How I Met My Wife

Story hii ya nzi Chuma inanikumbusha jinsi mama zetu wanavyopata tabu sana kuwalea watoto wa kike, utawahurumia sana hadi machozi yanakutoka aisee, wanahangaika mnoo na kuumia sana moyoni.
Salute kwa wamama wote.

Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
 
Asante mkuu kwa kushare nasi,Hongera kwa familia ya wake wawili unakula mema ya nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masikini nai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nai ana Moyo Kama wa Nora aisee..wanawake wa ivyo wamebaki wachache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…