Howo Vs Scania

Howo Vs Scania

Scania Inaitaji matunzo sana alafu spare zake ni gharama sana,kwenye maintainance cost lazima ikukamue,kam unaanza ni bora ununue howo au foton mpya ikianza kuzingua utakuwa ushafudisha pesa yako
Acheni upotoshaji, unajua maana ya hela kurudi? Kitu ya kichina ni shida kuliko unavoichukulia.
 
Ok mkuu Nimekuelewa, Ni Scania ngapi umeshaona ziko juu ya mawe na Howo ngapi umeshaziona ziko juu ya mawe ?
SCANIA :JUU YA MAWE NYINGI
HOWO : JUU YA MAWE HAMNA KABISA .
MKUU ELEWA IT IS IMPOSSIBLE KUNUNUA KICHWA CHA SCANIA MPYA
LAKINI UWEZO WA KUNUNUA KICHWA CHA HOWO UPO KABISA NA UNAPATA WARRANTY MIAKA 4 ,SCANIA USED MKUU HAINA WARRANTY IKIFA NA KWISHA HABARI YAKO ,WARRANTY MIAKA 4 SI UMESHARUDISHA HELA YAKO MAN .Ni wazo tuu .
Narrow analysis. Scania ina miaka zaidi ya hamsini sokoni tanzania, howo halina miaka 10! So kukuta scania nyingi juu ya mawe ni ukongwe wake
 
Mzee umenikumbusha hii chuma ilkua dar mbeya ndo gari ya kwanza kila cku cjui iko wap tena
Kuna mabasi nayajua ni Scania 94D.Ziko vizuri sana kuliko hizo Yutong,Higher za kichina ambazo ni mpya.
Kwa wale wazee wa Ubungo bus terminal mtaikumbuka basi la happy nation lilikuwa likiitwa "sauti ya manka".Jinsi lilivyokuwa likizinyanyasa Yutong ambazo ni mpya.
 
Hii chuma niko nayo mwaka wa tano sasa na ilikuwa used namba B haijaguswa engine mpaka sasa, Sasa hao wanaokushaur uchukue mchina waulize gear box ikizingua unafanyaje? Ni kununua mpya mzee! Chukua scania tena 124 roho ya paka ama chukua ata R429 hapo town ni mill 75.

Bado scania ni habari ingine, Actross zinakuja zinachoka chuma iko vile vile, gari pia ni matunzo kama unapata dereva asiyejal gar mbona miaka miwili mingi anakuwa ashaifi*a, natokea Goma mda huu na hiyo chuma..mwendo wa bus muda wa mavampire huu.
IMG_20191011_074219.jpeg
 
JIULIZE SWALI DOGO TOO, TRANSPORT COMPANY NYINGI APA BONGO ZNA MILIK SCANIA CHACHE, LKN HOWO LUNDOO, UTAKUTA COMPYA INA FLEET YA GARI 300, ONLY 45SCANIA, THE REST HOWO OR OTHER MAKE. SO HOWO ARE THE BEST, KWA MTAJ MDOGO
 
Nyuzi kama hizi hutembelewa na vichwa kama hivi, seems mnauzoefu na nimejifunza kitu
Hii tabia ya kufananisha Scania ya mavitu ya ajabu achene basi
Scania ukiifanyia Planned preventive maintenance (PPM), itadumu muda mrefu sana
Scania is the best
Gari ya mzungu ngumu tafuta 360 reduction hutajuta
Gari za china zinatumia Cummins au Weichai engines....cummins engine is American brand so iko vinzuri. Sina uhakika na transmission/gear boxes
scania ndio truck ya pili qa kua na nguvu na bora ikiwa nyuma ya volvo ss unafananisha takataka howo na scania...
 
Hawo watu wanapeda ipi?basi zuli liwe scania mi sijaona basin la hawo. Ata wawe wegi sijaona wakipada hawo hao wachina.wakodishie tu scania moto chini
 
uwingi wa juu ya mawe wa Scania ni kwa sababu ya umri kuwepo sokoni, haimaanishi kwamba hazitengenezeki au spare bei ghali
Howo hazina umri mrefu sokoni ndo maana huzioni nyingi juu ya nawe.
Scania yenye kilometer laki 6 ni sawa sawa na Howo jipya in terms of durability.
Howo huwezi ifananisha hata na Fuso
Hahahahaahaahahaha
 
Mzee umenikumbusha hii chuma ilkua dar mbeya ndo gari ya kwanza kila cku cjui iko wap tena
Ahahahaaaaa ilikuwa inaamsha Sana hiyo chuma, kuna jamaa alikuwa anagonga gear alikuwa anapenda kunyoa kipara, traffic walikuwa wanaitambia vizuri sana
 
Hello Great Thinkers.
Naomba kuuliza hivi hizi Tractor za kuvuta trailers Ni ipi bora zaidi kati ya hizi za kichina HOWO na Scania ,Ndio Naomba mungu mwaka huu ninunue kichwa kimoja kati ya hizi mbili ,ndio naanza hii biashara GT.Thanks a lot you guys.
Kama Ndio unaanza biashara hiyo.na Ni Gari Moja tu Nunua SCANIA. Maana ukiona biashara inazingua SCANIA Ni rahisi kuuza. Ila kama Ni Fleet na kazi unayo Nunua Howo zako kadhaa piga kazi
 
Hii chuma niko nayo mwaka wa tano sasa na ilikuwa used namba B haijaguswa engine mpaka sasa, Sasa hao wanaokushaur uchukue mchina waulize gear box ikizingua unafanyaje? Ni kununua mpya mzee! Chukua scania tena 124 roho ya paka ama chukua ata R429 hapo town ni mill 75. Bado scania ni habari ingine, Actross zinakuja zinachoka chuma iko vile vile, gari pia ni matunzo kama unapata dereva asiyejal gar mbona miaka miwili mingi anakuwa ashaifi*a, natokea Goma mda huu na hiyo chuma..mwendo wa bus muda wa mavampire huu.View attachment 1250127
Nilikua nimeweka malengo ya kuanza na kipisi, umenibadil mawazo..bei ni zile zile tu...acha nguvu nihamishie hapa
 
Hilo Ni wazo NZURI SANA SI KUNA CHUO CHA KUJIFUNZIA UDEREVA CHA TAIFA ITABIDI APELEKWE KABLA HAJAANZA NA APELEKWE KULE KARAKANA YA SCANIA DARESALAAM KWA MAFUNZO ZAIDI .
Ulifanikiwa ?
 
Nilikua nimeweka malengo ya kuanza na kipisi, umenibadil mawazo..bei ni zile zile tu...acha nguvu nihamishie hapa
kuwa na uhakika na trailer kwanza kabla ya horse, maana kwenye biashara ya trucks ni sawa na kiwanja na kujenga(kipi huwa kinaanza), kwenye trucks is the opposit
 
Back
Top Bottom