How I Met My Wife

How I Met My Wife

7th Of Nzi Chuma

Niwaombe radhi kidogo kwa kutotimiza ahadi, nilifanikiwa kusafiri salama, niko Tanga nimekuja kumsalimu mama kidogo...
Ila sasa tuendelee...

As I said earlier kuwa Nai alikuwa kama mwanamke flani hivi wa ndoto zangu..nilijikuta nafall in love kwake mazima, kwa kipindi hiki kifupi tu nikawa tayari nafahamiana na baadhi ya ndugu zake, mdogo wake wa kiume pamoja na dada yake mmoja aitwaye Hafsa... Hafsa yeye alikuwa ni daktari na ameajiriwa serikalini akifanyia kazi Mbeya, nilikuwa nikiwasiliana nae kwa simu tu, na alikuwa mtu mzuri na alinipokea vizuri kama shemeji yake...changamoto kubwa kwangu mimi ambayo siku zote imekua inanicost ni kutotaka kutumia condom, yaani sijui naionaje!! Mara zote nauza mechi..na wala sijawahi kujutia. Baada ya mgegedo ule wa kwanza, Nai akaanza kunogewa sasa, mara kwa mara alikuwa akinitembelea pale chuoni, ilifikia hatua wakati tunazunguka zunguka maeneo ya nyuma ya chuo yenye mapori basi namuinamisha Nai au namshikisha mti napiga mashine..na kwakua Nai alishaonja utamu wa mashine, alikuwa hana usemi, yeye unachomwambia ndicho anachofanya..
As usual, ilipopita miezi miwili tu tangu nianze kumla, Nai akaniambia kuwa hajielewi, anahisi mabadiliko makubwa katika mwili wake..nikamuuliza dalili common za mimba kama kukojoa sana, kusinzia ovyo etc, zote alikuwa nazo. Nikaenda pharmacy na kununua UPT kisha nikamuita Nai geto, akaja na kumwambia akaweke mkojo kwenye chupa ndogo ya maji.. Aliporudi nao nikauweka kiasi kidogo katika kifuniko cha ile chupa.. Nikachovya UPT kidogo na kuiweka kwenye meza...Two minutes later ngoma ikapiga mistar miwili.. Nikamwambia "Una mimba...". Nikamuona anashika kichwa.. Kwangu mimi kwa wakati ule mapenzi yalishanidrive crazy vibaya sana, niliona hakuna shida kabisa kama Nai atazaa, yani sikuona tatizo..lakini Nai ameshika kichwa kwanini? Nilipomhoji vizuri alifunguka kuwa yeye hana tatizo na hiyo mimba, ila changamoto ni bi mkubwa..bimkubwa wake ni kauzu vibaya sana kiasi ambacho kama atajua kuwa Nai ana mimba litakuwa kasheshe zito sana na huenda pia akataka tuitoe.. Hii kitu ilinishangaza kidogo, yaani mamaako kabisa alazimishe kukutoa mimba licha ya madhara yanayopatikana katika hilo jambo? Nai alinijibu kifupi tu " You know nothing about my mom". Sikuweza tena kubishana nae, lakini ni jambo ambalo halikuniingia akilini. Lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda mbele ndipo Nai alijawa na mawazo kuhsu hatma ya ile mimba..hakuona future nzuri kama mama yake atajua.Hapa ndipo nilipopata wazo la kumgongea simu sista yangu mmoja (mtoto wa mjomba) ambaye by that time alikuwa Singida kikazi (yeye ni nurse).. Niliamua kumueleza tatizo langu ikiwa ni katika hali ya kumshirikisha tu ili anipe mawazo mawili matatu juu ya jambo hili..nilitegemea zaidi utu uzima wake na busara zake nyakati hizi..lakini majibu aliyonipa ni zaidi ya heart-break, "sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav". Nilikata simu na sikuongeza neno lolote, nikiri wazi kuwa sasa ni zaidi ya miaka 12 tangu sis anijib hivi sijawahi kupokea simu yake, kumpigia wala kujibu msg zake na najitahidi kumkwepa kila ambapo nitaambiwa yupo, hata kwenye misiba.. Maumvu ya siku ile hayawezi kupona kabisa moyoni mwangu (na sijui ni kwanini). Kama sista unasoma hapa hii ndio sabbu kuu ya mimi kutopokea simu zako, na nadhani itabaki hivyo mpaka nitakapokufa iwe kwa Corona au Ukimwi...
Baada ya kukosa msaada japo wa mawazo kwa sista, niliamua kumalizana tu na Nai, nikamwambia amueleze maza kuhusu kile kibendi..wakati huu kilikuwa kimegonga miezi miwili tayari. Nai alikataa, lakini nilimlazmisha na nikafanikiwa, maza akaambiwa. Akauliza details za mtia mimba vzr, akaomba na namba ya simu.. Hakuonekana kuchukia, akanipigia simu kwa amani kabisa akinitaka niende nyumban kwao muda huo tukajadili kuhus mimba ya Nai..ilikuwa yapata saa 2 na nusu usiku. Nikachkua bodaboda na kwenda hadi nje kwa kina Nai, nikamjuza mama Nai kuwa nimefika...akanambia nisubiri nje, alipotoka alitoka na Nai amemshika mkono akanizungusha mpaka nyuma kabisa ya fensi ya ile nyumba, nyumba ilikuwa na fensi ya ukuta. Akanambia amenileta huku nyuma kwa sababu baba yake Nai ametoka na hajarudi so asije akatukuta ndani au pale nje.. Nai alikuwa kama hatua tatu kutoka pale niliposimama na mazaake, maza