HUBA vs JUA KALI: Tamthiliya ya Huba wamekosea wapi?

HUBA vs JUA KALI: Tamthiliya ya Huba wamekosea wapi?

Shida ya hizi series za Bongo unakuta huyo mtunzi hajui hata mwisho wa series yake.

Siku atakavyoamka na upepo atakaouona ndio anatunga mwendelezo.

Kimasihara hivi hivi unaweza kuta hizi tamthiliya zinagonga 2024 au hata 2030 huko, Wakati ilitakiwa ziishe muda mrefu sana hapo nyuma.

Mfano hiyo Huba ndio vituko vituko sijui ilianzaga mwaka gani.
Mfano mdogo tu.
Jamaa anasukuma eti Range halafu anapeleka proposal ya biashara Kwa unyenyekevu Kwa jamaa mwenye kipub uchwala anatembelea Bajaj anaetaka kutimuliwa kwenye nyumba na kaenda kukopa mkopo na kukataliwa.

Jua kali walianza vizuri tu lakini Mtunzi anairefusha bila sababu za msingi ilitakiwa iishe Muda mrefu saaana.
 
Mama ndiduyonmkorofi wale nao dah hiwa sichoki kuangalia ila niubwa namkubali sana

Juzi kaenda na nguo kufua
Af kuna yule mwenye kipala nina Mungu mpaka nimeuchukua msemo [emoji23][emoji23]
Gati ndio wa nina Mungu,mimi hanichekeshi sana.


Ngoma ipo Kwa Bi Ubwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanamwamkia shkamoo anajibu shkamoo na wewe [emoji1787][emoji1787]
Umebeba Nini kwenye fuko?
Eti nguo zako[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti hampati ng'ng'
Aisee yule mama ana balaa sana.


Mama Mwazani amenifurahisha kile kipande ambacho kimbembe alikabwa na mfupa wa samaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee Zahanati ya kijiji inakimbiza jamani[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Shida ya hizi series za Bongo unakuta huyo mtunzi hajui hata mwisho wa series yake.

Siku atakavyoamka na upepo atakaouona ndio anatunga mwendelezo.

Kimasihara hivi hivi unaweza kuta hizi tamthiliya zinagonga 2024 au hata 2030 huko, Wakati ilitakiwa ziishe muda mrefu sana hapo nyuma.

Mfano hiyo Huba ndio vituko vituko sijui ilianzaga mwaka gani.
Mfano mdogo tu.
Jamaa anasukuma eti Range halafu anapeleka proposal ya biashara Kwa unyenyekevu Kwa jamaa mwenye kipub uchwala anatembelea Bajaj anaetaka kutimuliwa kwenye nyumba na kaenda kukopa mkopo na kukataliwa.

Jua kali walianza vizuri tu lakini Mtunzi anairefusha bila sababu za msingi ilitakiwa iishe Muda mrefu saaana.
Shida finishing
Waandaaji almost wote wa kibongo wana finishing mbovu.
 
Gati ndio wa nina Mungu,mimi hanichekeshi sana.


Ngoma ipo Kwa Bi Ubwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanamwamkia shkamoo anajibu shkamoo na wewe [emoji1787][emoji1787]
Umebeba Nini kwenye fuko?
Eti nguo zako[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti hampati ng'ng'
Aisee yule mama ana balaa sana.


Mama Mwazani amenifurahisha kile kipande ambacho kimbembe alikabwa na mfupa wa samaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee Zahanati ya kijiji inakimbiza jamani[emoji91][emoji91][emoji91]
Kuna siku yule rafiki yyao alichukuoa pochi lake akafungua kakuta nywele biubwa sasa alivyoa anza lalama Dah acha kabisa huyu mama kiboko
 
Huba naipenda sana kibibi ananifurahisha sana sana

Af kuna kitimutimu da zu na baba juma dah huwa nacheka mpka nalia

Nikitoka hapo naangalia ya walimwengu na bigbrother siku imeisha ivyo

Kitimutimu huwa inafurahisha sana
 
Wacha mla mbususu addict nipite kimya. Mambo ya vijana.
Mimi hizo tu series za Ulaya season 1 naweza kuiangalia miezi 6.
 
Nimetoka nduki nikijua Ngeli ya Genge ya JuaKali kumbe mnazungumzia Profesa Bill na Maria...
 
Kadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.

Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models, haireflect maisha au?
Ngono na Rushwa havijawahi kumuacha mtu salama
 
Kadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.

Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models, haireflect maisha au?
Zote hamna kitu. Kuna kipindi nilianza kuona kama Ramata na juakali amepiga hatua ila nimekuja kugundua hakuna kitu. Story haiendi tukio moja analishikilia miezi mitatu yani epsode inaruka hakuna cha maana. Ukitaka kujua hilo tazama tamthlia kama Kina, matukio yanaenda yanakuja mengine. In short wabongo bado kwenye mtiririko wa hadithi. Huba ndio kabisa hakuna kitu hata mtunzi wa story hajui story yake anataka nini na wala inaenda wapi
 
Script writers wa Huba have outlived their usefulness. Hamna continuation wa story na content hazina reality. I suggest they cease with production na wajipange upya. Kazi ni uchawi na watu hawana kazi/biashara.
 
Back
Top Bottom