumwacha mkewe angukuwa na sababu zilizonyooka( specific). Cha muhimu aiinishe chanzo sahihi cha kutokuelewana na mkewe ndio aje tumshauri sio hicho achokifanya sasa, maana kwa kukosa sababu zilizonyooka(specific) inaonekana anamsingizia huyo mkewe
 
Katika michango yako naona ameweka wazi kabisa sababu ambazo zinamfanya hana furaha ndani ya ndoa yake kiasi cha kuomba msaada kwa wakwe zake na wazee wa kanisa. Unapokuwa kwenye ndoa ambayo haina furaha na umejitahidi kadri ya uwezo wako kubadilisha hali hiyo bila mafanikio basi unakuwa kama mfa maji hauishi kutapatapa kutafuta namna ya kujitoa katika ndoa hiyo, hiyo hakuna cha ajabu kwa huyu jamaa kuomba ushauri kuhusu EX GF ambaye ni mke wa mtu katika ndoa ambayo imeshamshinda na hg ambaye anazidi kunawiri na kuvutia kwa kila hali na ambaye ana onyesha adabu tele kwa baba mwenye nyumba kuliko mke ambaye pamoja na msaada wa wazazi wake na wazee wa kanisa bado ni kichwa maji.

Nimekupata mkuu hata mimi nafurahia uwazi wake ila nilikuwa napinga kuwa amechukua jitihahada za makusudi za kuinusuru ndoa yake wakati anajua fika analotatizola kumpenda mkewe, Na ndio maana haoneshi ni sababu ipi inayomfanya atake kurudi kwa EX GF wake na pia kumuoa House girl, lakini pia bado anatatizo la kuwa na msimamo kwenye mapenzi maana haiwezekani ndani ya wiki moja anataka ushauri kwa watu wawili, pia kibaya zaidi sababu aliyoitoa hapo juu sio kuwa anampenda huyo binti ila anavutia kuliko mkewe na watu wanamsifu binti kuliko mama mwenye nyumba(mkewe) mpaka hapo hata yeye hajui kwanini anataka kumwacha mkewe angukuwa na sababu zilizonyooka( specific). Cha muhimu aiinishe chanzo sahihi cha kutokuelewana na mkewe ndio aje tumshauri sio hicho achokifanya sasa, maana kwa kukosa sababu zilizonyooka(specific) inaonekana anamsingizia huyo mkewe
 
Wazuri hawaishi wewe, kila siku wanaibuka wapya. hata mkeo atakuwa anakutana na gentlemen za uhakika ila amekukubali wewe. Tulizana.
 
Back
Top Bottom