Nzi Chuma
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 472
- 1,142
Sometimes inaweza kuonekana kama burudani lakini mambo mengine tuliyopitia yanaumiza sanaNzi Chuma chakavu hongera story nzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes inaweza kuonekana kama burudani lakini mambo mengine tuliyopitia yanaumiza sanaNzi Chuma chakavu hongera story nzur
Sometimes inaweza kuonekana kama burudani lakini mambo mengine tuliyopitia yanaumiza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
nami nilihisi hivyo, kirahis tu mwanamke achangie mwanaume kitanda kimojaHahaha mpaka sometimes huwa nahisi mke wangu ni heterosexual. Maana ikitokea tupo wote watatu inakua kama tunampiga mande Nasra hahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hijapata wasaa wa kukumbushia mechi na boss Rona?Hapana aisee. Yule jamaa mganga asije akanibadili jinsia [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
sijui alitaka mshaur nini hapo! Hata mie niongekosa cha kukushaur yani kondomu huwez tumia hata njia nyingine pia huwez.!"sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav".
Ha ha ha Dada yako sio mtu wa mchezomchezo aisee,
Ila mkuu msamehe huyu dada yako,alichokisema hapo alikwambia ukweli japo alitumia lugha kali,ila ukiangalia hata ungekuwa wewe unaambiwa mdogo wako kampa mtu mimba ni lazima upaniki kwa sababu ulikuwa bado unasoma na hata kaka yake Nai unaona ulipomweleza nae alikulaumu hadi ukajiona fala lakini yeye hujamwekea kinyongo
Kwahio mkuu msamehe dadako mrudishe mahusiano kama zamani usimuwekee kinyongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia nyingine ni njia gani mkuu?sijui alitaka mshaur nini hapo! Hata mie niongekosa cha kukushaur yani kondomu huwez tumia hata njia nyingine pia huwez.!
huzijui kweli au unanizingua?
Akikubari naomba niwe mtu wa kwanza kununua ,,,, nitaarifu mkuuKigaKoyo kwa hii story yako andika kitabu, mimi nita design cover bureee
Nimeambatanisha hapa sample yakeView attachment 1390069
kama vipi kiamshe tu tuwe na series mbili itapunguza stress za covid 19Jamaa akimaliza tu hiki kigongo chake na mimi SUPER GENERAL GALADUDU nitaliamsha dude
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa akimaliza tu hiki kigongo chake na mimi SUPER GENERAL GALADUDU nitaliamsha dude
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri nduguJamaa akimaliza tu hiki kigongo chake na mimi SUPER GENERAL GALADUDU nitaliamsha dude
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuukama vipi kiamshe tu tuwe na series mbili itapunguza stress za covid 19
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaa, kwa tunaofahamu balaa la super general galadudu lazima tukae mkao wa kula. Mzee wa manati ya kizungu!Jamaa akimaliza tu hiki kigongo chake na mimi SUPER GENERAL GALADUDU nitaliamsha dude
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka nitaandika jioni, saa hizi nimetingwa kidogomkuu Nzi Chuma ni saa saba saizi, na ulituahidi asubuhi....[emoji16]
Km kuna point umewahi ongea.. hii pia ni moja wapoJamaa akimaliza tu hiki kigongo chake na mimi SUPER GENERAL GALADUDU nitaliamsha dude
Sent using Jamii Forums mobile app