Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

Hata wewe ungekua kwenye position ya zari ungejisikia, zari Ana kila kitu yani kakamilika kwa kweli Ana haki ya kuringa, tatizo huddah wivu tu unamsumbua, zari wala vera sio type yake, wale wako mbali kimafanikio ndio maana anagombana nao kila siku
Mie sielewagi wanaodai zari anamafanikio sanaa....yapi???
Yeye na huddah wana tofauti gani mbona kama vile wote wadangaji tu mjini hapa...
 
Mie sielewagi wanaodai zari anamafanikio sanaa....yapi???
Yeye na huddah wana tofauti gani mbona kama vile wote wadangaji tu mjini hapa...
Wote wadangaji ndio but wanatofautiana huyu anadanga anapata nn, zari Mali zake nyingi anazipata kwa mumewe na kupitia watoto, hata asipodanga ana uhakika wa kuishi maisha mazuri tofauti na huddah asipodanga hana maisha
 
Wote wadangaji ndio but wanatofautiana huyu anadanga anapata nn, zari Mali zake nyingi anazipata kwa mumewe na kupitia watoto, hata asipodanga ana uhakika wa kuishi maisha mazuri tofauti na huddah asipodanga hana maisha
Nilidhani umepatwa kwa tetemeko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu silazimishi ukweli, Wema alimpa Chibu hela aongezee amnunulie gari nzuri(aliongea mwenyewe Wema alipoojiwa), Bahati mbaya hakulipenda like gari.

Najua pia kwamba migogoro ilianza alipokuwa safari ya China na crew yake na baada ya zawadi ya gari ila walikuwa bado hawajaachana rasim wakati ajuza kajiingiza katikati ndiyo maana walikuwa wanaficha.

Huyo Bibi ni nyakunyaku mzuri tu ndomana hajiamini, Kama ndoa yake na Mwanaume aliyezaa naye watoto watatu ilimshinda ndi atamuweza Chibu ambaye hata hajamuoa.
Hivi ni hela au alimpa ile lexus ya pink mond auze ndo amuongezee hela ili amnunulie gari kali
 
Mie sielewagi wanaodai zari anamafanikio sanaa....yapi???
Yeye na huddah wana tofauti gani mbona kama vile wote wadangaji tu mjini hapa...
Zari ilikuaga zamani mafanikio kipind yupo na ivan alikua na maduka mengi uganda kwao na maboutique ya nguo sasa hivi yote kwishney limebaki jina tu hana tofauti na wema
 
Hawa mademu huwa wananishangaza sehemu moja tu... anyway, hata baadhi ya wanaume nao!! Unakuta eti mtu anamponda mtu mwingine kwa kigezo cha umri!!! Hivi si sawa na msichana mdogo kumcheka mwanamke mkubwa kwamba ana matiti yaliyolala wakati hata yeye mwenyewe yupo njiani kuwa na matiti yaliyolala!!!!

Halafu ningekuwa demu ningemuonea wivu sana Zari... manake baada ya kumkashifu kwa kigezo cha umri, ningeanza kujiuliza hivi nikishafika umri wa Zari bado nitakuwa na Zari's present look au ndo itakuwa basi tena!!! Bora nikashifu tumbo la Le Mutuz kv ni jambo lililo ndani ya uwezo wangu lakini nikashifu umri wake wakati nafahamu ikiwa Mwenyezi Mungu atanijaalia nami lazima nigonge uzee!!
Umemaliza
 
Manake manyaku nyaku mna hasira na Zari...jus kidding lol
Mm sina team Kati ya hawa wanwake wawili ila simpendi zari kwasababu Ana mambo ya kiswahili pia Ana roho mbaya hapendi ndugu wa domo hata birthday ya tiffa hawakuepo, she's not a wife material, she's so selfish hata kwa Ivan alikuw haelewani na ndugu zake .. Hapo utaona mwenye mapungufu ni yeye
 
Hiv kuna mtu mzima anayependa kuchambana na watoto kama mama wema ..... zari hajafika hata nusu ya umri wa huyo bibi nawashangaa mkisema zari mtu mzima aache kuchambana.....mtupishe huko na akili zenu fupi. Mlizowea kina penny wasioweza kuwajib mnapewa ukweli wenu.....tulieni mmeze dawa nyaku nyaku wa gizan..
Kwani mama Wema kaingiaje hapa au unaona mama wema na zari wako sawa agewise!! Yaani timu bibi bomba mna mapovu nyinyi
 
Kwani mama Wema kaingiaje hapa au unaona mama wema na zari wako sawa agewise!! Yaani timu bibi bomba mna mapovu nyinyi
Halafu umeongea point moja...hivi y sijawahi ona wale watoto wa zari wakipiga picha na bibi/babu, shangazi from upande wa baba?!? Au hata zari mwenyewe??....
 
wanaume wa zari
Ivan Semwanga
Isaac Lugudde
Farouk Sempala
General Jeje Odong
Moze Radio
Aziz Azion
Jose Chameleone
Isaiah
King Lawrence
Robert Ogwal aka Rasta Rob
Nigerian DJ
Exodus
DJ Shiru
Nigerian businessman
Tanzanian businessman who organizes her boat cruise in Dar es Salaam
Juma Seiko
Weasel TV
Diuuh kweli hili kahaba lililokubuhu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom