nimempa haki yake kama wewe ulivonipa yangu kwa kuniita mzushi haaaaaaaa jamani weye...!!!!
njia ya msalaba mtaisalia huku Mkuranga??
kwani kakaake we unafanyang il kitu yenye inashushanga ma -IQ???
Mamushka ntahitaji written explanations hapo!
Hili nalo neno. Kwahiyo we utakuwa na kibarua cha kumhudumia huyu hapa kwenye bold chini. Hana gharama sana.Mwendawazimu hachagui jalala mkuu, kinywaji chochote chenye kilevi isipokuwa pombe za kienyeji tu!
Hehehe! Mawese na dagaa? Ukitumia hiyo huruhusiwi kutumia toilet paper ujue?ntakunywa kadiri ya zitakazopatikana kaunta.....kwisha ndo limit biggy!!!
lita za mawese nzuri kwenye dagaaa biggy ntamgaia mama Matesha
Ni heri iwe ndogo kuliko kuikosa kabisa!SI WAMESEMA tuna IQ ndogoππ
Huyu naye vipi, mjadala si ulishafungwa huu? Hapa kilichobaki ni Furahi day, kudumisha mila na kula mayi!!!!!!!!!Ni kusubiri mpaka ndoa halali ifungwe ndo consumation itake nafasi vinginevyo itakuwa out of context, content and process!
Sisi Wasabato hatuna njia ya msalaba! π
Binamu! huwezi kunong'oneza hata kidogo jamani! lol!
PM zimekatazwa (aaah lakini si kwako) ntakwambia tu hata ukiwa Mkurunga inside ze gest hausi, in ze bed with sm1 or alone I will do
nadhani mpaka hapa SAFARI IMEKUFA!(wahanga ni wengi mno kwenye hiliπ)
1-KAIZER
2-MASAKI
huna soda ?maana valuuu sitaki na hivyo vingine daah vitanizidishia joto la mwili!Kuna chai,kahawa au valuuuuuπ
nikupe kipi??
nadhani mpaka hapa SAFARI IMEKUFA!(wahanga ni wengi mno kwenye hiliπ)
1-KAIZER
2-MASAKI
hahaaa endelea yaani leo mimi na wewe.......watatutakaaaaa!!!!!
waambie waambie hawa....
Mpwa Pearl anado ze nidiful upande wa logistik, ndo tunamsikiliza hapa kwamba leo lazima kilimo kwanza kieleweke tu
huna soda ?maana valuuu sitaki na hivyo vingine daah vitanizidishia joto la mwili!
CHARAH...mmayiπππHuyu naye vipi, mjadala si ulishafungwa huu? Hapa kilichobaki ni Furahi day, kudumisha mila na kula mayi!!!!!!!!!
Hili nalo neno. Kwahiyo we utakuwa na kibarua cha kumhudumia huyu hapa kwenye bold chini. Hana gharama sana.
Hehehe! Mawese na dagaa? Ukitumia hiyo huruhusiwi kutumia toilet paper ujue?
Huyu naye vipi, mjadala si ulishafungwa huu? Hapa kilichobaki ni Furahi day, kudumisha mila na kula mayi!!!!!!!!!
nadhani mpaka hapa SAFARI IMEKUFA!(wahanga ni wengi mno kwenye hiliπ)
1-KAIZER
2-MASAKI
biggy mbona unagawa majukumu yako lakini???
uhusiano wa hiyo kitu na TP ni upi tena???
MJ1 hakufunga mjadala rasmi ujue ndo maana bado wajumbe wanachangia bt sie akhaaaa tulimaliza jana!!!
Hapo kwenye red itakuwa ngumu! Bora nibaki mjini tu nile mishkaji ya Mzalendo Pub! π
dah, have missed you though! how r u?
ha ha ha mkulu hapo kwenye RED we acha tu ishu ka izo zipo!! tena sijui kwa nn ni maeneo ya vijijini!! ila watu wajanja sana wakiona ngoma inakua nzito kila mtu anaenda kwa muda wake na anachukua chumba then usiku wanahamia chumba kimoja!! yani sehemu ambazo huna alternative kazi kwelikweli!!khaa...mpwa hapo unajua siye hatuogopi moto kama makalio ya sufuria!
Kha! gest gani inauliza cheti cha ndoa na kwa sheria ipi?
By the way, umemwona B? I am looking for her
Nimeiona mpwa nami nimeitendea haki hii yuziful posti! Unanidai lita kadhaa za pombe.Umenisoma mpwa! nsha do the needful
Hehehe! Hapo sawa. Ila kwenye red naona kama vile umenunua kesi.nadhani mpaka hapa SAFARI IMEKUFA!(wahanga ni wengi mno kwenye hiliπ)
1-KAIZER
2-MASAKI
3-BHT
4-PEARL
5-FIDEL
Muzee ya logistics on Duty!Binamu! huwezi kunong'oneza hata kidogo jamani! lol!
Karibu mwanachama mpya! We hakika ni mali yangu HALALI KABISA. (Avatar imezingatiwa)huna soda ?maana valuuu sitaki na hivyo vingine daah vitanizidishia joto la mwili!
ha ha ha mkulu hapo kwenye RED we acha tu ishu ka izo zipo!! tena sijui kwa nn ni maeneo ya vijijini!! ila watu wajanja sana wakiona ngoma inakua nzito kila mtu anaenda kwa muda wake na anachukua chumba then usiku wanahamia chumba kimoja!! yani sehemu ambazo huna alternative kazi kwelikweli!!
mtu akikusumbua kwa CHEUSI MANGALA atakuwa mgomviKaribu mwanachama mpya! We hakika ni mali yangu HALALI KABISA. (Avatar imezingatiwa)