Kumbe wewe ni last born!! Ndio maanaπππLeo last borns tunalo wallahi [emoji16][emoji16][emoji16]
Mara nyingi ni wivu tu ndo unawasumbuaga mkiona jinsi tunavyopendwa. Imagine mimi nilinyonya miaka 7 na nusu mizima. Yaani nakwenda kuchunga nikirudi nafikia kupata balanced diet kwa mama [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
View attachment 2588605
Imebidi nikasome thread zakoπ€£π€£π€£π€£π€£Mnapenda kutusema sana malast born sjui mnatuchukuliaje
Babymama wangu ananiambiga nina kisirani sana sjui nikoje nabaki Kumshangaa maana hata sielew iko kisirani nimekito wap
Huh!! Basi mdate mashangazi ili wawadekeze.Aahahah tumefikiwa
Ila ni kuwa sisi malast born tunaapenda antetion sana yaani kama ivi ukirud nyumban unaulizwa umekula mama anasema haya mkangieni mtoto mayai kachukue soda kwenye frig
Na kwenye mahusihano ivyo ivyo na tunapendwa sana kudekezwa na wapenzi wetu
ampata vipi unae hapo?Huh!! Basi mdate mashangazi ili wawadekeze.
Last born wanadeka sio MWANAUME sio MWANAMKE....hata kitandani atataka alale ukutani....
Last born anakikombe chake ukikitumia anazila au kugoma kukitumia.........
πππHao nasikia ukiwapa ziwa unaweza Kuta amelala hapo hapoπππGuys huyu last born kanishinda jaman mwanaume mda wote my momy my dady oh jaman nime mchoka nataman kumuacha
ππππMpwaLeo last borns tunalo wallahi [emoji16][emoji16][emoji16]
Mara nyingi ni wivu tu ndo unawasumbuaga mkiona jinsi tunavyopendwa. Imagine mimi nilinyonya miaka 7 na nusu mizima. Yaani nakwenda kuchunga nikirudi nafikia kupata balanced diet kwa mama [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
View attachment 2588605
Mmefikiwa πππ[emoji23][emoji23] mkuu weacha tu sjui wanataka tuishije nao yaan tuko simple sana ila tuhuma zinatuangukia kibao
Na hawapend longolongo hasa Ke, ukiwa na manzi first born uwe matured aisee wengi wao wana utu uzima wakati watoto.First bon ni kiongozi always, ww kama una date na mtu wa aina hiyo na hauna moango bora umwambie mapema.
First/last born wangu ni wa kike...na ni ngangari balaa hana hata chembe za ulast born hata kidogo labda tu kununa nuna bila sababu za msingi πππKumbe wewe ni last born!! Ndio maanaπππ
Omba Mungu mtoto wako wa mwisho asiwe wa kiumeπ€£π€£π€£π€£
We acha tu...Mmefikiwa πππ
Mkisemwa Sasa mama utamsikia niachieni mwanangu mnamyanyasaππππ
Last borns ndiyo tunaongoza kwa true love. Sasa unampata last born halafu unamwachia dah! Pole sana!Hahahhahaha
Yalishawahi nikuta, nikasema YA NINI .? Nikajiondokea!
True story mpwa...ππππMpwa
Wewe mwenyew kakuchoka unatema ng'ondaGuys huyu last born kanishinda jaman mwanaume mda wote my momy my dady oh jaman nime mchoka nataman kumuacha
π€£π€£π€£π€£True story mpwa...
Nakumbuka mpaka ile siku lizee limoja hivi likorofi na lenye wivu sana pale kijijini liliponitisha eti litakuja kuniua likiniona nanyonya tena ndo nikaacha dah! Wakati nilikuwa nimepanga mpaka nigonge teni yiazi ndo naacha π
Huko kununa nuna na kususa susa sasa!!!!!First/last born wangu ni wa kike...na ni ngangari balaa hana hata chembe za ulast born hata kidogo labda tu kununa nuna bila sababu za msingi πππ
Apumzike Kwa amaniWe acha tu...
Nimefaudu sana nyama za kufichiwa na mama. That woman dah! Apumzike salama kwa kweli. Hakuna upendo kama wa mama na last born wake wanaoshibana aisee ππβ€οΈβ€οΈβ€οΈ