Hoyce Temu na Wabaguzi Mamboleo!

Hoyce Temu na Wabaguzi Mamboleo!

Mimi sioni lolote zaidi ya ngono tu. Kigezo kinachoonekana dhahiri mamiss wetu wa kibongo wanaendekeza sana hiyo kitu na kupelekea kupotosha maana na lengo la huo umiss wenyewe. Ukishakuwa miss tu utaona jinsi magazeti ya udaku yatakavyoanza kukufuatilia na ukichunguza unakuta ni kweli. Miss wa kiswahili akishaupata huo umiss sijui huwa wananyweshwa kinywaji gani kinachowalevya ni sawasawa na hawa wanasiasa wetu hubadilika kwa kasi ya ajabu mifano iko mingi. Uafrika kwao inakuwa byebye wao ni uzungu tu kwa sababu hawawezi kuwa katika status za kiafrika labda H.Magese kidogo lakini hao wengine do! Sasa alicholia huyo dada ni uzandiki. Halafu kingine akiisha upata huo umiss world sijui nini anaanza nyodo oooh miss TZ ina mapungufu haya oooh mara hivi. Ni sawasawa na mtoto kwa mzazi , mzazi anahangahika kumsomesha pamoja na unmaskini wake akienda ulaya akirudi anaanza kumkashifu mzazi wake oooh baba wewe hujasoma oooh baba we mchawi. Na vitu kama hivyo ubaguzi tunao sisi wenyewe. Ukianza kujibagua na wenzako watakubagua. Kwa sababu utafikiri huyu mhindi kaniambia hivi unaanza ktfsiri maana na kusema amenibagua kumbe hakumaanisha hivyo. Tutambue kuwa hakuna ubaguzi mbaya kama ule wa nafsi.
 
Hilo tangazo halina ubaguzi wowote wa rangi, anaetakiwa ni "Mtanzania mwenye asili ya kiasia", ubaguzi wa rangi uko wapi hapo?

Ni kama kusema tunataka mfanya asizidi miaka 35, jee tutasema kuna ubaguzi wa miaka hapo? Ni ufanisi na sababu maalum za kuhitaji mfanya kazi mwenye sifa fulani.

Walimu wana kazi kubwa sana ya kuwaelewesha watu kama hawa.
Ubaguzi ni ubaguzi tu, hata wa eneo analotoka mtu.
 
Tinaaaaa!!! Good miss world si wote wanaojibu maswali kwa kiingereza tumeona watu kutoka mataifa mbali mbali wakizungumza lugha zao na watu wakitafsiri.

But ukweli wa mambo ni kuwa bwana wahindi wao wenyewe ni wabaguzi kwanza u' can proove this sehemu za biashara zinazoendeshwa na wahindi lakini waafrika weusi wanafanya kazi humo mimi mwenyewe niliwahi kufanya kazi katika kampuni ya mhindi na cha ajabu kazi hiyo niliyofanya mimi ilifanywa pia na mhindi lakini alinizidi mshahara kwa Sh. 140,000 nilipohoji sikupata jibu ukizingatia hata hiyo kazi mimi nilikuwa ni immediate supervisor wake ingawa hakupenda hicho kitu.

MKJJ unazungumzia mtu kutongoza mhindi niliwahi kumtamani binti wa kihindi hapo nilipofanyia kazi na nilimu-approach na kitu kizuri alikuwa tayari kunisikiliza kila nikimpa mistari eventuallu alinijibu kitu kimoaja tu na zoezi likaishia hapo " UNATAKA KWETU WANIUE WAKIJUA NIKO NA MWAFRIKA??" akimaanisha weusi/uafrika wangu.

Kama alivyo-comment mtu mmoja hapo juu na style ya maisha wanayoiweka wahindi inachangia kuwafanya waonekane si wenzetu may be MKJJ unipe mfano hai wa mhindi mliyekuwa mkifahamiana na alijitokeza wakati wa matatizo kwenu au sherehe???

Lakini tukubali tukatae hawa hata kama walizaliwa Tz miaka 100 iliyopita kuna mambo mengi yanayotutofautisha nao kiasi kwamba mtu huamini kuwa kuna siku mhindi atakuwa rafiki wa kweli ingawa ni kweli tunao humu bongo lakini mh! Hivi MKJJ kungekwa na M-Tz mweusi amezaliwa na kukulia india na ana uraia wa huko then agombee U-miss India hata kama ana vigezo angepata hilo taji la Miss India??? acha porojo zako mkuu!!!
 