akaanza kuniambia kuwa there is no way tunaweza kumruhusu Nai azae nje ya ndoa, haiwezekani..!! Kwahy ni LAZIMA mimba ile itolewe, akanieleza wadhfa wa dingi yake Nai na cheo chake na jinsi alivyo mfano kama kiongozi, na jinsi pia familia nzima inavyoitegemea ile kazi , endapo Nai atagundulika amepata minba huenda ndio ukawa mwisho wa maisha yao maana baba yake atapoteza kazi (natamani kuieleza hii kazi lakini Nai wakati ananipa ruhusa ya kuandika hapa kuna vtu aliniambia nisiviandike kabisa, so naomba mnisamehe). So, the only solution ni abortion, ambayo itaniweka mimi, Nai na mama yake pamoja na familia nzima sehemu salama. Hapo nilikosa pa kukimbilia, kwa sabab mama alikaza kuwa "endapo itatokea baba yake hyu akapoteza kazi, je utaweza kutuhudumia kama familia?". Ingawa pamoja na yote hayo, bado nilimuona yule ndiye mama katili kuliko mama wengi niliowahi kukutana nao.. Mama ananishawishi kutoa mimba mwanawe licha ya madhara yanayoweza kupatikana baada ya hilo tendo?? So ikaamuliwa pale kuwa kesho yake Nai ataruhusiwa mapema sana asubuhi aje geto kwa ajili ya maandalizi ya kutoa mimba. Mimi nikamwambia yule mama kuwa siwezi kushiriki hiyo dhambi ya kutoa mimba, kama kumtoa aende mwenyewe.. Mama aling'aka akidai kuwa kama sikuona dhambi ya zinaa, na ya kutoa mimba niione kama nilivyoiona zinaa tu..kwanza ni dhambi hiyohiyo moja tu maana ni zinaa ndiyo iliyozalisha mimba..nikamuitikia sawa lakini moyoni nikisema kuwa siwezi kumpeleka mimi akatoe mimba, akinifia huko hyu mama hatokuja kukubali kuwa aliniagiza yeye..!!.
Kesho yake asubuhi sana Nai alikuja geto, akanambia kuwa mama yake amemfurusha asubuhi asubuhi aje kwangu ili tutekeleze agizo lake, sisi tukautumia mwanya huo kulana hadi jioni, hakuna ambaye alikuwa tayari kati yetu mimba itolewe...Jioni Nai aliporudi home na maza kugundua kuwa hakuna kilichofanyika, akamind saaana, alivyonipigia simu nikamjibu tu friendly..." Nilishakwambia kuwa siko tayari kwa hilo jambo, mimi siwezi kufanya hivyo..". Mama akakata simu na kuanza kudili na Nai. Attempt yake ya kwanza ni kumchemshia mizizi flani ambayo Nai hakuijua, akawa anamlazimisha anywe, Nai akagoma na kujifungia chumbani. Mama alipoona juhudi zake kama zinaelekea ukingoni, ndipo alipoanza kuwashirikisha dada zake Nai. Mmoja ni yule daktar ambaye nilikuwa nikiwasiliana nae sana, na mwengne alikuwa anasoma chuo Dodoma. Yule ambaye ni daktari mara tu baada ya kupata taarifa kuhusu hali ya Nai, alinipigia simu akinilaumu saaana, yaani alinilaumu hadi nikajiona fala. Alinambia kuwa why kila siku tunawasiliana na sijawahi kumwambia kuwa Nai ana mimba hadi mama amejua? Kama ningemwambia mapema yy angemchukua Nai na kuja kuishi nae Mbeya bila mama kujua kuwa Nai ni mjamzito mpaka angejifungua, baada ya Nai kujifungua mama yake asingethubutu kumuua mtoto.. Hapa ndipo pia akanimegea siri ya yule dada wa chuo kule dodoma alipo pia alikuwa wakati huo ana ujauzito mkubwa tu lakini alikuwa harudi nyumbani mpaka atakapojifungua coz akirudi lazma mama angesumbua sana na kutaka itolewe (mimi nahisi ipo siri nyuma ya huyu mama na hizi mimba lakini sikuweza kuijua hadi leo). Hafsa akanambia kwa sasa tumeshachelewa, so cha kufanya ni Nai kukubali tu ili mimba itolewe, nothing we can do...nilimweleza pia kuwa mama ananitishia kunipeleka polisi endapo sitamshawishi Nai atoe mimba.. Yy akaniambia 'kutoa mimba ni illegal, hawezi kwenda polisi, anakutisha tu.. Ww ongea na Nai vizuri ili akubali tu." Uzuri ni kuwa wote walijua kuwa mtu pekee wa kumfanya Nai aamue kutoa mimba ni mimi tu na mimi sikuwa tayari.. Hafsa pasi na kujua lakini ni kama alinitia nguvu flan hv, nikaona naweza kukaza na mimba isitolewe.. Lakin upande wa Nai mambo yalizid kuwa mabaya pale nyumbani, hakuwa anaishi kwa raha, muda wote vitisho na kuamriwa atoe mimba mpaka siku moja alipoamua kutoroka nyumbani kwao asubuhi kama saa 1 hivi.. Wakati mimi najiandaa kuwahi lectures za asubuhi Nai huyu..kaingia geto na kibegi chake.."nimekuja tuishi pamoja, nimechoka na vitisho, naapa sitorudi tena home tutakaa hapahapa nitakula utakachokula..". Daah..
Haya mapenzi yana nguvu sana kwakweli acheni tu...
Acha niweke pozi kwanza, nitarudi leoleo.. Nitajitahidi hadi kufikia jumamos niwe nimeshamaliza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante nzuri tunasubiri muendelezo mkuu
7th Of Nzi Chuma

