Houth wasema wataendelea kuifunga Red Sea mpaka Marekani na Israel ziondoke Gaza

Houth wasema wataendelea kuifunga Red Sea mpaka Marekani na Israel ziondoke Gaza

Yemen ni moja ya mataifa maskini sana duniani na badala ya kushughulikia umaskini wao wanaojiingiza kwenye maswala ambayo yanazidi kuchochea zaidi umaskini wao. Hiyo ndio akili ya waarabu. Bure kabisa.
Pole Sana.
Yemeni Kama isingelikua US kumshika kola Saudia kuivamia Basi isingekua maskini.
Pia sasahiv Yemen inapiga hatua adoado kiuchumi tizama takwimu za miaka miwili iliyopita ujionee.
 
Unadhani Alichokifanya kule ukraine kumwaga masilaha Russia alikipenda kile eeenh
.

Huu mgogoro Kwa mtazamo wangu Urusi anahusika panono.wakati SMO ilianza pale Uikrane, Israel ikakataa kupeleka siraha Uikrane ikihofia Urusi atawafungulia milango vile vikundi vya madhariki ya kati na Israel haitakalika Kwa amani,laaah Israel ikawa inatuma siraha kimya kimya Uikrane huku kwenye makaratasi wanamwambia Putin usijali tupo pamoja,
Sorry kuwa nje ya kilichopo.🤣🤣🤣
20231008_214225.jpg
 
.

Huu mgogoro Kwa mtazamo wangu Urusi anahusika panono.wakati SMO ilianza pale Uikrane, Israel ikakataa kupeleka siraha Uikrane ikihofia Urusi atawafungulia milango vile vikundi vya madhariki ya kati na Israel haitakalika Kwa amani,laaah Israel ikawa inatuma siraha kimya kimya Uikrane huku kwenye makaratasi wanamwambia Putin usijali tupo pamoja,
Sorry kuwa nje ya kilichopo.🤣🤣🤣View attachment 2868738
Hehe basi Russia itakua kaweka hata mguu mmoja
Na ndio maana Americant anasua sua sanaa
 
Back
Top Bottom