.
Huu mgogoro Kwa mtazamo wangu Urusi anahusika panono.wakati SMO ilianza pale Uikrane, Israel ikakataa kupeleka siraha Uikrane ikihofia Urusi atawafungulia milango vile vikundi vya madhariki ya kati na Israel haitakalika Kwa amani,laaah Israel ikawa inatuma siraha kimya kimya Uikrane huku kwenye makaratasi wanamwambia Putin usijali tupo pamoja,
Sorry kuwa nje ya kilichopo.🤣🤣🤣
View attachment 2868738