Niwaombe radhi kidogo kwa kutotimiza ahadi, nilifanikiwa kusafiri salama, niko Tanga nimekuja kumsalimu mama kidogo...
Ila sasa tuendelee...

As I said earlier kuwa Nai alikuwa kama mwanamke flani hivi wa ndoto zangu..nilijikuta nafall in love kwake mazima, kwa kipindi hiki kifupi tu nikawa tayari nafahamiana na baadhi ya ndugu zake, mdogo wake wa kiume pamoja na dada yake mmoja aitwaye Hafsa... Hafsa yeye alikuwa ni daktari na ameajiriwa serikalini akifanyia kazi Mbeya, nilikuwa nikiwasiliana nae kwa simu tu, na alikuwa mtu mzuri na alinipokea vizuri kama shemeji yake...changamoto kubwa kwangu mimi ambayo siku zote imekua inanicost ni kutotaka kutumia condom, yaani sijui naionaje!! Mara zote nauza mechi..na wala sijawahi kujutia. Baada ya mgegedo ule wa kwanza, Nai akaanza kunogewa sasa, mara kwa mara alikuwa akinitembelea pale chuoni, ilifikia hatua wakati tunazunguka zunguka maeneo ya nyuma ya chuo yenye mapori basi namuinamisha Nai au namshikisha mti napiga mashine..na kwakua Nai alishaonja utamu wa mashine, alikuwa hana usemi, yeye unachomwambia ndicho anachofanya..
As usual, ilipopita miezi miwili tu tangu nianze kumla, Nai akaniambia kuwa hajielewi, anahisi mabadiliko makubwa katika mwili wake..nikamuuliza dalili common za mimba kama kukojoa sana, kusinzia ovyo etc, zote alikuwa nazo. Nikaenda pharmacy na kununua UPT kisha nikamuita Nai geto, akaja na kumwambia akaweke mkojo kwenye chupa ndogo ya maji.. Aliporudi nao nikauweka kiasi kidogo katika kifuniko cha ile chupa.. Nikachovya UPT kidogo na kuiweka kwenye meza...Two minutes later ngoma ikapiga mistar miwili.. Nikamwambia "Una mimba...". Nikamuona anashika kichwa.. Kwangu mimi kwa wakati ule mapenzi yalishanidrive crazy vibaya sana, niliona hakuna shida kabisa kama Nai atazaa, yani sikuona tatizo..lakini Nai ameshika kichwa kwanini? Nilipomhoji vizuri alifunguka kuwa yeye hana tatizo na hiyo mimba, ila changamoto ni bi mkubwa..bimkubwa wake ni kauzu vibaya sana kiasi ambacho kama atajua kuwa Nai ana mimba litakuwa kasheshe zito sana na huenda pia akataka tuitoe.. Hii kitu ilinishangaza kidogo, yaani mamaako kabisa alazimishe kukutoa mimba licha ya madhara yanayopatikana katika hilo jambo? Nai alinijibu kifupi tu " You know nothing about my mom". Sikuweza tena kubishana nae, lakini ni jambo ambalo halikuniingia akilini. Lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda mbele ndipo Nai alijawa na mawazo kuhsu hatma ya ile mimba..hakuona future nzuri kama mama yake atajua.Hapa ndipo nilipopata wazo la kumgongea simu sista yangu mmoja (mtoto wa mjomba) ambaye by that time alikuwa Singida kikazi (yeye ni nurse).. Niliamua kumueleza tatizo langu ikiwa ni katika hali ya kumshirikisha tu ili anipe mawazo mawili matatu juu ya jambo hili..nilitegemea zaidi utu uzima wake na busara zake nyakati hizi..lakini majibu aliyonipa ni zaidi ya heart-break, "sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav". Nilikata simu na sikuongeza neno lolote, nikiri wazi kuwa sasa ni zaidi ya miaka 12 tangu sis anijib hivi sijawahi kupokea simu yake, kumpigia wala kujibu msg zake na najitahidi kumkwepa kila ambapo nitaambiwa yupo, hata kwenye misiba.. Maumvu ya siku ile hayawezi kupona kabisa moyoni mwangu (na sijui ni kwanini). Kama sista unasoma hapa hii ndio sabbu kuu ya mimi kutopokea simu zako, na nadhani itabaki hivyo mpaka nitakapokufa iwe kwa Corona au Ukimwi...
Baada ya kukosa msaada japo wa mawazo kwa sista, niliamua kumalizana tu na Nai, nikamwambia amueleze maza kuhusu kile kibendi..wakati huu kilikuwa kimegonga miezi miwili tayari. Nai alikataa, lakini nilimlazmisha na nikafanikiwa, maza akaambiwa. Akauliza details za mtia mimba vzr, akaomba na namba ya simu.. Hakuonekana kuchukia, akanipigia simu kwa amani kabisa akinitaka niende nyumban kwao muda huo tukajadili kuhus mimba ya Nai..ilikuwa yapata saa 2 na nusu usiku. Nikachkua bodaboda na kwenda hadi nje kwa kina Nai, nikamjuza mama Nai kuwa nimefika...akanambia nisubiri nje, alipotoka alitoka na Nai amemshika mkono akanizungusha mpaka nyuma kabisa ya fensi ya ile nyumba, nyumba ilikuwa na fensi ya ukuta. Akanambia amenileta huku nyuma kwa sababu baba yake Nai ametoka na hajarudi so asije akatukuta ndani au pale nje.. Nai alikuwa kama hatua tatu kutoka pale niliposimama na mazaake, maza akaanza kuniambia kuwa there is no way tunaweza kumruhusu Nai azae nje ya ndoa, haiwezekani..!! Kwahy ni LAZIMA mimba ile itolewe, akanieleza wadhfa wa dingi yake Nai na cheo chake na jinsi alivyo mfano kama kiongozi, na jinsi pia familia nzima inavyoitegemea ile kazi , endapo Nai atagundulika amepata minba huenda ndio ukawa mwisho wa maisha yao maana baba yake atapoteza kazi (natamani kuieleza hii kazi lakini Nai wakati ananipa ruhusa ya kuandika hapa kuna vtu aliniambia nisiviandike kabisa, so naomba mnisamehe). So, the only solution ni abortion, ambayo itaniweka mimi, Nai na mama yake pamoja na familia nzima sehemu salama. Hapo nilikosa pa kukimbilia, kwa sabab mama alikaza kuwa "endapo itatokea baba yake hyu akapoteza kazi, je utaweza kutuhudumia kama familia?". Ingawa pamoja na yote hayo, bado nilimuona yule ndiye mama katili kuliko mama wengi niliowahi kukutana nao.. Mama ananishawishi kutoa mimba mwanawe licha ya madhara yanayoweza kupatikana baada ya hilo tendo?? So ikaamuliwa pale kuwa kesho yake Nai ataruhusiwa mapema sana asubuhi aje geto kwa ajili ya maandalizi ya kutoa mimba. Mimi nikamwambia yule mama kuwa siwezi kushiriki hiyo dhambi ya kutoa mimba, kama kumtoa aende mwenyewe.. Mama aling'aka akidai kuwa kama sikuona dhambi ya zinaa, na ya kutoa mimba niione kama nilivyoiona zinaa tu..kwanza ni dhambi hiyohiyo moja tu maana ni zinaa ndiyo iliyozalisha mimba..nikamuitikia sawa lakini moyoni nikisema kuwa siwezi kumpeleka mimi akatoe mimba, akinifia huko hyu mama hatokuja kukubali kuwa aliniagiza yeye..!!.
Kesho yake asubuhi sana Nai alikuja geto, akanambia kuwa mama yake amemfurusha asubuhi asubuhi aje kwangu ili tutekeleze agizo lake, sisi tukautumia mwanya huo kulana hadi jioni, hakuna ambaye alikuwa tayari kati yetu mimba itolewe...Jioni Nai aliporudi home na maza kugundua kuwa hakuna kilichofanyika, akamind saaana, alivyonipigia simu nikamjibu tu friendly..." Nilishakwambia kuwa siko tayari kwa hilo jambo, mimi siwezi kufanya hivyo..". Mama akakata simu na kuanza kudili na Nai. Attempt yake ya kwanza ni kumchemshia mizizi flani ambayo Nai hakuijua, akawa anamlazimisha anywe, Nai akagoma na kujifungia chumbani. Mama alipoona juhudi zake kama zinaelekea ukingoni, ndipo alipoanza kuwashirikisha dada zake Nai. Mmoja ni yule daktar ambaye nilikuwa nikiwasiliana nae sana, na mwengne alikuwa anasoma chuo Dodoma. Yule ambaye ni daktari mara tu baada ya kupata taarifa kuhusu hali ya Nai, alinipigia simu akinilaumu saaana, yaani alinilaumu hadi nikajiona fala. Alinambia kuwa why kila siku tunawasiliana na sijawahi kumwambia kuwa Nai ana mimba hadi mama amejua? Kama ningemwambia mapema yy angemchukua Nai na kuja kuishi nae Mbeya bila mama kujua kuwa Nai ni mjamzito mpaka angejifungua, baada ya Nai kujifungua mama yake asingethubutu kumuua mtoto.. Hapa ndipo pia akanimegea siri ya yule dada wa chuo kule dodoma alipo pia alikuwa wakati huo ana ujauzito mkubwa tu lakini alikuwa harudi nyumbani mpaka atakapojifungua coz akirudi lazma mama angesumbua sana na kutaka itolewe (mimi nahisi ipo siri nyuma ya huyu mama na hizi mimba lakini sikuweza kuijua hadi leo). Hafsa akanambia kwa sasa tumeshachelewa, so cha kufanya ni Nai kukubali tu ili mimba itolewe, nothing we can do...nilimweleza pia kuwa mama ananitishia kunipeleka polisi endapo sitamshawishi Nai atoe mimba.. Yy akaniambia 'kutoa mimba ni illegal, hawezi kwenda polisi, anakutisha tu.. Ww ongea na Nai vizuri ili akubali tu." Uzuri ni kuwa wote walijua kuwa mtu pekee wa kumfanya Nai aamue kutoa mimba ni mimi tu na mimi sikuwa tayari.. Hafsa pasi na kujua lakini ni kama alinitia nguvu flan hv, nikaona naweza kukaza na mimba isitolewe.. Lakin upande wa Nai mambo yalizid kuwa mabaya pale nyumbani, hakuwa anaishi kwa raha, muda wote vitisho na kuamriwa atoe mimba mpaka siku moja alipoamua kutoroka nyumbani kwao asubuhi kama saa 1 hivi.. Wakati mimi najiandaa kuwahi lectures za asubuhi Nai huyu..kaingia geto na kibegi chake.."nimekuja tuishi pamoja, nimechoka na vitisho, naapa sitorudi tena home tutakaa hapahapa nitakula utakachokula..". Daah..
Haya mapenzi yana nguvu sana kwakweli acheni tu...
Acha niweke pozi kwanza, nitarudi leoleo.. Nitajitahidi hadi kufikia jumamos niwe nimeshamaliza..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikia tu..omba isikukute
7th Of Nzi Chuma

