How to prevent "Infidelity"

How to prevent "Infidelity"

Hataa....
guidelines anazopata ni zile za ku-prevent infidelity!
sasa tulia niongee na mama vizuri.....
anaweza akaukwaa uongozi kwenye kambi ya upinzani....:becky:

Usimnyime uhuru wake...mpe wishes za 'no to infidelity' na zile rules zetu uone atakumbuka zipi.....
 
Usimnyime uhuru wake...mpe wishes za 'no to infidelity' na zile rules zetu uone atakumbuka zipi.....

So far tangu nimempa naona bado yupo kwetu....
sasa ngoja tumpe muda tuone....:confused2:
 
So far tangu nimempa naona bado yupo kwetu....
sasa ngoja tumpe muda tuone....:confused2:

Huku naona hadi michango keshatoa....ukizingatia si tunaruhusu duo-membership...
 
Heheheh I know wats runnin in ur mind...
If am neither a dude nor a she...then I must be gay! Right...?
Hahahah... Am LMAO!!!

C'mon smiles... dont LFAO... it will burst dude

Mh...i didnt knw its ok to say it loud....!

HAHAHAAAAAAA.... HAYA MAMBO YA JF MATAMU SANA

know you know!!!


Kweli JF tamu

Sasa, kati ya ACID na SMILES hapo nani anaprevent infidelity?..:becky::becky:
 
Hata mi nashangaa...
Mmeomba msaada kwa Sheikh Yahya nini...??



wera weraaaaaaaa huyu bata niliyechinja leo mtamu kweli hata mama nani anashangaa mbona naraha sana kidumu chama weraaaaaaaaaaaaaa :lol: amani idumu nyumbani
 
wera weraaaaaaaa huyu bata niliyechinja leo mtamu kweli hata mama nani anashangaa mbona naraha sana kidumu chama weraaaaaaaaaaaaaa :lol: amani idumu nyumbani

:confused2::confused2::A S-confused1::A S-confused1:
 
Kweli JF tamu

Sasa, kati ya ACID na SMILES hapo nani anaprevent infidelity?..:becky::becky:

None...pretty clear...:hand: (samahani mwenyekiti nimetofautiana na wewe)
 
:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
\

Smiles ukija pub jioni uje kama ulivyovaa hapo kwenye hiyo avatar yako hapa nilikuwa nimesimama juu ya meza niweze kuiangalia vizuri
 
:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:

Inakuwa ngumu sana kuelewa unachoandika SMILES kwa sababu kila nikiwa nasoma, macho yanaslide kuelekea kwenye avatar yako...
 
\

Smiles ukija pub jioni uje kama ulivyovaa hapo kwenye hiyo avatar yako hapa nilikuwa nimesimama juu ya meza niweze kuiangalia vizuri

Bado nakutafutia jibu..... 😡
 
Inakuwa ngumu sana kuelewa unachoandika SMILES kwa sababu kila nikiwa nasoma, macho yanaslide kuelekea kwenye avatar yako...

:A S-devil1::A S-devil1::A S-devil1::A S-devil1:
 
Bado nakutafutia jibu..... 😡

Mambo yetu mimi na wewe uwa tunayamaliza tukikutana jioni kwahiyo maelezo yote nitakupa jioni leo nataka:A S 100::A S 100:eliza nimwambie akuwekee Serengeti zako ili ukute za baridi zitapunguza munkari wako ulionao juu yangu mimi una 😛reggers:😛reggers:unanificha nisijue natumaini jioni utanipa jibu
 
Mambo yetu mimi na wewe uwa tunayamaliza tukikutana jioni kwahiyo maelezo yote nitakupa jioni leo nataka:A S 100::A S 100:eliza nimwambie akuwekee Serengeti zako ili ukute za baridi zitapunguza munkari wako ulionao juu yangu mimi una 😛reggers:😛reggers:unanificha nisijue natumaini jioni utanipa jibu

"Asprin anasoma hapo....???? :confused2:
 
Back
Top Bottom