Labda nianze kwa kusema kuwa mimi siamini katika ubaguzi wa aina yoyote, uwe wa rangi, kabila, jinsia au kikabila. BUT, nakubaliana na wale ambao wanasema kuwa ilikuwa ni makosa kwa akina Lunbenga kumpa ushindi Muhindi ili atuwakilishe Watanganyika huko Miss World. Anaweza kuwa kazaliwa huku na inawezekana mmoja wa wazazi wake ni Mtanzania, lakini "muhindi" ni muhindi tu. It is quite annoying ninapowaona wahindi Bungeni eti wanawawakilisha weusi wa Morogoro, dodoma au singida. Wengi humu mnaujua ubaguzi wa wahindi. It is unthinkable for such people to represent the interest of the common man, a common Tanzanian. Tunawabusu miguu na mwisho wa siku nia yao ni kuendelea kujineemesha na kuifilisi nchi. I hate to be labelled a racist but the truth must be spoken however painful it may be.
 
Last edited:
Hapa niulize ni wangapi wamewahi kujaribu kutongoza binti wa kihindi wakakataliwa? Halafu hili la kumhumuku Richa kwa makosa yanatokana na jamii yake ni vipi kwa vipi? Yaani kwa vile jamii yake au watu wa asili yake kiujumla wako hivi au vile basi Richa naye hastahili kutokuwa Miss Tanzania? Kwanini tumuadhibu binti ambaye amegombea katika jamii ya Watanzani tangu miss kitongoji, amekaa nao kambini n.k Kama kuna mtu ataniambia kuwa Richa alikuwa na chumba chake, alikuwa anapewa chakula tofauti na wengine, n.k hapo naweza kusema kuwa Richa labda hakustahili, lakini hadi hivi sasa hakuna mtu anayedai kuwa Richa alipendelewa kwa vile ni Mhindi, wengi wanasema kwa vile Richa si Mweusi! Huu ni ubaguzi wa rangi in reverse!

Mheshimiwa Heshima mbele!
Sikupenda saana kushiriki kwenye hii maada, lakini imenibidi nijitokeze. Kama ni hii mijitu yenye asili ya kiasia haifai kwani ndiyo inaongoza kwa ubaguzi.

Siongei kwa ushabiki, mimi nafanyanayo kazi ofisi moja hata hapa nilipo niko nayo kwa hiyo nayatambua vizuri.

Kwanza mkikutana ofisini asubuhi hata ile Hi! kwa mweusi hakuna, ila menyewe utayasikia "Kemcho" na wote mko department moja. M-asia akija kupata huduma hawezi kuja kwenye meza ya mweusi ni moja kwa moja kwa m-asia mwenzie labda huyo m-asia awe anahudumia mtu mwingine.

Kilichofanyika kwa Richa siwezi kukiita ubaguzi wa rangi, pale ilikuwa utaifa.
 
Siku moja ( ilikuwa usiku ) katika mtaa wa Jamhuri, karibu na mgahawa wa Chef Pride nikiwa pamoja na rafiki yangu mwenye asili ya ulaya, tukiwa katika bar moja ambayo iko karibu sana na mgahawa huo, pia kulikuwepo na kundi la watalii wenye asili ya ulaya pia wakipata kinywaji. Alijitokeza jamaa mmoja mwenye ASILI ya Asia ( simkumbuki vizuri jina lake ) lakini alijiunga pamoja na sisi na tulimkaribisha, lakini kilichofuatia alianza kuwaponda wazi wazi wale watalii ama wageni huku akisema " Sisi ndio watu sio hawa! " akiongeza " Go to your own Country! " kilichofuata baada ya hapo wale watalii walijiengua katika eneo hilo na kushika zao, sikufahishwa na jambo hilo ila nachotaka kusema ni kwamba hata kama wahindi watakuwa wabaya ki namna fulani itakuwa si wote, na hii inalingana na madaraja waliyonayo. mhindi ni binadamu kamili na ana ukamilifu na mapungufu kama niliyonayo mimi,nina Imani Mahatma Gandhi ( R.I.P ) hakuwa na Sera tofauti kama alizokuwa nazo Martin Luther II ( R.I.P ), wote walipenda na walitaka kuwe na usawa ndani ya Jamii, hivyo wahindi ni watu wazuri tu! nitawapa mfano wa jamaa yule aliyejitolea kupigania usawa wa Elimu Nchini na ana Asili ya Ki Asia, huyo naye Vipi? nadhani ni kutokana na mapenzi yake aliyo nayo katika jamii ya ki Tanzania ujitoaji katika kushirikiana na Jamii , kuna misemo kama "kunapokuwa na UPENDO chuki hujitenga, yote haya yamekwenda Wapi?
kuna wahindi ambao wanachanganyikana kabisa na jamii yetu ya kibantu katika nyanja mbalimbali mpaka kwenye misiba na inapendeza kweli kweli, pia kuna ndoa za wahindi na weusi ingawa ni chache na hii inatokana na tetesi kwamba wenzetu wahindi hawapendi mali itoke nje ya Familia!, that is Why Kaka kamuoa Dada na vitu kama hivyo! , na kuna wale ambao wao hujifungia majumbani mwao asubuhi mpaka jioni, unategemea mtu kama huyu atajifunza nini toka kwa jamii inayomzunguka? wanajitenga wao wenyewe! na cha mno wana sehemu zao maalumu za jamii yao kukutana na kujadili yanayowahusu wao, nina hakika hii ni katika kulinda na kutetea TAMADUNI zao lakini hapo hapo hakuna mtu ambaye hapendi na kujali tamaduni zake lakini wenzetu wamezidi ( ninaweza kusema hivyo! ) kwa kujipenda kuzidi kiasi ( SELFISHNESS ) mpaka kufikia hatua za kuoana wao kwa wao.