Niwaombe radhi kidogo kwa kutotimiza ahadi, nilifanikiwa kusafiri salama, niko Tanga nimekuja kumsalimu mama kidogo...
Ila sasa tuendelee...

As I said earlier kuwa Nai alikuwa kama mwanamke flani hivi wa ndoto zangu..nilijikuta nafall in love kwake mazima, kwa kipindi hiki kifupi tu nikawa tayari nafahamiana na baadhi ya ndugu zake, mdogo wake wa kiume pamoja na dada yake mmoja aitwaye Hafsa... Hafsa yeye alikuwa ni daktari na ameajiriwa serikalini akifanyia kazi Mbeya, nilikuwa nikiwasiliana nae kwa simu tu, na alikuwa mtu mzuri na alinipokea vizuri kama shemeji yake...changamoto kubwa kwangu mimi ambayo siku zote imekua inanicost ni kutotaka kutumia condom, yaani sijui naionaje!! Mara zote nauza mechi..na wala sijawahi kujutia. Baada ya mgegedo ule wa kwanza, Nai akaanza kunogewa sasa, mara kwa mara alikuwa akinitembelea pale chuoni, ilifikia hatua wakati tunazunguka zunguka maeneo ya nyuma ya chuo yenye mapori basi namuinamisha Nai au namshikisha mti napiga mashine..na kwakua Nai alishaonja utamu wa mashine, alikuwa hana usemi, yeye unachomwambia ndicho anachofanya..
As usual, ilipopita miezi miwili tu tangu nianze kumla, Nai akaniambia kuwa hajielewi, anahisi mabadiliko makubwa katika mwili wake..nikamuuliza dalili common za mimba kama kukojoa sana, kusinzia ovyo etc, zote alikuwa nazo. Nikaenda pharmacy na kununua UPT kisha nikamuita Nai geto, akaja na kumwambia akaweke mkojo kwenye chupa ndogo ya maji.. Aliporudi nao nikauweka kiasi kidogo katika kifuniko cha ile chupa.. Nikachovya UPT kidogo na kuiweka kwenye meza...Two minutes later ngoma ikapiga mistar miwili.. Nikamwambia "Una mimba...". Nikamuona anashika kichwa.. Kwangu mimi kwa wakati ule mapenzi yalishanidrive crazy vibaya sana, niliona hakuna shida kabisa kama Nai atazaa, yani sikuona tatizo..lakini Nai ameshika kichwa kwanini? Nilipomhoji vizuri alifunguka kuwa yeye hana tatizo na hiyo mimba, ila changamoto ni bi mkubwa..bimkubwa wake ni kauzu vibaya sana kiasi ambacho kama atajua kuwa Nai ana mimba litakuwa kasheshe zito sana na huenda pia akataka tuitoe.. Hii kitu ilinishangaza kidogo, yaani mamaako kabisa alazimishe kukutoa mimba licha ya madhara yanayopatikana katika hilo jambo? Nai alinijibu kifupi tu " You know nothing about my mom". Sikuweza tena kubishana nae, lakini ni jambo ambalo halikuniingia akilini. Lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda mbele ndipo Nai alijawa na mawazo kuhsu hatma ya ile mimba..hakuona future nzuri kama mama yake atajua.Hapa ndipo nilipopata wazo la kumgongea simu sista yangu mmoja (mtoto wa mjomba) ambaye by that time alikuwa Singida kikazi (yeye ni nurse).. Niliamua kumueleza tatizo langu ikiwa ni katika hali ya kumshirikisha tu ili anipe mawazo mawili matatu juu ya jambo hili..nilitegemea zaidi utu uzima wake na busara zake nyakati hizi..lakini majibu aliyonipa ni zaidi ya heart-break, "sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav". Nilikata simu na sikuongeza neno lolote, nikiri wazi kuwa sasa ni zaidi ya miaka 12 tangu sis anijib hivi sijawahi kupokea simu yake, kumpigia wala kujibu msg zake na najitahidi kumkwepa kila ambapo nitaambiwa yupo, hata kwenye misiba.. Maumvu ya siku ile hayawezi kupona kabisa moyoni mwangu (na sijui ni kwanini). Kama sista unasoma hapa hii ndio sabbu kuu ya mimi kutopokea simu zako, na nadhani itabaki hivyo mpaka nitakapokufa iwe kwa Corona au Ukimwi...
Baada ya kukosa msaada japo wa mawazo kwa sista, niliamua kumalizana tu na Nai, nikamwambia amueleze maza kuhusu kile kibendi..wakati huu kilikuwa kimegonga miezi miwili tayari. Nai alikataa, lakini nilimlazmisha na nikafanikiwa, maza akaambiwa. Akauliza details za mtia mimba vzr, akaomba na namba ya simu.. Hakuonekana kuchukia, akanipigia simu kwa amani kabisa akinitaka niende nyumban kwao muda huo tukajadili kuhus mimba ya Nai..ilikuwa yapata saa 2 na nusu usiku. Nikachkua bodaboda na kwenda hadi nje kwa kina Nai, nikamjuza mama Nai kuwa nimefika...akanambia nisubiri nje, alipotoka alitoka na Nai amemshika mkono akanizungusha mpaka nyuma kabisa ya fensi ya ile nyumba, nyumba ilikuwa na fensi ya ukuta. Akanambia amenileta huku nyuma kwa sababu baba yake Nai ametoka na hajarudi so asije akatukuta ndani au pale nje.. Nai alikuwa kama hatua tatu kutoka pale niliposimama na mazaake, maza akaanza kuniambia kuwa