Smiles
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 1,231
- 107
- Thread starter
- #201
:confused2::confused2::confused2: Say it again hivi mbona jana wakati tumekaa Zero Pub wakati Eliza anakuhudumia zile Ndovu baridi ulikuwa umeyaficha hayo maneno by the way ulilala nyumbani maana jana shemeji yangu kanipigia simu mida ya saa 8 ulikuwa haujafika i hope ulienda kutimiza masharti na ukarudi nyumbani kama sheria hizi hapa chini zinavyosema.
INFIDELITY KAMWE HAIFANYIKI USIKU KUCHA-fanya unalofanya lakini make sure umerudi nyumbani kwa waif/husband.ukilifanya hili utakuwa umeheshimu na kuitekeleza sheria namba 7 na namba 9 tajwa hapo juu
INFIDELITY itafanyika NYUMBA ZA KULALA WAGENI TU!....tena itafanyika kilometa kadhaa kutoka maeneo yako ya nyumbani(otherwise unatakiwa uproove kwamba mkeo/mumeo kasafiri umbali usio pungua kilometa mia saba kutoka nyumbani kwenu).
Hahahah mwe... Nyie watu jamani! Msitake kutupotezea mwanachama wetu!