Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

Chief-Mkwawa mara nyingi nimekuwa naona unasema kuwa satelite haiwezi toa internet yenye speed.
Lakini nimeona hilo bandiko kuwa safaricom itaweka satelite kwenye low orbit ethiopia kwa ajili ya kusambaza internet nchi nzima tena yenye kasi ya 4G. How is it so.
Screenshot_20210602-183819.png
 
Sio tetesi mkuu ni kitu ambacho kipo proved Harmony os ni android, kama mdau hapo juu alivyo sema wamebadili tu jina na muonekano ila code ni zile zile za Android.


Na ili kuficha emulator ya Harmony ina run kwenye server za Huawei mpaka uwe developer wanaekutambua ndio wa nakupa access, mimi na wewe haturuhusiwi kuchungulia.
kutengeneza eco-sytem ya mfumo endeshi ni ngumu mfano maana uanze kia kitu upya, macos na android ni linux based system na huawei kafanya hivyo kwa sababu android ni open source
 
Chief-Mkwawa mara nyingi nimekuwa naona unasema kuwa satelite haiwezi toa internet yenye speed.
Lakini nimeona hilo bandiko kuwa safaricom itaweka satelite kwenye low orbit ethiopia kwa ajili ya kusambaza internet nchi nzima tena yenye kasi ya 4G. How is it so.
View attachment 1806188
Ni rural area mkuu maeneo ambayo makampuni ya simu na Fiber hayawezi fika.

Si Ethiopia tu hata ujerumani wametangaza Ku subsidize Satelite Connection kwenye Vijiji vyao.

Sikatai satelite ni njia Bora ya kutoa coverage Nchi ama bara zima Sababu ina cover eneo kubwa, ila sio replacement ya mobile data ama Fiber internet Sababu hizo zinakupa speed zaidi. Fiber ya zuku ina ping 2ms tu, mobile data kama Voda na Tigo most of time ping ni chini ya 20ms, voda napata 17ms local ping.

Low orbit satelite ni kubwa kushinda 4g, ping zake zipo baina ya 3g na 4g, advertised ping ni 20ms mpaka 40ms na pia Sababu unabadili satelite mara kwa mara kunakuwa na lag fulani sometime disconnection, early beta users wanareport wifi calling, gaming zinapata disconnection kila baada ya dakika kadhaa.

Hivyo wale wazee wa kudownload, kuangalia YouTube, kuchat, na mambo mengine ya kawaida kwao haitawasumbua.

Ila kama unaangalia mpira online, wazee wa Voip, Skype na viber, kubrowse internet, unacheza games online ama kitu chochote kinachohitajika real time response satelite inazingua.
 
kutengeneza eco-sytem ya mfumo endeshi ni ngumu mfano maana uanze kia kitu upya, macos na android ni linux based system na huawei kafanya hivyo kwa sababu android ni open source
Sikatai mkuu, Huawei Walitakiwa waseme tu sisi os yetu imebase kwenye Android,

Sasa wao wanadanganya
1. Walisema inatumia micro kernel ambayo ipo faster kuliko os za sasa
2. Wa kasema from scratch imetengenezwa

Vyote viwili ni uongo.

Wenzao Amazon wala hawafichi, fire os ni android, wamei customize kama wanavyo taka, waka weka na Amazon app store na vitu kibao. Wanauza mamilioni ya vifaa, even Google baadhi ya Vitu anamcopy Amazon.
 
Ni rural area mkuu maeneo ambayo makampuni ya simu na Fiber hayawezi fika.

Si Ethiopia tu hata ujerumani wametangaza Ku subsidize Satelite Connection kwenye Vijiji vyao.

Sikatai satelite ni njia Bora ya kutoa coverage Nchi ama bara zima Sababu ina cover eneo kubwa, ila sio replacement ya mobile data ama Fiber internet Sababu hizo zinakupa speed zaidi. Fiber ya zuku ina ping 2ms tu, mobile data kama Voda na Tigo most of time ping ni chini ya 20ms, voda napata 17ms local ping.

Low orbit satelite ni kubwa kushinda 4g, ping zake zipo baina ya 3g na 4g, advertised ping ni 20ms mpaka 40ms na pia Sababu unabadili satelite mara kwa mara kunakuwa na lag fulani sometime disconnection, early beta users wanareport wifi calling, gaming zinapata disconnection kila baada ya dakika kadhaa.

Hivyo wale wazee wa kudownload, kuangalia YouTube, kuchat, na mambo mengine ya kawaida kwao haitawasumbua.

Ila kama unaangalia mpira online, wazee wa Voip, Skype na viber, kubrowse internet, unacheza games online ama kitu chochote kinachohitajika real time response satelite inazingua.
Nmekupata barabara mkuu. Shukrani kwa madini
 
Sikatai mkuu, Huawei Walitakiwa waseme tu sisi os yetu imebase kwenye Android,

Sasa wao wanadanganya
1. Walisema inatumia micro kernel ambayo ipo faster kuliko os za sasa
2. Wa kasema from scratch imetengenezwa

Vyote viwili ni uongo.