there is no way tunaweza kumruhusu Nai azae nje ya ndoa, haiwezekani..!! Kwahy ni LAZIMA mimba ile itolewe, akanieleza wadhfa wa dingi yake Nai na cheo chake na jinsi alivyo mfano kama kiongozi, na jinsi pia familia nzima inavyoitegemea ile kazi , endapo Nai atagundulika amepata minba huenda ndio ukawa mwisho wa maisha yao maana baba yake atapoteza kazi (natamani kuieleza hii kazi lakini Nai wakati ananipa ruhusa ya kuandika hapa kuna vtu aliniambia nisiviandike kabisa, so naomba mnisamehe). So, the only solution ni abortion, ambayo itaniweka mimi, Nai na mama yake pamoja na familia nzima sehemu salama. Hapo nilikosa pa kukimbilia, kwa sabab mama alikaza kuwa "endapo itatokea baba yake hyu akapoteza kazi, je utaweza kutuhudumia kama familia?". Ingawa pamoja na yote hayo, bado nilimuona yule ndiye mama katili kuliko mama wengi niliowahi kukutana nao.. Mama ananishawishi kutoa mimba mwanawe licha ya madhara yanayoweza kupatikana baada ya hilo tendo?? So ikaamuliwa pale kuwa kesho yake Nai ataruhusiwa mapema sana asubuhi aje geto kwa ajili ya maandalizi ya kutoa mimba. Mimi nikamwambia yule mama kuwa siwezi kushiriki hiyo dhambi ya kutoa mimba, kama kumtoa aende mwenyewe.. Mama aling'aka akidai kuwa kama sikuona dhambi ya zinaa, na ya kutoa mimba niione kama nilivyoiona zinaa tu..kwanza ni dhambi hiyohiyo moja tu maana ni zinaa ndiyo iliyozalisha mimba..nikamuitikia sawa lakini moyoni nikisema kuwa siwezi kumpeleka mimi akatoe mimba, akinifia huko hyu mama hatokuja kukubali kuwa aliniagiza yeye..!!.
Kesho yake asubuhi sana Nai alikuja geto, akanambia kuwa mama yake amemfurusha asubuhi asubuhi aje kwangu ili tutekeleze agizo lake, sisi tukautumia mwanya huo kulana hadi jioni, hakuna ambaye alikuwa tayari kati yetu mimba itolewe...Jioni Nai aliporudi home na maza kugundua kuwa hakuna kilichofanyika, akamind saaana, alivyonipigia simu nikamjibu tu friendly..." Nilishakwambia kuwa siko tayari kwa hilo jambo, mimi siwezi kufanya hivyo..". Mama akakata simu na kuanza kudili na Nai. Attempt yake ya kwanza ni kumchemshia mizizi flani ambayo Nai hakuijua, akawa anamlazimisha anywe, Nai akagoma na kujifungia chumbani. Mama alipoona juhudi zake kama zinaelekea ukingoni, ndipo alipoanza kuwashirikisha dada zake Nai. Mmoja ni yule daktar ambaye nilikuwa nikiwasiliana nae sana, na mwengne alikuwa anasoma chuo Dodoma. Yule ambaye ni daktari mara tu baada ya kupata taarifa kuhusu hali ya Nai, alinipigia simu akinilaumu saaana, yaani alinilaumu hadi nikajiona fala. Alinambia kuwa why kila siku tunawasiliana na sijawahi kumwambia kuwa Nai ana mimba hadi mama amejua? Kama ningemwambia mapema yy angemchukua Nai na kuja kuishi nae Mbeya bila mama kujua kuwa Nai ni mjamzito mpaka angejifungua, baada ya Nai kujifungua mama yake asingethubutu kumuua mtoto.. Hapa ndipo pia akanimegea siri ya yule dada wa chuo kule dodoma alipo pia alikuwa wakati huo ana ujauzito mkubwa tu lakini alikuwa harudi nyumbani mpaka atakapojifungua coz akirudi lazma mama angesumbua sana na kutaka itolewe (mimi nahisi ipo siri nyuma ya huyu mama na hizi mimba lakini sikuweza kuijua hadi leo). Hafsa akanambia kwa sasa tumeshachelewa, so cha kufanya ni Nai kukubali tu ili mimba itolewe, nothing we can do...nilimweleza pia kuwa mama ananitishia kunipeleka polisi endapo sitamshawishi Nai atoe mimba.. Yy akaniambia 'kutoa mimba ni illegal, hawezi kwenda polisi, anakutisha tu.. Ww ongea na Nai vizuri ili akubali tu." Uzuri ni kuwa wote walijua kuwa mtu pekee wa kumfanya Nai aamue kutoa mimba ni mimi tu na mimi sikuwa tayari.. Hafsa pasi na kujua lakini ni kama alinitia nguvu flan hv, nikaona naweza kukaza na mimba isitolewe.. Lakin upande wa Nai mambo yalizid kuwa mabaya pale nyumbani, hakuwa anaishi kwa raha, muda wote vitisho na kuamriwa atoe mimba mpaka siku moja alipoamua kutoroka nyumbani kwao asubuhi kama saa 1 hivi.. Wakati mimi najiandaa kuwahi lectures za asubuhi Nai huyu..kaingia geto na kibegi chake.."nimekuja tuishi pamoja, nimechoka na vitisho, naapa sitorudi tena home tutakaa hapahapa nitakula utakachokula..". Daah..
Haya mapenzi yana nguvu sana kwakweli acheni tu...
Acha niweke pozi kwanza, nitarudi leoleo.. Nitajitahidi hadi kufikia jumamos niwe nimeshamaliza..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nai geto chuo.....eheeee...twende
7th Of Nzi Chuma

