Hua unatulizaje Hasira.??

Hua unatulizaje Hasira.??

Hellow bosess;
leo saa tatu hii usiku kwa sababu zilizipo nje ya uwezo wangu kuna jambo lilinipa Hasira na kunikasirisha sana, nikajaribu kunyamaza ili zipungue nikaona haina matokeo ya haraka
Nikaa mau kuchukua ngua zangu chafu nikaenda kufua hasira nazo zikapungua sasa ivi fresh tu
Najikumbusha Now You See me 2 - MBC 2 hapa sina Hasira Hata chembe
Kama Hasira Ni hasara Hua unafanya nini kuepuka Hasira??
mi naweza nikae ata miaka mitano bila kupata hasira ila siku nikija pata hasira lazima alienikasirisha apasuke vema na boya akijichanganya kuamlia lazima utembezewe chai
 
Nikiwa na hasira hua nakunywa maji mengi sana, inanisaidia kushusha ile temper kisha natoka eneo nililopatia hasira na kama ni baby mama ndio kanikasirisha nitatoka nikirudi anapigwa shoo ya kibabe mpaka anaomba samahani za kila aina.

Baada ya hapo tunalala fofofo.

Eti show ya kibabe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naenda bafuni mampigia punyeto alieniudhi bila kujali jinsia yake thereafter nakua fresh.
 
Nimeshindwa kukuelewa...njoo unionyeshe
Kazi kwako.
images%20(2).jpeg
 
Halafu jana hukulala nyumbani.....funguo umewacha wapi? Tuanzie hapo....
Nililala bana...nilitoka mapema jogging nakuletea funguo usijali.

Haupatikani lkn.
 
Back
Top Bottom