Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Bac endelea kuitunza hivyo hivyo usijefanya kama ya pale uhuru jana,japo ungeweka nyama kidogo ningeelewaApana mkuu, umeninukuu vibaya, heshima yako nakutunzia Sana humu ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bac endelea kuitunza hivyo hivyo usijefanya kama ya pale uhuru jana,japo ungeweka nyama kidogo ningeelewaApana mkuu, umeninukuu vibaya, heshima yako nakutunzia Sana humu ujue
Of course yes nilichukulia Kama sehemu ya mafunzo,watu huja maishani mwetu Kama funzo au kwa sababu flani so tukishindwana maisha yaendelee, Mimi nakuombea mema na kila la heriUng
Inaonekana ulichukulia kama funzo tu, ndio maana umemove on... Tena unamwombea na mema kabsa
Kwa hili big up, I hope unataman na wanao wawe hivi hiviOf course yes nilichukulia Kama sehemu ya mafunzo,watu huja maishani mwetu Kama funzo au kwa sababu flani so tukishindwana maisha yaendelee, Mimi nakuombea mema na kila la heri
Napenda wawe na tabia njema ya kuheshimu watu wengine na kuepuka kuumiza watu wengineKwa hili big up, I hope unataman na wanao wawe hivi hivi
Dahh Bora mtu wangu hana ex, maana angekua ameshapashwa kiporo mara kwa mara[emoji16]
"mnafeelana" ilikua ni lazima uchanganye lugha mkuu;? au ndo unawatukana waziwazi tu.Fanya kama unamrudia hv manake ni kama bado mnafeelana hv
Alitupa tanzanite akaokota chupa[emoji28][emoji28]
Siwezi kurud kamweLazima maisha yaendelee, big up mkuu. I hop anataman urud😅
To feel each other! Kufeelana"mnafeelana" ilikua ni lazima uchanganye lugha mkuu;? au ndo unawatukana waziwazi tu.
Baada ya kuniona alinengua tabasam lake lilelile la mara zote!,sura yake tamu bado ilikuwa ikimea Kama uwaridi lenye unyevunyevu wa maji murua toka peponi..!
Ka mwanya kake kakichokozi kalinisabahi kwa mbwembwe kama mwali aliepoteza mume wake na kisha kumuona tena!!..
Ilibidi nigande kwa sekunde takribani tano nikiusabahi mwili wake uliokuwa wakibunifu,Tena uliohubiri ufundi stadi wa kazi ya alie juu!.
Sio siri ex yule alijaaliwa yani palipokuwa panahitajika kubonyea palibonyea Kama ilivyotakikana na palipotakiwa kutuna palituna kiufundi stadi uliotukuka!!..
Ni sauti yake tamu tu ndo ilinigutua kutoka ktk ubutwaa!.. na vile alivyoniita jina langu kwa sauti ya huba iliyojaa tashtwitwi za mahaba nilijiona ninahatia kwanini nilimuacha mtoto mzuri kama yeye.. Sasa hapo ndipo moyo ukaniambia "Pasha kiporo!!"
Na hapohapo ndo nikasikia sauti ya jogoo akiwika! Kumbe nilikuwa naota kamongo mimi.. hakuna siku ambayo nilijichapa kwenzi Kama siku hiyo kwa kuota kukutana na ex wa ndotoni..[emoji12]
Yuko nae wangu alikuwa ex kwa mwezi ss umeisha,juz kati nkamwambia naumwa npo tu geto nmejituliza,kanambia nakuja kukujulia hali,ile kufika ananikuta nzma wa afya ,kilichofuatua n kuishia kitandan romanc za maana na show ya maana,cha ajabu kanitxt kuwa hatuwez endelea tena cz hata hyo jana alikuja nijulia hali tu na wala c kuvunja amri ya 6,m nmemwambia aendee tu siwez mlazimisha awe na mm,bt nmejiulza kwa nn aje anipe mzgo then anambie tuachane?
Mwenyewe..😜[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1431] jinga kweli ww
Nagegeda haswaaa mpka alikuwa ananiletea mwenyew bila kuombwa mkuu,ila kuna ila tulitofautiana kidogo nkamtukana matuc mazito mnoo,naona yamemuathiri hata hamu ya kungonoka ikapoteaHujui kugegeda chief thats y
Kanenepa baada ya kukuacha wewe.kwa maana ulikuwa ukimsugua saana roho yake[emoji849]Nilipata mshangao
Eti na yeye kawa na kitambi