Niwaombe radhi kidogo kwa kutotimiza ahadi, nilifanikiwa kusafiri salama, niko Tanga nimekuja kumsalimu mama kidogo...
Ila sasa tuendelee...

As I said earlier kuwa Nai alikuwa kama mwanamke flani hivi wa ndoto zangu..nilijikuta nafall in love kwake mazima, kwa kipindi hiki kifupi tu nikawa tayari nafahamiana na baadhi ya ndugu zake, mdogo wake wa kiume pamoja na dada yake mmoja aitwaye Hafsa... Hafsa yeye alikuwa ni daktari na ameajiriwa serikalini akifanyia kazi Mbeya, nilikuwa nikiwasiliana nae kwa simu tu, na alikuwa mtu mzuri na alinipokea vizuri kama shemeji yake...changamoto kubwa kwangu mimi ambayo siku zote imekua inanicost ni kutotaka kutumia condom, yaani sijui naionaje!! Mara zote nauza mechi..na wala sijawahi kujutia. Baada ya mgegedo ule wa kwanza, Nai akaanza kunogewa sasa, mara kwa mara alikuwa akinitembelea pale chuoni, ilifikia hatua wakati tunazunguka zunguka maeneo ya nyuma ya chuo yenye mapori basi namuinamisha Nai au namshikisha mti napiga mashine..na kwakua Nai alishaonja utamu wa mashine, alikuwa hana usemi, yeye unachomwambia ndicho anachofanya..
As usual, ilipopita miezi miwili tu tangu nianze kumla, Nai akaniambia kuwa hajielewi, anahisi mabadiliko makubwa katika mwili wake..nikamuuliza dalili common za mimba kama kukojoa sana, kusinzia ovyo etc, zote alikuwa nazo. Nikaenda pharmacy na kununua UPT kisha nikamuita Nai geto, akaja na kumwambia akaweke mkojo kwenye chupa ndogo ya maji.. Aliporudi nao nikauweka kiasi kidogo katika kifuniko cha ile chupa.. Nikachovya UPT kidogo na kuiweka kwenye meza...Two minutes later ngoma ikapiga mistar miwili.. Nikamwambia "Una mimba...". Nikamuona anashika kichwa.. Kwangu mimi kwa wakati ule mapenzi yalishanidrive crazy vibaya sana, niliona hakuna shida kabisa kama Nai atazaa, yani sikuona tatizo..lakini Nai ameshika kichwa kwanini? Nilipomhoji vizuri alifunguka kuwa yeye hana tatizo na hiyo mimba, ila changamoto ni bi mkubwa..bimkubwa wake ni kauzu vibaya sana kiasi ambacho kama atajua kuwa Nai ana mimba litakuwa kasheshe zito sana na huenda pia akataka tuitoe.. Hii kitu ilinishangaza kidogo, yaani mamaako kabisa alazimishe kukutoa mimba licha ya madhara yanayopatikana katika hilo jambo? Nai alinijibu kifupi tu " You know nothing about my mom". Sikuweza tena kubishana nae, lakini ni jambo ambalo halikuniingia akilini. Lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda mbele ndipo Nai alijawa na mawazo kuhsu hatma ya ile mimba..hakuona future nzuri kama mama yake atajua.Hapa ndipo nilipopata wazo la kumgongea simu sista yangu mmoja (mtoto wa mjomba) ambaye by that time alikuwa Singida kikazi (yeye ni nurse).. Niliamua kumueleza tatizo langu ikiwa ni katika hali ya kumshirikisha tu ili anipe mawazo mawili matatu juu ya jambo hili..nilitegemea zaidi utu uzima wake na busara zake nyakati hizi..lakini majibu aliyonipa ni zaidi ya heart-break, "sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav". Nilikata simu na sikuongeza neno lolote, nikiri wazi kuwa sasa ni zaidi ya miaka 12 tangu sis anijib hivi sijawahi kupokea simu yake, kumpigia wala kujibu msg zake na najitahidi kumkwepa kila ambapo nitaambiwa yupo, hata kwenye misiba.. Maumvu ya siku ile hayawezi kupona kabisa moyoni mwangu (na sijui ni kwanini). Kama sista unasoma hapa hii ndio sabbu kuu ya mimi kutopokea simu zako, na nadhani itabaki hivyo mpaka nitakapokufa iwe kwa Corona au Ukimwi...
Baada ya kukosa msaada japo wa mawazo kwa sista, niliamua kumalizana tu na Nai, nikamwambia amueleze maza kuhusu kile kibendi..wakati huu kilikuwa kimegonga miezi miwili tayari. Nai alikataa, lakini nilimlazmisha na nikafanikiwa, maza akaambiwa. Akauliza details za mtia mimba vzr, akaomba na namba ya simu.. Hakuonekana kuchukia, akanipigia simu kwa amani kabisa akinitaka niende nyumban kwao muda huo tukajadili kuhus mimba ya Nai..ilikuwa yapata saa 2 na nusu usiku. Nikachkua bodaboda na kwenda hadi nje kwa kina Nai, nikamjuza mama Nai kuwa nimefika...akanambia nisubiri nje, alipotoka alitoka na Nai amemshika mkono akanizungusha mpaka nyuma kabisa ya fensi ya ile nyumba, nyumba ilikuwa na fensi ya ukuta. Akanambia amenileta huku nyuma kwa sababu baba yake Nai ametoka na hajarudi so asije akatukuta ndani au pale nje.. Nai alikuwa kama hatua tatu kutoka pale niliposimama na mazaake, maza akaanza kuniambia kuwa there is no way tunaweza kumruhusu Nai azae nje ya ndoa, haiwezekani..!! Kwahy ni LAZIMA mimba ile itolewe, akanieleza wadhfa wa dingi yake Nai na cheo chake na jinsi alivyo mfano kama kiongozi, na jinsi pia familia nzima inavyoitegemea ile kazi , endapo Nai atagundulika amepata minba huenda ndio ukawa mwisho wa maisha yao maana baba yake atapoteza kazi (natamani kuieleza hii kazi lakini Nai wakati ananipa ruhusa ya kuandika hapa kuna vtu aliniambia nisiviandike kabisa, so naomba mnisamehe). So, the only solution ni abortion, ambayo itaniweka mimi, Nai na mama yake pamoja na familia nzima sehemu salama. Hapo nilikosa pa kukimbilia, kwa sabab mama alikaza kuwa "endapo itatokea baba yake hyu akapoteza kazi, je utaweza kutuhudumia kama familia?". Ingawa pamoja na yote hayo, bado nilimuona yule ndiye mama katili kuliko mama wengi niliowahi kukutana nao.. Mama ananishawishi kutoa mimba mwanawe licha ya madhara yanayoweza kupatikana baada ya hilo tendo?? So ikaamuliwa pale kuwa kesho yake Nai ataruhusiwa mapema sana asubuhi aje geto kwa ajili ya maandalizi ya kutoa mimba. Mimi nikamwambia yule mama kuwa siwezi kushiriki hiyo dhambi ya kutoa mimba, kama kumtoa aende mwenyewe.. Mama aling'aka akidai kuwa kama sikuona dhambi ya zinaa, na ya kutoa mimba niione kama nilivyoiona zinaa tu..kwanza ni dhambi hiyohiyo moja tu maana ni zinaa ndiyo iliyozalisha mimba..nikamuitikia sawa lakini moyoni nikisema kuwa siwezi kumpeleka mimi akatoe mimba, akinifia huko hyu mama hatokuja kukubali kuwa aliniagiza yeye..!!.
Kesho yake asubuhi sana Nai alikuja geto, akanambia kuwa mama yake amemfurusha asubuhi asubuhi aje kwangu ili tutekeleze agizo lake, sisi tukautumia mwanya huo kulana hadi jioni, hakuna ambaye alikuwa tayari kati yetu mimba itolewe...Jioni Nai aliporudi home na maza kugundua kuwa hakuna kilichofanyika, akamind saaana, alivyonipigia simu nikamjibu tu friendly..." Nilishakwambia kuwa siko tayari kwa hilo jambo, mimi siwezi kufanya hivyo..". Mama akakata simu na kuanza kudili na Nai. Attempt yake ya kwanza ni kumchemshia mizizi flani ambayo Nai hakuijua, akawa anamlazimisha anywe, Nai akagoma na kujifungia chumbani. Mama alipoona juhudi zake kama zinaelekea ukingoni, ndipo alipoanza kuwashirikisha dada zake Nai. Mmoja ni yule daktar ambaye nilikuwa nikiwasiliana nae sana, na mwengne alikuwa anasoma chuo Dodoma. Yule ambaye ni daktari mara tu baada ya kupata taarifa kuhusu hali ya Nai, alinipigia simu akinilaumu saaana, yaani alinilaumu hadi nikajiona fala. Alinambia kuwa why kila siku tunawasiliana na sijawahi kumwambia kuwa Nai ana mimba hadi mama amejua? Kama ningemwambia mapema yy angemchukua Nai na kuja kuishi nae Mbeya bila mama kujua kuwa Nai ni mjamzito mpaka angejifungua, baada ya Nai kujifungua mama yake asingethubutu kumuua mtoto.. Hapa ndipo pia akanimegea siri ya yule dada wa chuo kule dodoma alipo pia alikuwa wakati huo ana ujauzito mkubwa tu lakini alikuwa harudi nyumbani mpaka atakapojifungua coz akirudi lazma mama angesumbua sana na kutaka itolewe (mimi nahisi ipo siri nyuma ya huyu mama na hizi mimba lakini sikuweza kuijua hadi leo). Hafsa akanambia kwa sasa tumeshachelewa, so cha kufanya ni Nai kukubali tu ili mimba itolewe, nothing we can do...nilimweleza pia kuwa mama ananitishia kunipeleka polisi endapo sitamshawishi Nai atoe mimba.. Yy akaniambia 'kutoa mimba ni illegal, hawezi kwenda polisi, anakutisha tu.. Ww ongea na Nai vizuri ili akubali tu." Uzuri ni kuwa wote walijua kuwa mtu pekee wa kumfanya Nai aamue kutoa mimba ni mimi tu na mimi sikuwa tayari.. Hafsa pasi na kujua lakini ni kama alinitia nguvu flan hv, nikaona naweza kukaza na mimba isitolewe.. Lakin upande wa Nai mambo yalizid kuwa mabaya pale nyumbani, hakuwa anaishi kwa raha, muda wote vitisho na kuamriwa atoe mimba mpaka siku moja alipoamua kutoroka nyumbani kwao asubuhi kama saa 1 hivi.. Wakati mimi najiandaa kuwahi lectures za asubuhi Nai huyu..kaingia geto na kibegi chake.."nimekuja tuishi pamoja, nimechoka na vitisho, naapa sitorudi tena home tutakaa hapahapa nitakula utakachokula..". Daah..
Haya mapenzi yana nguvu sana kwakweli acheni tu...
Acha niweke pozi kwanza, nitarudi leoleo.. Nitajitahidi hadi kufikia jumamos niwe nimeshamaliza..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav".