nilipata kwenda kwenye mgahawa mwingine unaomilikiwa na Mtanzania ( sidhani! ) mwenye Asili ya Asia uliopo mtaa ule ule nikiwa nimeongozana na rafiki yangu yuleyule kilichotokea alihudumiwa mwenzangu mwenye rangi nyeupe na mimi sikupata huduma yeyote ingawa wote pamoja tuliweka order at the same time! hapo sijui tuseme nini?
Kwa ufupi ukiangalia maisha wanayoishi hawa wenzetu utagundua wamejitenga wenyewe, tena kwa manufaa yao, Tazama Wana sehemu za special za kuishi, ( tembelea mikoa yote utaona ) Shule maalumu ( kwa ajili ya watoto wao! ) na sehemu maalumu za mikutano wenyewe wanaziita Tempo ( kama sikosei! )huko wanakaa na kujadili wanayoyajua wenyewe, pia na hili suala pesa zao wanazopata kupitia migongo yetu kuziwekeza katika sehemu maalumu, shortly the whole systems ama TAMADUNI walizojiwekea ndiyo zinazowafanya watuone sisi wabaguzi! ( hawaamini mtu ! ) na hapo hapo mimi ninasema kutokuwa na IMANI na Mwenzako huo ni ubaguzi tosha!, halafu wanasema wanatoa mchango wao katika taifa!!! upi? wa kupiga picha na ma Rais wetu na kutundika katika Maduka yao ! na kama wanajiona wao wana upendo wa dhati na nchi yao ya Tanzania kwa nini wanajinyima haki wao wenyewe kwa kuongoza kutoa Rushwa!? huu ndio unaoitwa ukosefu wa IMANI baina ya Jamii yetu.

Mimi ninachowaomba hawa jamaa ni wapunguze kutoa Rushwa huko TRA, UHAMIAJI na Taasisi nyingine za kijamii, wapunguze pia maisha ya kujionyesha( Showing off ) na tabia zingine zisizo muhimu, badala yake washirikiane na jamii inayowazunguka! USHAURI WA BURE!
 
Hili suala la lugha hebu tuliweke sawa kidogo. Kama angechaguliwa mtu ambaye kiingereza hakipandi, halafu baadaye wanaenda Sanya, China kwenye Miss World, hivi anafikiri ataulizwa maswali kwa Kifipa? As a matter of fact, lugha rasmi za Tanzania ni Kiingereza na Kiswahili na hili liwe changamoto kwa wale wote wanaotaka kugombea Umiss "wherever" bora wapandishe kiingereza chao na hata lugha nyingine za ziada. Hebu fikiria kama angekuwepo binti kati yao ambaye amepandisha Kiingereza na Kifaransa, halafu akijibu anajibu kwa kiingereza halafu anachombezea na kifaransa kidogo, huoni huyo angescore juu kuliko hata Richa!?

