Houth wasema wataendelea kuifunga Red Sea mpaka Marekani na Israel ziondoke Gaza

Houth wasema wataendelea kuifunga Red Sea mpaka Marekani na Israel ziondoke Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mjumbe wa baraza la mapinduzi la Yemen,Mohammed Ali Houth amejibu azimio la Umoja wa mataifa linaloitaka kuacha kushambulia meli kwenye bahari nyekundu.
Akijibu azimio hilo,kiongozi huyo wa Houth amesema hawatoacha mashambulizi yao mpaka hapo Marekani itakapoacha kuiunga mkono Israel katika kuleta madhara kwa wapalestina wa Gaza. kwa sababu kwa kitendo hicho Marekani nayo inavunja sheria za kimataifa.
Jibu lake hilo kupitia mtandao wa twiter(X) limeendelea kusema kuwa Marekani na Israel zinapaswa kuacha mara moja mashambulizi yake Gaza yanayozuia masihda kuendelea.
Mzingiro wa Gaza unaofanywa kwa pamoja kati ya Marekani na Israel ni silaha mbaya iliyogeuza eneo hilo kuwa gereza kubwa la wazi lenye kutoa adhabu kwa jumla kwa wapalestina wote.Kile Yemen kinachofanya kinakwenda sambamba na kanuni ya kujilinda na kuwalinda wanaoonewa.
Huyu ndiye Mohammed Ali Houth

In response to UN resolution, Houthis accuse US, Israel of violating int’l law in Gaza

 
Mjumbe wa baraza la mapinduzi la Yemen,Mohammed Ali Houth amejibu azimio la Umoja wa mataifa linaloitaka kuacha kushambulia meli kwenye bahari nyekundu.
Akijibu azimio hilo,kiongozi huyo wa Houth amesema hawatoacha mashambulizi yao mpaka hapo Marekani itakapoacha kuiunga mkono Israel katika kuleta madhara kwa wapalestina wa Gaza. kwa sababu kwa kitendo hicho Marekani nayo inavunja sheria za kimataifa.
Jibu lake hilo kupitia mtandao wa twiter(X) limeendelea kusema kuwa Marekani na Israel zinapaswa kuacha mara moja mashambulizi yake Gaza yanayozuia masihda kuendelea.
Mzingiro wa Gaza unaofanywa kwa pamoja kati ya Marekani na Israel ni silaha mbaya iliyogeuza eneo hilo kuwa gereza kubwa la wazi lenye kutoa adhabu kwa jumla kwa wapalestina wote.Kile Yemen kinachofanya kinakwenda sambamba na kanuni ya kujilinda na kuwalinda wanaoonewa.
Huyu ndiye Mohammed Ali Houth

In response to UN resolution, Houthis accuse US, Israel of violating int’l law in Gaza


Endeleeni tu , mtakapoanza kupigwa msilie . Hiyo njia ni uchumi wa dunia.
 
Yemen ni moja ya mataifa maskini sana duniani na badala ya kushughulikia umaskini wao wanaojiingiza kwenye maswala ambayo yanazidi kuchochea zaidi umaskini wao. Hiyo ndio akili ya waarabu. Bure kabisa.
 
Marekani mjanja sana. Kwenda un ni kama mpango wa kutaka kuhalalisha kichapo kwa Yemen.
 
Kusaidia wengine sio lazima uwe tajiriiiii ndio maana tanganyika ilisaidia nchi nyingi harakati za uhuru na nyingne zilikuwa na maendele kuliko tanganyika kwahyo waache wasaidie ndugu zao wanaoonewa.
Yemen ni moja ya mataifa maskini sana duniani na badala ya kushughulikia umaskini wao wanaojiingiza kwenye maswala ambayo yanazidi kuchochea zaidi umaskini wao. Hiyo ndio akili ya waarabu. Bure kabisa.
 
na sikia sungura kule porini kaweka msimamo hataki tembo,chui wala simba wafike msituni
 
Yemen ni moja ya mataifa maskini sana duniani na badala ya kushughulikia umaskini wao wanaojiingiza kwenye maswala ambayo yanazidi kuchochea zaidi umaskini wao. Hiyo ndio akili ya waarabu. Bure kabisa.
Umaskini wao ni matokeo ya kuchochewa na kuingiliwa mipango yake.
Yemen nayo ina mafuta na ardhi nzuri sana kwa kilimo na ufugaji.Umaskini uko wapi hapo
 
Upo nyuma sana, kwa taarifa yako wanajeshi ndio wanalialia, ungejua wanapata kichapo, mpaka sasa maelfu ya wanajeshi wamepoteza maisha.
Idadi iliyoenea mitandaoni ni askari 9000 waliokufa na maiti zao kuhifadhiwa kwenye meli bahari ya Mediterranean.
Mwanzoni maiti na majeruhi walikuwa wanarudishwa Israel na kwa hofu ya machafuko wakaamua kuwahifadhi kwenye meli.
Walichokiri Israel katikati ya Desemba 2023 ni idadi ya majeruhi ambao wasingeweza kurudi vitani kuwa ni zaidi ya 2500.Hiyo pekee ilitoa dalili ya idadi ya vifo kuwa ni kubwa sana kama inavyofichuliwa sasa.
 
