Ana mentality ya kitoto sana na ya kishambaRelax, the "lady" knows nothing but SSD! Hana hoja zaidi ya hiyo! eti "ingekuwa na SSD ningenunua!" but in reality hana hata uhitaji, wabongo sijui kwanini tumejaa na roho za kwanini! Hivi ni lazima uharibu biashara ya mwenzio ndio wewe ufanikiwe?
Hii lugha mkuu si mahali pake hapa aiseWe mama ni Malaya??
No one is attacking u...u just commenting like a stupid person ndo maana umeona wengi wanajaribu kukuelimishaMnaniogopa kuni attack direct sababu mshagundua kuwa niko "nondo" kwenye hizo issues za computer hardware.
😀😀😀😀😀😀😀
Niko very updated.
Nawatoa jasho, mnajiuliza how comes najua vitu vingi. Loanisheni bongo zenu hizo, dunia inawaacha.
Nishachoka aise na ushamba wako wa SSD...it looks like unataka utangaze duka lako linalouza SSD coz this is the fourth time unapost kwenye thread yangu nyingine tofaut kuhusu SSD.....unasema zimepitwa wakati, wakati SSD sio jambo jipya pia stop misleading watu HDD itakuepo kwenye trend na itaendelea kuwa the most dominant drive kwenye mauzo kwa sababu ya affordability yake.....Btw ningeuza laptop yenye 1tb ya SSD hata wewe najua usingeafford
Npo Dar Es SalaamUpo wapi?
Tena umenikumbusha hapo kwenye RED! Nina mpango wa kuagiza iMac (manufacturer refubrbished) kutoka Apple Store! Kuna kipindi fulani enzi za JK, hapakuwa na kodi kwenye computer import! Ina maana hivi sasa kuna kodi kama kawa?! Kama ndiyo, una idea kodi zao zipo vp?!Zipo hadi zenye SSD za 500GB. Affordable kabisa Aliexpress ukiagiza. Usichukulie hapa Bongo utapigwa.
Ku-boot dakika sifuri tu, computer iko fasta kama calculator vile.