Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Naona upo kwenye operation ya kumuacha mkeo coz visa haviishi mara demu wako wa zamani,mara house girl kawa mzuri,mara hakunyooshei nguo kwa miaka 4.
MY TAKE; HUO NI UPEPO WA KUCHOKANA TU NA HATA SISI ULITUKUTA ILA TULIUMALIZA KWA KUVUNJA UKIMYA NA KUONGEZA VIONJO VYA OUT,ZAWADI NA MWANAUME NA WEWE UNATAKIWA UWE PROVIDER SIO KUJIPANGA KUWA RECEIVER WA KILA KITU WANAWAKE WAMECHOKA TUMEZIDI UMWINYI.
 
It seems to me humpendi mkeo na unashindwa kumuacha so unakuja kutafuta visingizio hapa jamvini. Mwambie unavyojisikia ili abadilike, kaa kimya na vumilia uishi nae au mwache. its up to you

Nilimpenda saana ndo maana nilimuoa, ila akaanza kubadilika ghafla. Nilijaribu saana kumuelimisha hadi kwenda kwa wazee wa kanisa, hadi kwa baba paroko! ila yote ikawa kutwanga maji kwenye kinu.
 
Naona upo kwenye operation ya kumuacha mkeo coz visa haviishi mara demu wako wa zamani,mara house girl kawa mzuri,mara hakunyooshei nguo kwa miaka 4.
MY TAKE; HUO NI UPEPO WA KUCHOKANA TU NA HATA SISI ULITUKUTA ILA TULIUMALIZA KWA KUVUNJA UKIMYA NA KUONGEZA VIONJO VYA OUT,ZAWADI NA MWANAUME NA WEWE UNATAKIWA UWE PROVIDER SIO KUJIPANGA KUWA RECEIVER WA KILA KITU WANAWAKE WAMECHOKA TUMEZIDI KUENDEKEZA UMWINYI.
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

Mimi simo ndugu yangu,hapa ni pazito.
 
Inawezekana house boy nae kwa vigezo vya kuwa mume wa mkeo amekupita saana....., si vibaya ukamwomba ajaribu na yeye
 
kula tu mzigo ndugu yangu.............

Afadhali umenishauri vizuri maana HG alipokuja nilimpiga picha, nikiiweka na alivyo sasa hata yeye anajikubali. Sasa iweje nimpendezeshe na mwingije aje ajipatie tu? Lazima nifanye replacement haraka! asante bwana
 
Japo kila mtu amechangia anavyoamin..mimi kwa upande wangu naamin unapokua na mchumba na ukaamua kumuoa inamaanisha upo tayari kuyabeba mapungufu yake yote na yeye pia pindi anpokubali kuolewa nawe maanake yupo tayari kufanya the same....kama huwez kuvumilia mapungufu ya mkeo kama ulivyoyaorodhesha ambapo karibia yote yanatatulika kamwe hutaweza kuvumilia mapungufu ya msichana mwingine yoyote ambae utakua nae hata kama awe mzuri kupta kiasi...na kamwe siamini kua wakati unataka muoa mkeo hakukua na wasichana wengine wazuri zaidi yake na wapole,walikuwepo ila ulichukua maamuz ya kumfanya mkeo....Kwahyo kaka vumilia utayazoea na utaishi vizuri ...
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

Jibinafsishe tu HG mwenyewe tayali yuko katika himaya yako!
 
Afadhali umenishauri vizuri maana HG alipokuja nilimpiga picha, nikiiweka na alivyo sasa hata yeye anajikubali. Sasa iweje nimpendezeshe na mwingije aje ajipatie tu? Lazima nifanye replacement haraka! asante bwana

yap maaana wife kama hafanyi anayotakiwa kufanya basii ruksa kula...kwa nini ujipe stress ??
 
yap maaana wife kama hafanyi anayotakiwa kufanya basii ruksa kula...kwa nini ujipe stress ??

.............halafu maisha yenyewe mafupi haya! Nishindwe kufurahia maisha kisa kuzinguliwa na mke? Thumbs up my friend!
 
Vizuri vyote halali yako kama viko chini ya paa lako??
Kama hg tu anakuuma, binti yako je?

Hufai kukaa karibu na watoto wewe, waweza kula maini yako mwenyewe
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa). Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl. Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

chunga tamaa mbaya
 
Mi nitaishia hapa kwa HG tu and that line of chain you have indicated is your own imagination. We sail through various waves before we finally get settled and that is the moment i am now going through!

You might be having hard time in your marriage life but I don't think if that option on your mind will bring the best results.Try to see the positive side of your wife as no one is perfect 100%,the same applies to her,you are not completely perfect to her.Let me as you one question,you have been together for how long now?
 
Back
Top Bottom