BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Mie sielewagi wanaodai zari anamafanikio sanaa....yapi???Hata wewe ungekua kwenye position ya zari ungejisikia, zari Ana kila kitu yani kakamilika kwa kweli Ana haki ya kuringa, tatizo huddah wivu tu unamsumbua, zari wala vera sio type yake, wale wako mbali kimafanikio ndio maana anagombana nao kila siku
Yeye na huddah wana tofauti gani mbona kama vile wote wadangaji tu mjini hapa...