komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kwn nyinyi mnataka serekali ndio wawape bure vyakula sio..[emoji23]hatujawahi kupewa chakula bure,sio serikali wala wananchi tokea mwaka 1988.
lakini kenya imechukua msaada wa mahindi kutoka UAE mwaka jana tu hapo.
na mnatuita wavivu,maana hamjui maana ya maneno ya kiswahili.
UAE wameleta kwhyo ilikua tukatae, mbna kdf walipokuja hko kwenu hamkuikataa misaada