Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
- Thread starter
- #21
Matatizo ya kuvuta bangi za Temeke hizo. kuna jamaa pale anauza sigara huwa anauza na bangi pia nilikwenda na msela wangu kununua kumaliza kuvuta nilijiona kama mchizi fulani. Mpaka leo sinunui bangi kama sikujui dadeki zake
Uzuri sijawahi na situmii kilevi chochote tangu nizaliwe n will never