Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo na offer yako pm huku mkuu
Mkuu Nataka Hiyo kitu aise Ebu Niambie Bei faster nichukue bossUnahitaji mzigo!??
Kwa specs hizo haipungui 1.4m
Wewe ni fala! Unavyotaja hiyo bei unajua hiyo pc ni used kwa kiasi gani??!
Boss hiyo ndyo ilikuwa ni offer yake lakini
Haina tatizo lolote... Haijamaliza hata mwaka tangu niinunue.... Nmeamua niitoe tu kwa sasa.. Chombo iko vizuri inapiga kazi vizuri tu , slim and portable . kama unahitaji njoo PM mkuu nikitaja bei hapa nitaleta vurugu nawajua wana jf walivyo... Kuna watu wanakuja pm na offer zao tunazungumzaspecs ziko standard.
Ila sielewi ni kwa nini hutaki kuweka bei hadharani au hata range ya bei basi.
Pia, imetumika miaka mingapi?
Ina tatizo lolote mbali na huo uhai wa battery?