Kama tatizo ni kuwa wengine kiingereza kimekuwa "maimuna" sasa kwanini wamlalamike Richa? Sasa walitaka Richa naye azungumze kiingereza cha kuvunja vunja ili alingane nao?

mzee tatizo hapo si lugha kama unavyodai wewe the world is not english!!!mtu anaruhusiwa kuongea lugha ya kitaifa (sio kifipa bali kiswahili)na kinatafsiri wa tu ktk mashindano kwani uzuri si kuongea english kama Richa. hawa kamati ya miss tz ni kichwa cha mwendawazimu siku zote tunaiga tuuuu. kisa mhindi alishindaga basi nasi tupeleke muhindi akatuwakilishe. ANYWAYS MAJAJI WAJAMUONA NA AMERUDI KWA BI MKUBWA. NABII HUYU AMEKATALIWA NYUMBANI NA UGENINI PIA HAFAI JAMANII.
 
mzee tatizo hapo si lugha kama unavyodai wewe the world is not english!!!mtu anaruhusiwa kuongea lugha ya kitaifa (sio kifipa bali kiswahili)na kinatafsiri wa tu ktk mashindano kwani uzuri si kuongea english kama Richa. hawa kamati ya miss tz ni kichwa cha mwendawazimu siku zote tunaiga tuuuu. kisa mhindi alishindaga basi nasi tupeleke muhindi akatuwakilishe. ANYWAYS MAJAJI WAJAMUONA NA AMERUDI KWA BI MKUBWA. NABII HUYU AMEKATALIWA NYUMBANI NA UGENINI PIA HAFAI JAMANII.

Ndugu yangu Kamonga,
Unafahamu kuwa Wtanzania wengi walioshiriki mashindano haya kwa miaka iliyopita nao walishindwa pia,na je wao walikataliwa nyumbani na ugenini pia?

Kwa upande wapili nakubalina nawe kuwa lugha ya mashindano haya si Kiingereza,ingawa sikatai kuwa lugha ya Kiingereza ni lugha inayojulikana na kuongewa na watu wengi duniani na ni lugha rasmi ya pili hapa Tanzania.

Mlimbwende yeyote anaweza kutumia lugha moja kati ya lugha zote mbili.

Baada ya kuweka mambo sawa hapo sasa turudi katika suala zima la ubaguzi.Huko South Africa,Waafrika wa Msumbiji,Tanzania,Zimbabwe ..n.k wanavamiwa na kuuawa na Waafrika wa huko.

Hii ni kuonesha kuwa ubaguzi ni suala pana sana na linahitaji ufumbuzi wa kina.
Nikipata nafasi nzuru nitapenda kulijadili tena katika mustakabali mpana zaidi.
 
Kwanza kabisa nianze kwa kuchangia kuhusu uwezo wao wa kuwekeza kwanza kabisa wao husaidiana sana kuchangiana mtaji na mambo haya hufanyika katika majamatini yao.

Lakini pia wao kwa kuwa hawana extended family inawasidia sana kubana matumizi tatizo letu sisi tuna familia kubwa tunazobeba hivyo zinasababisha kuwa na matumizi makubwa na kuonekana hatuna uwezo wa kufanya biashara.
Mimi nilikuwa na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tunafanya naye katika shirika la moja la kitalii alichonieleza ni kwamba, kwa kuwa yeye hajaoa anapopata mshahara anamkabidhi mama yake kisha mama yake anampangia matumizi ambayo atatumia kila siku anapokuwa kazini.
Kama soda ngapi au kama ni bia ngapi n.k. sasa utaona kuwa sisi utaratibu huu hatuna na kijana anpopata ajira mara nyingine hata kula kwa wazazi wake hawezi kula na mara nyingine mzazi akiuliza inakuwa ni kosa kubwa

Kuhusu suala la ubaguzi hilo ni kweli maana katika mazingira yeyote wanayokuwepo watahakikisha kuwa nafasi iliyokuwepo wanaitumia kadri wanavyoweza.
Kuna kipindi katika ubarozi wa uengereza walikuwepo wahindi walikuwa wakiwasaidia sana wenzao kupata visa lakini hili nafikiri ni kwa mtu yeyeyote.

Hata ukienda Moshi ukiingia dukani halafu nyuma yako aje mchaga akisha salimia kichaga tu basi wewe utaachwa ahudumiwe mchaga kwanza labda kinachouma kwa wahindi kwa kuwa wao ni wageni na sisi ni wazawa basi .
 