Ha ha ha Dada yako sio mtu wa mchezomchezo aisee,

Ila mkuu msamehe huyu dada yako,alichokisema hapo alikwambia ukweli japo alitumia lugha kali,ila ukiangalia hata ungekuwa wewe unaambiwa mdogo wako kampa mtu mimba ni lazima upaniki kwa sababu ulikuwa bado unasoma na hata kaka yake Nai unaona ulipomweleza nae alikulaumu hadi ukajiona fala lakini yeye hujamwekea kinyongo

Kwahio mkuu msamehe dadako mrudishe mahusiano kama zamani usimuwekee kinyongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
7th Of Nzi Chuma

Niwaombe radhi kidogo kwa kutotimiza ahadi, nilifanikiwa kusafiri salama, niko Tanga nimekuja kumsalimu mama kidogo...
Ila sasa tuendelee...

As I said earlier kuwa Nai alikuwa kama mwanamke flani hivi wa ndoto zangu..nilijikuta nafall in love kwake mazima, kwa kipindi hiki kifupi tu nikawa tayari nafahamiana na baadhi ya ndugu zake, mdogo wake wa kiume pamoja na dada yake mmoja aitwaye Hafsa... Hafsa yeye alikuwa ni daktari na ameajiriwa serikalini akifanyia kazi Mbeya, nilikuwa nikiwasiliana nae kwa simu tu, na alikuwa mtu mzuri na alinipokea vizuri kama shemeji yake...changamoto kubwa kwangu mimi ambayo siku zote imekua inanicost ni kutotaka kutumia condom, yaani sijui naionaje!! Mara zote nauza mechi..na wala sijawahi kujutia. Baada ya mgegedo ule wa kwanza, Nai akaanza kunogewa sasa, mara kwa mara alikuwa akinitembelea pale chuoni, ilifikia hatua wakati tunazunguka zunguka maeneo ya nyuma ya chuo yenye mapori basi namuinamisha Nai au namshikisha mti napiga mashine..na kwakua Nai alishaonja utamu wa mashine, alikuwa hana usemi, yeye unachomwambia ndicho anachofanya..
As usual, ilipopita miezi miwili tu tangu nianze kumla, Nai akaniambia kuwa hajielewi, anahisi mabadiliko makubwa katika mwili wake..nikamuuliza dalili common za mimba kama kukojoa sana, kusinzia ovyo etc, zote alikuwa nazo. Nikaenda pharmacy na kununua UPT kisha nikamuita Nai geto, akaja na kumwambia akaweke mkojo kwenye chupa ndogo ya maji.. Aliporudi nao nikauweka kiasi kidogo katika kifuniko cha ile chupa.. Nikachovya UPT kidogo na kuiweka kwenye meza...Two minutes later ngoma ikapiga mistar miwili.. Nikamwambia "Una mimba...". Nikamuona anashika kichwa.. Kwangu mimi kwa wakati ule mapenzi yalishanidrive crazy vibaya sana, niliona hakuna shida kabisa kama Nai atazaa, yani sikuona tatizo..lakini Nai ameshika kichwa kwanini? Nilipomhoji vizuri alifunguka kuwa yeye hana tatizo na hiyo mimba, ila changamoto ni bi mkubwa..bimkubwa wake ni kauzu vibaya sana kiasi ambacho kama atajua kuwa Nai ana mimba litakuwa kasheshe zito sana na huenda pia akataka tuitoe.. Hii kitu ilinishangaza kidogo, yaani mamaako kabisa alazimishe kukutoa mimba licha ya madhara yanayopatikana katika hilo jambo? Nai alinijibu kifupi tu " You know nothing about my mom". Sikuweza tena kubishana nae, lakini ni jambo ambalo halikuniingia akilini. Lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda mbele ndipo Nai alijawa na mawazo kuhsu hatma ya ile mimba..hakuona future nzuri kama mama yake atajua.Hapa ndipo nilipopata wazo la kumgongea simu sista yangu mmoja (mtoto wa mjomba) ambaye by that time alikuwa Singida kikazi (yeye ni nurse).. Niliamua kumueleza tatizo langu ikiwa ni katika hali ya kumshirikisha tu ili anipe mawazo mawili matatu juu ya jambo hili..nilitegemea zaidi utu uzima wake na busara zake nyakati hizi..lakini majibu aliyonipa ni zaidi ya heart-break, "sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav". Nilikata simu na sikuongeza neno lolote, nikiri wazi kuwa sasa ni zaidi ya miaka 12 tangu sis anijib hivi sijawahi kupokea simu yake, kumpigia wala kujibu msg zake na najitahidi kumkwepa kila ambapo nitaambiwa yupo, hata kwenye misiba.. Maumvu ya siku ile hayawezi kupona kabisa moyoni mwangu (na sijui ni kwanini). Kama sista unasoma hapa hii ndio sabbu kuu ya mimi kutopokea simu zako, na nadhani itabaki hivyo mpaka nitakapokufa iwe kwa Corona au Ukimwi...
