Ukweli ndio huo, majority wivu ndo unawasumbua! Majority ni wadogo kwa zaidi ya miaka 5 ukiwalinganisha na huyo Zari lakini kimuonekane wao wanaonekana ndo wana umri mkubwa!! Wakienda labor mara moja tu unaweza kusema ni 30 something kumbe ni 20 something!!! Hiki ndicho kinawasumbua!!hivi mtu wa miaka 33-40 ni Mzee? Kuna wadada wana miaka 34-45 hawajaolewa wala hawana watoto. Bado ni wabichi na beautiful.Uzee Wa 35 siulewi vizuri. Kuzaa kibiologia ni 49 mwisho. Wasichana wanamuoneaga Zari Wivu tuu siyo size yao kwa lolote. Ana sura nzuri, mrembo, tajiri anaishi kwake pazuri, ana usafiri Wa nguvu, msomi, Mama, kamuwin Diamond ambaye kila Dada anamtamani, yaani she is independent and classy Lady.