Houth na Hizbullah wamecharuka.Kila mmoja atoa silaha mpya.Israel yaonesha dalili kuwa wameishiwa na pumzi

Houth na Hizbullah wamecharuka.Kila mmoja atoa silaha mpya.Israel yaonesha dalili kuwa wameishiwa na pumzi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wiki hii nzima Hizbullah wamekuwa wakirusha makombora mfululizo kuzipiga kambi za jeshi kaskazini ya Israel.Kinachoshangaza majibu ya makombora hayo yamekuwa hafifu sana kutoka kwa Israel ukiondoa yale ya kupiga gari na pikipiki zilizobeba baadhi ya makamanda wa Hizbullah.

Miongoni mwa silaha mpya walizoanza kuzitumia Hizbullah ni makombora ya kutungulia ndege ambapo ndege za Israel za kivita kwa kutambua silaha hizo zimelazimika kurudi zilikotoka.

Kwa upande wao Houth baada ya kuzindua kombora la Hypersonic wiki iliyopita ambalo halikukamatika mpaka likatua mji wa kusini wa Eliat. Leo tena wapiganaji hao wametumia droni ya baharini ambayo imeipiga meli inahofiwa huenda ikazama. Droni kama hizo ni silaha mpya ambazo zimeanza kutumiwa na Ukraine katika vita vyake na Urusi.

Hali hii kama ukilinganisha na mchezo wa masumbwi ni kama vile bondia asiyekuwa maarufu anavyoweza kumrushia bondia anayetetea taji lake ngumi katikati ya mchezo na washangiliaji kuanza kupata kiwewe wa bondia huyo akionekana kuyumba huku na kule.

Habari kama hizi huenda zikabezwa au zikawaudhi akina Imeloa,Maghayo,MK254 na wenzao lakini kwa mwenye macho mwengine atakuwa ameona tofauti iliyoanza kujitokeza katika vita vinavyoendelea mashariki ya kati.
1718351664651.png
 
Wiki hii nzima Hizbullah wamekuwa wakirusha makombora mfululizo kuzipiga kamba za jeshi kaskazini ya Israel.Kinachoshangaza majibu ya makombora hayo yamekuwa hafifu sana kutoka kwa Israel ukiondoa yale ya kupiga gari na pikipiki zilizobeba baadhi ya makamanda wa Hizbullah.
Miongoni mwa silaha mpya walizoanza kuzitumia Hizbullah ni makombora ya kutungulia ndege ambapo ndege za Israel za kivita kwa kutambua silaha hizo zimelazimika kurudi zilikotoka.
Kwa upande wao Houth baada ya kuzindua kombora la Hypersonic wiki iliyopita ambalo halikukamatika mpaka likatua mji wa kusini wa Eliat.Leo tena wapiganaji hao wametumia droni ya baharini ambayo imeipiga meli inahofiwa huenda ikazama.Droni kama hizo ni silaha mpya ambazo zimeanza kutumiwa na Ukraine katika vita vyake na Urusi.
Habari kama hizi huenda zikabezwa au zikawaudhi akina Imeloa,Magharyo,MK254 na wenzao lakini kwa mwenye macho mwengine atakuwa ameona tofauti iliyoanza kujitokeza katika vita vinavyoendelea mashariki ya kati.
Ni jambo zuri na lakupongezwa
 
Wiki hii nzima Hizbullah wamekuwa wakirusha makombora mfululizo kuzipiga kamba za jeshi kaskazini ya Israel.Kinachoshangaza majibu ya makombora hayo yamekuwa hafifu sana kutoka kwa Israel ukiondoa yale ya kupiga gari na pikipiki zilizobeba baadhi ya makamanda wa Hizbullah.
Miongoni mwa silaha mpya walizoanza kuzitumia Hizbullah ni makombora ya kutungulia ndege ambapo ndege za Israel za kivita kwa kutambua silaha hizo zimelazimika kurudi zilikotoka.
Kwa upande wao Houth baada ya kuzindua kombora la Hypersonic wiki iliyopita ambalo halikukamatika mpaka likatua mji wa kusini wa Eliat.Leo tena wapiganaji hao wametumia droni ya baharini ambayo imeipiga meli inahofiwa huenda ikazama.Droni kama hizo ni silaha mpya ambazo zimeanza kutumiwa na Ukraine katika vita vyake na Urusi.
Habari kama hizi huenda zikabezwa au zikawaudhi akina Imeloa,Magharyo,MK254 na wenzao lakini kwa mwenye macho mwengine atakuwa ameona tofauti iliyoanza kujitokeza katika vita vinavyoendelea mashariki ya kati.
Waarabu wa Sikonge bhana.
 
Wiki hii nzima Hizbullah wamekuwa wakirusha makombora mfululizo kuzipiga kamba za jeshi kaskazini ya Israel.Kinachoshangaza majibu ya makombora hayo yamekuwa hafifu sana kutoka kwa Israel ukiondoa yale ya kupiga gari na pikipiki zilizobeba baadhi ya makamanda wa Hizbullah.

Miongoni mwa silaha mpya walizoanza kuzitumia Hizbullah ni makombora ya kutungulia ndege ambapo ndege za Israel za kivita kwa kutambua silaha hizo zimelazimika kurudi zilikotoka.

Kwa upande wao Houth baada ya kuzindua kombora la Hypersonic wiki iliyopita ambalo halikukamatika mpaka likatua mji wa kusini wa Eliat. Leo tena wapiganaji hao wametumia droni ya baharini ambayo imeipiga meli inahofiwa huenda ikazama. Droni kama hizo ni silaha mpya ambazo zimeanza kutumiwa na Ukraine katika vita vyake na Urusi.

Habari kama hizi huenda zikabezwa au zikawaudhi akina Imeloa,Magharyo,MK254 na wenzao lakini kwa mwenye macho mwengine atakuwa ameona tofauti iliyoanza kujitokeza katika vita vinavyoendelea mashariki ya kati.
Dogo hivi punde Kuna Habari kiongozi wa hizbolah ameuwawa na washirika 14 wamejeruhiwa

Wale wahuni tu. wamedangamywa eti wapiganie dini yao wakifa vita watapewa mahurulain 72
 
Dogo hivi punde Kuna Habari kiongozi wa hizbolah ameuwawa na washirika 14 wamejeruhiwa

Wale wahuni tu. wamedangamywa eti wapiganie dini yao wakifa vita watapewa mahurulain 72
Habari niliyoina karibuni imesema makombora 150 ya Hizbullah yamesababisha moto mwengine maeneo 15 kaskazini ya Israel mbali na ule uliozimwa wiki iliyopita.
 
Back
Top Bottom