How I Met My Wife

How I Met My Wife

"sitegemei mtu msomi kama ww upo chuo kikuu hujui matumizi ya condom na namna sahihi ya kuepuka kufanya ngono zembe, yaani mtu mzima kabsa hapo unajit**bea ovyo bila kuwa makini? Unaniangusha mdogo wang, mimi sina cha kukusaidia hapo zaidi ya kukuona fala tu, na utalea mtoto huyo au usipokuwa makini zaidi watakufunga hao pumbaaav".

Ha ha ha Dada yako sio mtu wa mchezomchezo aisee,

Ila mkuu msamehe huyu dada yako,alichokisema hapo alikwambia ukweli japo alitumia lugha kali,ila ukiangalia hata ungekuwa wewe unaambiwa mdogo wako kampa mtu mimba ni lazima upaniki kwa sababu ulikuwa bado unasoma na hata kaka yake Nai unaona ulipomweleza nae alikulaumu hadi ukajiona fala lakini yeye hujamwekea kinyongo

Kwahio mkuu msamehe dadako mrudishe mahusiano kama zamani usimuwekee kinyongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
sijui alitaka mshaur nini hapo! Hata mie niongekosa cha kukushaur yani kondomu huwez tumia hata njia nyingine pia huwez.!
 
Back
Top Bottom