Baada ya kukosa msaada japo wa mawazo kwa sista, niliamua kumalizana tu na Nai, nikamwambia amueleze maza kuhusu kile kibendi..wakati huu kilikuwa kimegonga miezi miwili tayari. Nai alikataa, lakini nilimlazmisha na nikafanikiwa, maza akaambiwa. Akauliza details za mtia mimba vzr, akaomba na namba ya simu.. Hakuonekana kuchukia, akanipigia simu kwa amani kabisa akinitaka niende nyumban kwao muda huo tukajadili kuhus mimba ya Nai..ilikuwa yapata saa 2 na nusu usiku. Nikachkua bodaboda na kwenda hadi nje kwa kina Nai, nikamjuza mama Nai kuwa nimefika...akanambia nisubiri nje, alipotoka alitoka na Nai amemshika mkono akanizungusha mpaka nyuma kabisa ya fensi ya ile nyumba, nyumba ilikuwa na fensi ya ukuta. Akanambia amenileta huku nyuma kwa sababu baba yake Nai ametoka na hajarudi so asije akatukuta ndani au pale nje.. Nai alikuwa kama hatua tatu kutoka pale niliposimama na mazaake, maza akaanza kuniambia kuwa there is no way tunaweza kumruhusu Nai azae nje ya ndoa, haiwezekani..!! Kwahy ni LAZIMA mimba ile itolewe, akanieleza wadhfa wa dingi yake Nai na cheo chake na jinsi alivyo mfano kama kiongozi, na jinsi pia familia nzima inavyoitegemea ile kazi , endapo Nai atagundulika amepata minba huenda ndio ukawa mwisho wa maisha yao maana baba yake atapoteza kazi (natamani kuieleza hii kazi lakini Nai wakati ananipa ruhusa ya kuandika hapa kuna vtu aliniambia nisiviandike kabisa, so naomba mnisamehe). So, the only solution ni abortion, ambayo itaniweka mimi, Nai na mama yake pamoja na familia nzima sehemu salama. Hapo nilikosa pa kukimbilia, kwa sabab mama alikaza kuwa "endapo itatokea baba yake hyu akapoteza kazi, je utaweza kutuhudumia kama familia?". Ingawa pamoja na yote hayo, bado nilimuona yule ndiye mama katili kuliko mama wengi niliowahi kukutana nao.. Mama ananishawishi kutoa mimba mwanawe licha ya madhara yanayoweza kupatikana baada ya hilo tendo?? So ikaamuliwa pale kuwa kesho yake Nai ataruhusiwa mapema sana asubuhi aje geto kwa ajili ya maandalizi ya kutoa mimba. Mimi nikamwambia yule mama kuwa siwezi kushiriki hiyo dhambi ya kutoa mimba, kama kumtoa aende mwenyewe.. Mama aling'aka akidai kuwa kama sikuona dhambi ya zinaa, na ya kutoa mimba niione kama nilivyoiona zinaa tu..kwanza ni dhambi hiyohiyo moja tu maana ni zinaa ndiyo iliyozalisha mimba..nikamuitikia sawa lakini moyoni nikisema kuwa siwezi kumpeleka mimi akatoe mimba, akinifia huko hyu mama hatokuja kukubali kuwa aliniagiza yeye..!!.
Kesho yake asubuhi sana Nai alikuja geto, akanambia kuwa mama yake amemfurusha asubuhi asubuhi aje kwangu ili tutekeleze agizo lake, sisi tukautumia mwanya huo kulana hadi jioni, hakuna ambaye alikuwa tayari kati yetu mimba itolewe...Jioni Nai aliporudi home na maza kugundua kuwa hakuna kilichofanyika, akamind saaana, alivyonipigia simu nikamjibu tu friendly..." Nilishakwambia kuwa siko tayari kwa hilo jambo, mimi siwezi kufanya hivyo..". Mama akakata simu na kuanza kudili na Nai. Attempt yake ya kwanza ni kumchemshia mizizi flani ambayo Nai hakuijua, akawa anamlazimisha anywe, Nai akagoma na kujifungia chumbani. Mama alipoona juhudi zake kama zinaelekea ukingoni, ndipo alipoanza kuwashirikisha dada zake Nai. Mmoja ni yule daktar ambaye nilikuwa nikiwasiliana nae sana, na mwengne alikuwa anasoma chuo Dodoma. Yule ambaye ni daktari mara tu baada ya kupata taarifa kuhusu hali ya Nai, alinipigia simu akinilaumu saaana, yaani alinilaumu hadi nikajiona fala. Alinambia kuwa why kila siku tunawasiliana na sijawahi kumwambia kuwa Nai ana mimba hadi mama amejua? Kama ningemwambia mapema yy angemchukua Nai na kuja kuishi nae Mbeya bila mama kujua kuwa Nai ni mjamzito mpaka angejifungua, baada ya Nai kujifungua mama yake asingethubutu kumuua mtoto.. Hapa ndipo pia akanimegea siri ya yule dada wa chuo kule dodoma alipo pia alikuwa wakati huo ana ujauzito mkubwa tu lakini alikuwa harudi nyumbani mpaka atakapojifungua coz akirudi lazma mama angesumbua sana na kutaka itolewe (mimi nahisi ipo siri nyuma ya huyu mama na hizi mimba lakini sikuweza kuijua hadi leo). Hafsa akanambia kwa sasa tumeshachelewa, so cha kufanya ni Nai kukubali tu ili mimba itolewe, nothing we can do...nilimweleza pia kuwa mama ananitishia kunipeleka polisi endapo sitamshawishi Nai atoe mimba.. Yy akaniambia 'kutoa mimba ni illegal, hawezi kwenda polisi, anakutisha tu.. Ww ongea na Nai vizuri ili akubali tu." Uzuri ni kuwa wote walijua kuwa mtu pekee wa kumfanya Nai aamue kutoa mimba ni mimi tu na mimi sikuwa tayari.. Hafsa pasi na kujua lakini ni kama alinitia nguvu flan hv, nikaona naweza kukaza na mimba isitolewe.. Lakin upande wa Nai mambo yalizid kuwa mabaya pale nyumbani, hakuwa anaishi kwa raha, muda wote vitisho na kuamriwa atoe mimba mpaka siku moja alipoamua kutoroka nyumbani kwao asubuhi kama saa 1 hivi.. Wakati mimi najiandaa kuwahi lectures za asubuhi Nai huyu..kaingia geto na kibegi chake.."nimekuja tuishi pamoja, nimechoka na vitisho, naapa sitorudi tena home tutakaa hapahapa nitakula utakachokula..". Daah..
Haya mapenzi yana nguvu sana kwakweli acheni tu...
Acha niweke pozi kwanza, nitarudi leoleo.. Nitajitahidi hadi kufikia jumamos niwe nimeshamaliza..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto nai maghetoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom