How does WhatsApp Make Money?

Kwa hiyo wanaenda kuwauzia kampuni hizo Mb's au?
 
I wanna know how whatsapp leads to betrayal in the city ?
 
Vipi wanaotumia free Wi-Fi
 
ingekuwa hivyo hao wagunduzi wa whatsupp wasingeuza
 
I checked some days ago, Still end to end encryption is safe unless one gains physical access to your device.
ni safe kwa watu wasio jua ku hack-lakini sio kwa watu wanao hack! au kampuni yenyewe hao face book wana uwezo wa kupata information yyte kutoka kwa user wao.
 

sio kweli malipo ya Mb yanaishia kwa ISP
 
sahihi kwa urahisi kwabisa tunasema whatsapp inategemeza facebook na instagram kwa kuwapa data za watumiaji...
 
uko sahihi wengi hawajui hilo!
 
Umeandika kwa confidence kabisa wakati hakuna unalojua..
 
You are right mkuu, kwa watumiaji wa android watathibitisha hela.... Ukiwasha data tu, utaona poups za addons kweny screen most of the things n vitu ambavyo kwa namna moja au nyingne uliwahi kuviserach mtandaon au vngne n vipya kabsa na ndo vnakuwa promoted mno......

Ukiingia fb unaletewa suggetions ya marafiki wapya kwa namba mpya ulizosave kwa simu.

Uuzaji wa taarifa kwa ajili ya Marketing, unathibitishwa na utajir wenye kuchupa kwa kasi wa Jeff Bezos
 
Sio kweli, yani wewe ndo hujui kitu
 
kwani data anazotuhumiwa mark kuziuza kwenye uchaguzi alizitoa wapi?
 

haijawai kua hivo hata siku moja.. Youtube unalipwa kwa matangazo only..MB mitandao kama voda wanafaidika kwasabu ili upate hizo mb lazima ulipie au ununue hakuna mtu anapewa MB bure.so hakuna uhusiano wa MB kwenda kwenye fedha halisi na watsapp, insta na wengine hakuna anaelipwa na voda wala tiGo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…