How did you feel the last time you saw your Ex?

Ung
I felt very normal nikawaza huyu mpuuzi aliniloga Hadi tukawa naye au Nini?
Though humuombea yaliyo mema always
Inaonekana ulichukulia kama funzo tu, ndio maana umemove on... Tena unamwombea na mema kabsa
 
Ung

Inaonekana ulichukulia kama funzo tu, ndio maana umemove on... Tena unamwombea na mema kabsa
Of course yes nilichukulia Kama sehemu ya mafunzo,watu huja maishani mwetu Kama funzo au kwa sababu flani so tukishindwana maisha yaendelee, Mimi nakuombea mema na kila la heri
 
Kwa hili big up, I hope unataman na wanao wawe hivi hivi
 
Of course yes nilichukulia Kama sehemu ya mafunzo,watu huja maishani mwetu Kama funzo au kwa sababu flani so tukishindwana maisha yaendelee, Mimi nakuombea mema na kila la heri
Kwa hili big up, I hope unataman na wanao wawe hivi hivi
 
I feel so good, tulipeana hai.. stor mbili tano. Ni nilifrahi kumwona kwa kwel🤗🤗
 

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1431] jinga kweli ww
 

Hujui kugegeda chief thats y
 
Kila tukionana lazma tukumbushie kwa kungegedana japo kila mtu yupo na maisha yake
Yeye aliolewa na mimi nlioa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…