adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
SAUTI YA MANKA.......ACHA KABISA HILO DUDEKuna mabasi nayajua ni Scania 94D.Ziko vizuri sana kuliko hizo Yutong,Higher za kichina ambazo ni mpya.
Kwa wale wazee wa Ubungo bus terminal mtaikumbuka basi la happy nation lilikuwa likiitwa "sauti ya manka".Jinsi lilivyokuwa likizinyanyasa Yutong ambazo ni mpya.
Mkuu American trucks zipo juu eeh?!Labda tu usipo zihesabu Amercan trucks
Hizo ni habari nyingine mkuu,Mkuu American trucks zipo juu eeh?!
Mkuu inaeleka hizi truck za kimarekani zinaweza kupanda mlima kitonga kama zinashuka huku zinavuta na trailerHizo ni habari nyingine mkuu,
Kama hizi Scania tunazo ziaminia 124 ina Hp 400-600 lakini ile midude ina 1400-....Hp, kwa hiyo kutrmbea na trailer kuanzia mbili ni kawaida tu (Mfano nenda youtube kacheck Peterbilt, Coga n.k)
Mhhh!!!Hizo ni habari nyingine mkuu,
Kama hizi Scania tunazo ziaminia 124 ina Hp 400-600 lakini ile midude ina 1400-....Hp, kwa hiyo kutrmbea na trailer kuanzia mbili ni kawaida tu (Mfano nenda youtube kacheck Peterbilt, Coga n.k)
Acha kumchuuza mwenzio,113 ni gari ya kizamani na aina uwezo mkubwa kama Howo,kwa kuanzia kazi bora uchukue howo mpya kaka,kwanza kabisa howo wakati wa service unatumia kiasi kidogo cha engine oil tofauti na scania, howo utatumia 20ltrs za oil, wakati scania 40ltrs, howo kwako wewe tajiri itakuneemesha ila dereva utamzeesha mapema sana, coz hizi truck wameiga na awajazipatia kabisa sio comfortable drive akisafiri 600km usiku lazima ameze painkillerKama una anza nunua Scania 113.
Huo ni mkataba!
Reduction itamgharimu kwenye mafuta kwakuwa hiyo diff ni ya low speadScania is the best
Gari ya mzungu ngumu tafuta 360 reduction hutajuta
Hizi tractor utofautiana uwezo kutokana horsepower,hapo bongo scania kubwa kabisa hp 470-480 na ni chache sana wakati uku bondeni kuna vitu kama Freightliner Argossy ya kawaida unakuta ina hp 540 inaparamia milima tena ikiwa na mzigo heavy kwenye lowbed trailer,kwahiyo nataka kusema nguvu ya tractor ni horsepowerMie nilikuwa nadhani Scania ndio Baba lao kumbe kuna Volvo
Acha kumchuuza mwenzio,113 ni gari ya kizamani na aina uwezo mkubwa kama Howo,kwa kuanzia kazi bora uchukue howo mpya kaka,kwanza kabisa howo wakati wa service unatumia kiasi kidogo cha engine oil tofauti na scania,howo utatumia 20ltrs za oil,wakati scania 40ltrs,howo kwako wewe tajiri itakuneemesha ila dereva utamzeesha mapema sana,coz hizi truck wameiga na awajazipatia kabisa sio comfortable drive akisafiri 600km usiku lazima ameze painkiller
Mkuu hebu nipe hasara ya 113Correct ! Umefanya homework vizuri bro, in history book is where they belong those 113 , not working horse at 50 tons
Nature ya mazingira ya kaz kwa sasa inahitaji gari zenye nguvu na uhakika , 113 itakulimit sana kwenye kaz za sasa na amini usiamini those donkey are very heavy on fuel
Scania 450 ni ikoje mkuu kali sana ausijaelewa unavosema ya pili kwa nguvu...
nguvu inatokana na horse power bhana mfano scania 143 hp450 huwezi fananisha na volvo hp 360
Inapower. Lakin hiyo pia ni ndogo. Volve FE ina 750.Scan
Scania 450 ni ikoje mkuu kali sana au
Kati ya Scania na hiyo Volvo ipi kali ukiangalia hapa Bongo watu wachache wanamiliki Volvo nimeona SSB na Simba trucking Company ipo hapa ArushaInapower. Lakin hiyo pia ni ndogo. Volve FE ina 750.
Inapower kuliko maelezo
Mosi ni heavy on fuelMkuu hebu nipe hasara ya 113
Mkuu kwa mtazamo wako gari ipi nzuri?? 112 vipiMosi ni heavy on fuel
Pili ni imepitwa na wakati mno, parts zipo na ni rahisi kweli ila sio reliable
Haina nguvu kulinganisha na current work horses , kwa hiyo kwenye kaz za mchakachaka haiwezi kuwa ontime
Ni expensive kuinunua kwa sasa kutokana na stereotypes , hapo nyuma tuliaminishwa kuwa 113 ni gari ya kimasikini kila mtu akawa anaikimbilia
Kaz pekee naona 113 inaeza kwa sasa ni transit maana kule gari zinaenda kwa vituo sana na mizigo ya kwenda mara nyingi inakuwa si mizito.
Uko sahihi mkuu wanguLet me make it clear kidogo.
Kama unataka kufanya biashara ya transportation nunua Scania.
Scania inakutoa.
Suala la oil sio tatizo gari inafanyiwa service baada ya kutembea km ngapi vile?