Marekani mjanja sana. Kwenda un ni kama mpango wa kutaka kuhalalisha kichapo kwa Yemen.
Aende akawapige mkuu....naona Hollywood films zinawadanganya sana ndugu zangu....hao viranja wa Dunia wanavyojiita wao wanatumia huo umoja wa mataifa kwa maslahi Yao na si kwa maslahi ya Dunia nzima...uzuri ni kwmba Kila siku zinavyozidi kusonga watu wanazidi kufunguka macho....akalalamike huko kwny huo umoja apewe ruhusa aingie mzigoni tuone....huku kule kwa Zelensky...huku huko Gaza...huku Houthi...huku Lebanon...huku Taiwan....hapohapo mwaka wa uchaguzi huu kwao....mambo sio rahisi kama mnavyodhani....wanasiasa sio watu wa kuwaamini kabisa
 
Anaona wenzake wanafaidi bikira walipo huko.
Uzuri popote kombora linafika
 
Aende akawapige mkuu....naona Hollywood films zinawadanganya sana ndugu zangu....hao viranja wa Dunia wanavyojiita wao wanatumia huo umoja wa mataifa kwa maslahi Yao na si kwa maslahi ya Dunia nzima...uzuri ni kwmba Kila siku zinavyozidi kusonga watu wanazidi kufunguka macho....akalalamike huko kwny huo umoja apewe ruhusa aingie mzigoni tuone....huku kule kwa Zelensky...huku huko Gaza...huku Houthi...huku Lebanon...huku Taiwan....hapohapo mwaka wa uchaguzi huu kwao....mambo sio rahisi kama mnavyodhani....wanasiasa sio watu wa kuwaamini kabisa
Na historia ya ujanja wake iko wazi kuwa kila alipoingia kichwa kichwa hakutoka salama.
Ya karibuni ni Afghanistan,Iraq,Libya na Syria. pamoja na Ukraine.Kote huko Marekani imeaibika sana
 
Idadi iliyoenea mitandaoni ni askari 9000 waliokufa na maiti zao kuhifadhiwa kwenye meli bahari ya Mediterranean.
Mwanzoni maiti na majeruhi walikuwa wanarudishwa Israel na kwa hofu ya machafuko wakaamua kuwahifadhi kwenye meli.
Walichokiri Israel katikati ya Desemba 2023 ni idadi ya majeruhi ambao wasingeweza kurudi vitani kuwa ni zaidi ya 2500.Hiyo pekee ilitoa dalili ya idadi ya vifo kuwa ni kubwa sana kama inavyofichuliwa sasa.

Ni habari njema kabisa
 
Marekani mjanja sana. Kwenda un ni kama mpango wa kutaka kuhalalisha kichapo kwa Yemen.
Ukiona Kifaranga juu ya Mtungi ujue Mama wa Kifaranga (Kuku) yupo chini. Huyo Houth ana kiburi sababu ya Iran na Iran ana kiburi sababu ya Russia, China na Korea ya Kaskazini. Ndio maana Marekani anaingia kwa hesabu sana kwenye huu mgogoro wa kuzuiwa kwa meli kupita Red Sea.
 
Us alialika marafiki pale redsee,wako wapi?katimkia UN,,,,,Kuna kitu hakiko sawa.
Wakati hili saga linaanza niliwaambia watu sidhanii kama CIA wana ujinga wakuenda kuiamrisha Americant ipigane na houthi siidhanii

Houthi anajua Americant hawezi kuingia hapo na akiingia basi kwisha habari yake tutakuja kuambiana hapa kama uhai utakuepo

Ndio maana safari za blinken haziishi huko kuwambia mazayuni yaondoke ghaza la sivyo watateseka maana wao hawawezi kuwapiga houthi


Yaani Americant anangojewa aingie mzima mzima kwenye huo mtego atajuta yaani kuzaliwa

Unadhani Alichokifanya kule ukraine kumwaga masilaha Russia alikipenda kile eeenh
 
Back
Top Bottom