BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Mie sielewagi wanaodai zari anamafanikio sanaa....yapi???Hata wewe ungekua kwenye position ya zari ungejisikia, zari Ana kila kitu yani kakamilika kwa kweli Ana haki ya kuringa, tatizo huddah wivu tu unamsumbua, zari wala vera sio type yake, wale wako mbali kimafanikio ndio maana anagombana nao kila siku
Wote wadangaji ndio but wanatofautiana huyu anadanga anapata nn, zari Mali zake nyingi anazipata kwa mumewe na kupitia watoto, hata asipodanga ana uhakika wa kuishi maisha mazuri tofauti na huddah asipodanga hana maishaMie sielewagi wanaodai zari anamafanikio sanaa....yapi???
Yeye na huddah wana tofauti gani mbona kama vile wote wadangaji tu mjini hapa...
Nilidhani umepatwa kwa tetemeko[emoji23][emoji23][emoji23]Wote wadangaji ndio but wanatofautiana huyu anadanga anapata nn, zari Mali zake nyingi anazipata kwa mumewe na kupitia watoto, hata asipodanga ana uhakika wa kuishi maisha mazuri tofauti na huddah asipodanga hana maisha
mwendo kasi umemependelea bwanaa...Khaaaa
Hawa wanaojulikana tu wanajaza kipanya....sasa wasiojulikana je???si mwendokasi mbili zinajaa????
Aaah Dinazarde yupo kazin. [emoji2][emoji2]Hhheee huda ana michambo heavy ona hiiiView attachment 397960 geniveros
HehehehehehAaah Dinazarde yupo kazin. [emoji2][emoji2]
nafkr page yko ya Insta ina follower wa kutosha. [emoji6]
Hahahah kabisa aisee...mwendo kasi umemependelea bwanaa...
treni ya gongo la mboto kabisa...!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] angekua rastafari sasa hivi!!Hahahah kabisa aisee...
Imagine toka avunje ungo mpaka sasa.....
Semanuzuri wake haziachi alama [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] angekua rastafari sasa hivi!!
Hivi ni hela au alimpa ile lexus ya pink mond auze ndo amuongezee hela ili amnunulie gari kaliMkuu silazimishi ukweli, Wema alimpa Chibu hela aongezee amnunulie gari nzuri(aliongea mwenyewe Wema alipoojiwa), Bahati mbaya hakulipenda like gari.
Najua pia kwamba migogoro ilianza alipokuwa safari ya China na crew yake na baada ya zawadi ya gari ila walikuwa bado hawajaachana rasim wakati ajuza kajiingiza katikati ndiyo maana walikuwa wanaficha.
Huyo Bibi ni nyakunyaku mzuri tu ndomana hajiamini, Kama ndoa yake na Mwanaume aliyezaa naye watoto watatu ilimshinda ndi atamuweza Chibu ambaye hata hajamuoa.
Zari ilikuaga zamani mafanikio kipind yupo na ivan alikua na maduka mengi uganda kwao na maboutique ya nguo sasa hivi yote kwishney limebaki jina tu hana tofauti na wemaMie sielewagi wanaodai zari anamafanikio sanaa....yapi???
Yeye na huddah wana tofauti gani mbona kama vile wote wadangaji tu mjini hapa...
UmemalizaHawa mademu huwa wananishangaza sehemu moja tu... anyway, hata baadhi ya wanaume nao!! Unakuta eti mtu anamponda mtu mwingine kwa kigezo cha umri!!! Hivi si sawa na msichana mdogo kumcheka mwanamke mkubwa kwamba ana matiti yaliyolala wakati hata yeye mwenyewe yupo njiani kuwa na matiti yaliyolala!!!!
Halafu ningekuwa demu ningemuonea wivu sana Zari... manake baada ya kumkashifu kwa kigezo cha umri, ningeanza kujiuliza hivi nikishafika umri wa Zari bado nitakuwa na Zari's present look au ndo itakuwa basi tena!!! Bora nikashifu tumbo la Le Mutuz kv ni jambo lililo ndani ya uwezo wangu lakini nikashifu umri wake wakati nafahamu ikiwa Mwenyezi Mungu atanijaalia nami lazima nigonge uzee!!
Mm sina team Kati ya hawa wanwake wawili ila simpendi zari kwasababu Ana mambo ya kiswahili pia Ana roho mbaya hapendi ndugu wa domo hata birthday ya tiffa hawakuepo, she's not a wife material, she's so selfish hata kwa Ivan alikuw haelewani na ndugu zake .. Hapo utaona mwenye mapungufu ni yeyeManake manyaku nyaku mna hasira na Zari...jus kidding lol
Kwani mama Wema kaingiaje hapa au unaona mama wema na zari wako sawa agewise!! Yaani timu bibi bomba mna mapovu nyinyiHiv kuna mtu mzima anayependa kuchambana na watoto kama mama wema ..... zari hajafika hata nusu ya umri wa huyo bibi nawashangaa mkisema zari mtu mzima aache kuchambana.....mtupishe huko na akili zenu fupi. Mlizowea kina penny wasioweza kuwajib mnapewa ukweli wenu.....tulieni mmeze dawa nyaku nyaku wa gizan..
huyu yuko obsessed with mama wema!!Kwani mama Wema kaingiaje hapa au unaona mama wema na zari wako sawa agewise!! Yaani timu bibi bomba mna mapovu nyinyi
Si ndo hapo sasa [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mxiewwwwwww......we ukitamtamani dai unadhani kila mwanamke anamtamani?! Don't generalize plz.....he got nothing soooooo special to be admired by me
Halafu umeongea point moja...hivi y sijawahi ona wale watoto wa zari wakipiga picha na bibi/babu, shangazi from upande wa baba?!? Au hata zari mwenyewe??....Kwani mama Wema kaingiaje hapa au unaona mama wema na zari wako sawa agewise!! Yaani timu bibi bomba mna mapovu nyinyi
UkahabaKumbe mkuu, vp kwn sababu gani ilivunja ndoa ya Zari na Ivan?
Diuuh kweli hili kahaba lililokubuhu[emoji3] [emoji3] [emoji3]wanaume wa zari
Ivan Semwanga
Isaac Lugudde
Farouk Sempala
General Jeje Odong
Moze Radio
Aziz Azion
Jose Chameleone
Isaiah
King Lawrence
Robert Ogwal aka Rasta Rob
Nigerian DJ
Exodus
DJ Shiru
Nigerian businessman
Tanzanian businessman who organizes her boat cruise in Dar es Salaam
Juma Seiko
Weasel TV