Wenzao Amazon wala hawafichi, fire os ni android, wamei customize kama wanavyo taka, waka weka na Amazon app store na vitu kibao. Wanauza mamilioni ya vifaa, even Google baadhi ya Vitu anamcopy Amazon.
kwa kuwa faster harmony os iko fasta, hayo mengine tuwaachie wao ila nimependa jinsi ambavyo unaweza kulinki devices tofauti kwa wakati mmoja
 
kwa kuwa faster harmony os iko fasta, hayo mengine tuwaachie wao ila nimependa jinsi ambavyo unaweza kulinki devices tofauti kwa wakati mmoja
Umejuaje kama ipo faster zaidi ya nyengine? Una test yoyote?
 
according to conference yao, na pia tunasubiri tuone simu ambazo zitakazo kuja na harmony os
Mkuu simu zina harmony os muda tu, hii ilizinduliwa juzi ni harmony 2.0, hii os imezinduliwa sep 2019 almost mwaka wa pili sasa, na flagship zao zote zina run Harmony kuanzia mate 20
 
Mkuu simu zina harmony os muda tu, hii ilizinduliwa juzi ni harmony 2.0, hii os imezinduliwa sep 2019 almost mwaka wa pili sasa, na flagship zao zote zina run Harmony kuanzia mate 20
mkuu baada ya kupigwa ban walikuwa wanatumia AOSP(android open source project) ambayo kila kitu ni android ila kinachokosekana ni google services, kumbuka google aliinunua android inc ila source code ni open na iko under apache kwa lengo developer yoyote anaruhusiwa kufanya customazation
 
Mkuu simu zina harmony os muda tu, hii ilizinduliwa juzi ni harmony 2.0, hii os imezinduliwa sep 2019 almost mwaka wa pili sasa, na flagship zao zote zina run Harmony kuanzia mate 20
baada ya kukosa google services huawei alianzisha huawei mobile services ana huawei app galery, ili kuruhusu wateja wao kutumia lakin waliweka option ya mtu kudownload google services. harmony os walianza majaribio kwenye smart watch zao pamoja na amart tv zao. ila kwenye simu ilikuwa bado na wanategemea huu mwaka baada ya kuizindua watazitumia kwenye huawei p 50 na mate 50 na baadhi ya simu nyingine, ila kwa series za nyuma ambazo zilikuwa zinatumia AOSP nazo zitapokea update ya harmony os
 
Hata hivyo wachambuzi wanasema ikiwa HarmonyOS haitafanikiwa kinyume na matarajio,

Sio "ikiwa haitafanikiwa kinyume na matarajio"

Sema "ikiwa haitafanikiwa kama yalivyo matarajio..."

Ukiambanatisha maneno mawili hasi yanakuwa chanya, na yanapoteza maana.
 
mkuu baada ya kupigwa ban walikuwa wanatumia AOSP(android open source project) ambayo kila kitu ni android ila kinachokosekana ni google services, kumbuka google aliinunua android inc ila source code ni open na iko under apache kwa lengo developer yoyote anaruhusiwa kufanya customazation
Hebu hata Google basi uone, sisi wenyewe humu jukwaani tunajua kama ni android muda kweli, Harmony hata kwenye simu ipo siku nyingi mwaka ama zAidi,

Hii video ya mwaka jana


Flagship karibia zote za Huawei zinarun Harmony mda mrefu tu.
 
baada ya kukosa google services huawei alianzisha huawei mobile services ana huawei app galery, ili kuruhusu wateja wao kutumia lakin waliweka option ya mtu kudownload google services. harmony os walianza majaribio kwenye smart watch zao pamoja na amart tv zao. ila kwenye simu ilikuwa bado na wanategemea huu mwaka baada ya kuizindua watazitumia kwenye huawei p 50 na mate 50 na baadhi ya simu nyingine, ila kwa series za nyuma ambazo zilikuwa zinatumia AOSP nazo zitapokea update y

Hebu hata Google basi uone, sisi wenyewe humu jukwaani tunajua kama ni android muda kweli, Harmony hata kwenye simu ipo siku nyingi mwaka ama zAidi,

Hii video ya mwaka jana


Flagship karibia zote za Huawei zinarun Harmony mda mrefu tu.

walikuwa wanatumia AOSP jamani
 
walikuwa wanatumia AOSP jamani
kumbuka huawei walikuwa na operating system yao ya LITEOS ambayo waliitengeneza toka 2015, harmony os iko based na lite os kulikuwa hakuna simu iliyokuwa inatumia harmony os
 
according to wikipedia harmony os kwa ajili ya simu na tablet imezinduliwa mwaka huu 2019, harmony os ilikuwepo lakini kwa vifaa vingine lakin pia kumbuka huawei walikuwa walishatengeneza operating system yao ya lite os, nakuweka sawa harmony os iko based na operating system ya lite os ambayo ni kwao na aosp

Screenshot 2021-06-04 at 10-00-57 HarmonyOS - Wikipedia.png
 
according to wikipedia harmony os kwa ajili ya simu na tablet imezinduliwa mwaka huu 2019, harmony os ilikuwepo lakini kwa vifaa vingine lakin pia kumbuka huawei walikuwa walishatengeneza operating system yao ya lite os, nakuweka sawa harmony os iko based na operating system ya lite os ambayo ni kwao na aosp

View attachment 1807751
Hapo hapo kwenye Wikipedia yako shuka chini mpaka kwenye release Angalia September 2020 China haikuzinduliwa? Tarehe moja na video niliokuwekea juu.

Na liteos ni micro kernel waliokuwa wanapiga watu changa la macho, kwenye hio hio link yako ya Wikipedia shuka chini mpaka section ya relationship between Harmony and Android imeelezewa vizuri.
 
nimesoma na sijapinga, labda baadhi ya watu walikuwa hawajui ila harmony os kuwa based na android toka mwaka 2019 ilikuwa inajulikana ni android based ila wao wameiboresha zaidi kwenye IOT pile lite os ilitengenezwa mahusui kwa ajili ya micro devices na vitu vingine upande wa iot hivyo ban ya usa ndo iliwafanya huawei kutaka kuifanya kuwa os moja kwa moja kilichosumbua ni archtecture yake ndo ilikuwa shida. ikiwalizimu kurudi aosp kufanya fork pia wakakombaini na os yao ya lite
 
Back
Top Bottom