Watu wengi humu ni mibaguzi tuu kama hao wahindi wanaowasema,yani chuki tuu bila sababu ila ni wivu tuu,rangi na stereo type...sitashangaa mkaingia mtaani kama South Africa kuanza kuwapiga wahindi eti wamechukua mali zenu na ishatokea pale mwehu mwenzenu mtikila alipokuja na sera zake za Ugabachori,ni elimu ndogo tuu na njaa ndio maana mna mawazo ya kishenzi hayo
 
ubaguzi katika maisha ya kawaida upo na huwezi kuukwepa kwani hata katika familia kuna kuna ubaguzi huu. katika hali tuliyonayo kama taifa ubaguzi wa kipato umekuwa mkubwa na hatua hii inapelekea wahindi hawa wabaguliwe kwani hakuna mhindi mwenye maslahi ambaye yuko mbali na mafisadi. hii imepelekea kuwaona kama wanakula nchi yetu na wamekiuka upendo ambao nyerere alitaka tugawane ka keki japo kidogo.
mazingira ya ushindi wa huyo mhindi yalikuwa na mashaka sana sidhani kuwa alikuwa kwenye ubora wa kumshinda sharifa??? kosa ni kuwa tulitizama rangi na kuwa wanahisa wakubwa wa wadhamini wanauasili na huyo mlimbende
 
Kuna mmoja aliuliuliza kwamba, iweje kwamba kwenye kila dili chafu kuna Mhindi ndani yake? Ukianzia na radar, richmond, EPA nk.
Tuendelee na mjadala
 
Mambo ya ubaguzi ni ya muda mrefu sana Tanzania

Ni vizuri kukumbushia huku; ili watu wajue kuwa kupinga ubaguzi ni lazima kuendane na consistency; usipinge kwa sababu hisia zimeumizwa upinge kwa sababu una kanuni unasimamia. Mtu atalia ati machotara wamebaguliwa lakini huyo huyo atakaa kimya akisikia Wachagga, Wahindi, Waislamu au Wakristu wakibaguliwa.
 
Ila mm siyo mbaguzi ila wahindi siwapendi kabixa wao ndiyo wabaguzi namba moja kama kitu nachokiomba wafukuzwe huku Tanzania wapuuzi sana hawa mashetani
 
Ila mm siyo mbaguzi ila wahindi siwapendi kabixa wao ndiyo wabaguzi namba moja kama kitu nachokiomba wafukuzwe huku Tanzania wapuuzi sana hawa mashetani

Unajichanganya!

Utasemaje wewe si mbaguzi halafu kwa wakati huo huo useme huwapendi Wahindi kwa sababu wao ndo wabaguzi halafu unaomba wafukuzwe Tanzania?

Moja ya alama za wabaguzi ni kukana kuwa wao ni wabaguzi! Na hicho ndo ulichokifanya wewe.
 
Unajichanganya!

Utasemaje wewe si mbaguzi halafu kwa wakati huo huo useme huwapendi Wahindi kwa sababu wao ndo wabaguzi halafu unaomba wafukuzwe Tanzania?

Moja ya alama za wabaguzi ni kukana kuwa wao ni wabaguzi! Na hicho ndo ulichokifanya wewe.
Katika watu nao wachukia dunia hii ni hao mashetani natamani ningekuwa kama ata Hitler ningewachoma wote wafie mbali fanya kazi kwao ndiyo utaamini ninayo yasema yani wao wanamuona mbongo kama uchafu fulani wakati wapo huku kwetu
 
Hawa makaburu weusi kama huyo Hoyce Temu huwa wananishangaza sana. Waswahili husema 'Ada ya mja hunena, muungwana ni vitendo'. Hoyce kwa muonekano ni MTU mwenye inferiority complex kubwa kwenye nafsi yake na inamtesa sana. Ndio maana Mara moja moja apatapo fursa hujitokeza hadharani kwa uwazi. Fedha anazotumia Hoyce na wenzie kununua mikorogo na mawigi au dawa za kulainisha nywele hazina hesabu. Ile effort na muda anaotumia wa kutaka kubadilisha maumbile yake ili aonekane kama muhindi unahuzunisha. Pengine katika hali ya kutafuta majibu, labda Sababu moja itakuwa Hoyce na makaburu wenzie hawakutaka Ritcha Adhia ashinde kwa vile angewaumbua. Kwenye msururu wa hao walimbwende utakuwa na mhindi wa kweli mmoja na wahindi feki kibao (akina Hoyce). She would be upstaging them all the time. Hakuna kitu kibaya duniani kama vile kuwa na hisia za udhalili yaani inferiority complex. You wanna prove that and if you can stomach some stupidity try watching vipindi vyake Channel10. The very title Mimi na Tanzania tells you all. Hawa ndio akina I, ME AND MYSELF. Tch tch tch tch tch ......................
 
Back
Top Bottom