Howo Vs Scania

Howo Vs Scania

Kuna mabasi nayajua ni Scania 94D.Ziko vizuri sana kuliko hizo Yutong,Higher za kichina ambazo ni mpya.
Kwa wale wazee wa Ubungo bus terminal mtaikumbuka basi la happy nation lilikuwa likiitwa "sauti ya manka".Jinsi lilivyokuwa likizinyanyasa Yutong ambazo ni mpya.
SAUTI YA MANKA.......ACHA KABISA HILO DUDE
 
Mkuu American trucks zipo juu eeh?!
Hizo ni habari nyingine mkuu,
Kama hizi Scania tunazo ziaminia 124 ina Hp 400-600 lakini ile midude ina 1400-....Hp, kwa hiyo kutrmbea na trailer kuanzia mbili ni kawaida tu (Mfano nenda youtube kacheck Peterbilt, Coga n.k)
 
Hizo ni habari nyingine mkuu,
Kama hizi Scania tunazo ziaminia 124 ina Hp 400-600 lakini ile midude ina 1400-....Hp, kwa hiyo kutrmbea na trailer kuanzia mbili ni kawaida tu (Mfano nenda youtube kacheck Peterbilt, Coga n.k)
Mkuu inaeleka hizi truck za kimarekani zinaweza kupanda mlima kitonga kama zinashuka huku zinavuta na trailer
 
Hizo ni habari nyingine mkuu,
Kama hizi Scania tunazo ziaminia 124 ina Hp 400-600 lakini ile midude ina 1400-....Hp, kwa hiyo kutrmbea na trailer kuanzia mbili ni kawaida tu (Mfano nenda youtube kacheck Peterbilt, Coga n.k)
Mhhh!!!
Mkuu the hishest power rated, iliyopo barabarani kwa sasa ni volvo fm750 ikifuatiwa na scania S 730, hizo 1400hp unazozungumzia probably ni plants , genset or marine engines.

Yeah american trucks zinaeza zikawa popular by comfort and luxury inside , but power wise ziko nyuma sana, by default americans hawabebi mizigo mizito ila wana safari za urefu mkubwa ,
 
IMG_20180305_105149.jpg


Tunauza Malori ya Howo na sitrak. karibuni, ofisi yetu ipo Kipawa, Dar. Kwa upande wa malori, mimi ni muuzaji wa haya malori na yana masoko sana hapa bongo kutokana na uimara wake wa kupiga kazi popote na yanadumu muda mrefu.
simu 0717-518359, 0767-379412.
 
Kama una anza nunua Scania 113.
Huo ni mkataba!
Acha kumchuuza mwenzio,113 ni gari ya kizamani na aina uwezo mkubwa kama Howo,kwa kuanzia kazi bora uchukue howo mpya kaka,kwanza kabisa howo wakati wa service unatumia kiasi kidogo cha engine oil tofauti na scania, howo utatumia 20ltrs za oil, wakati scania 40ltrs, howo kwako wewe tajiri itakuneemesha ila dereva utamzeesha mapema sana, coz hizi truck wameiga na awajazipatia kabisa sio comfortable drive akisafiri 600km usiku lazima ameze painkiller
 
Mie nilikuwa nadhani Scania ndio Baba lao kumbe kuna Volvo
Hizi tractor utofautiana uwezo kutokana horsepower,hapo bongo scania kubwa kabisa hp 470-480 na ni chache sana wakati uku bondeni kuna vitu kama Freightliner Argossy ya kawaida unakuta ina hp 540 inaparamia milima tena ikiwa na mzigo heavy kwenye lowbed trailer,kwahiyo nataka kusema nguvu ya tractor ni horsepower
 
Let me make it clear kidogo.
Kama unataka kufanya biashara ya transportation nunua Scania.
Scania inakutoa.
Suala la oil sio tatizo gari inafanyiwa service baada ya kutembea km ngapi vile?
Acha kumchuuza mwenzio,113 ni gari ya kizamani na aina uwezo mkubwa kama Howo,kwa kuanzia kazi bora uchukue howo mpya kaka,kwanza kabisa howo wakati wa service unatumia kiasi kidogo cha engine oil tofauti na scania,howo utatumia 20ltrs za oil,wakati scania 40ltrs,howo kwako wewe tajiri itakuneemesha ila dereva utamzeesha mapema sana,coz hizi truck wameiga na awajazipatia kabisa sio comfortable drive akisafiri 600km usiku lazima ameze painkiller
 
Correct ! Umefanya homework vizuri bro, in history book is where they belong those 113 , not working horse at 50 tons
Nature ya mazingira ya kaz kwa sasa inahitaji gari zenye nguvu na uhakika , 113 itakulimit sana kwenye kaz za sasa na amini usiamini those donkey are very heavy on fuel
Mkuu hebu nipe hasara ya 113
 
Mkuu hebu nipe hasara ya 113
Mosi ni heavy on fuel

Pili ni imepitwa na wakati mno, parts zipo na ni rahisi kweli ila sio reliable

Haina nguvu kulinganisha na current work horses , kwa hiyo kwenye kaz za mchakachaka haiwezi kuwa ontime

Ni expensive kuinunua kwa sasa kutokana na stereotypes , hapo nyuma tuliaminishwa kuwa 113 ni gari ya kimasikini kila mtu akawa anaikimbilia

Kaz pekee naona 113 inaeza kwa sasa ni transit maana kule gari zinaenda kwa vituo sana na mizigo ya kwenda mara nyingi inakuwa si mizito.
 
Angalia kampuni kubwa ata za mabasi utajua walionunua mchina namba c sasa hivi aziwezi kwenda mbeya or mwanza.lakini angalia marcopolo or yale madude ya arusha coast line yanavyo chanja mbuga!hizo number mchina agusi na aikigusa mwaka inakua chuma chakavu
29094522_342113762978104_8124381238287925248_n.jpeg
43415063_2191231841152593_2512571409549214112_n.jpeg
43459069_2219480391711473_7504901360763538778_n.jpeg
44396991_182740245938364_3128421080070151156_n.jpeg
 
Mosi ni heavy on fuel

Pili ni imepitwa na wakati mno, parts zipo na ni rahisi kweli ila sio reliable

Haina nguvu kulinganisha na current work horses , kwa hiyo kwenye kaz za mchakachaka haiwezi kuwa ontime

Ni expensive kuinunua kwa sasa kutokana na stereotypes , hapo nyuma tuliaminishwa kuwa 113 ni gari ya kimasikini kila mtu akawa anaikimbilia

Kaz pekee naona 113 inaeza kwa sasa ni transit maana kule gari zinaenda kwa vituo sana na mizigo ya kwenda mara nyingi inakuwa si mizito.
Mkuu kwa mtazamo wako gari ipi nzuri?? 112 vipi
 
Let me make it clear kidogo.
Kama unataka kufanya biashara ya transportation nunua Scania.
Scania inakutoa.
Suala la oil sio tatizo gari inafanyiwa service baada ya kutembea km ngapi vile?
Uko sahihi mkuu wangu
 
Back
Top Bottom