Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

ohooo kumbe walisema alitembea na bilionea wa tz aliendaa party yake flani kule ug hawakumtaja jina
itakuwa ni ruge alivuruga

Watanzania tu ndio wanambabaikia hoko SA hamna anaemtambua nenda Kenya hana kiki kwao ndio kabisaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] 90% Ya followers wake watanzania Sijui wananini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katunzi chapa sana BIBI hadi kaomba pooo

Yaah na enzi zile sintah ndio alikua mpambe wa katunzi kuunganisha kwa bibi.so alivyokutana kwenye ndege na mondi alikua anakuja kwa katunzi baadae wakiwa Hotelini akawa anawasiana na mondi katunzi akambamba [emoji23][emoji23] Weeh wacha achezea makofi na kutimuliwa na kunyanganywa tkt ndio kumtafuta mondi
 
Watanzania tu ndio wanambabaikia hoko SA hamna anaemtambua nenda Kenya hana kiki kwao ndio kabisaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] 90% Ya followers wake watanzania Sijui wananini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
White party kenya ilidoda...

Alidhani wanashobo kama wabongo

Kutwa kubabaikia wanje
 
Live ukimuona wala sio rangi ya ajabu kiviiiiile......sasa akishaweka camera 3600....hata maji ya ray hayaoni ndani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dada angu alimuona Msasani...anakwambia total different na zari wa insta, halafu usoni ana mani nini cjui wala sio soft....nilichoka!
 
Halafu zari inaonesha ushost hauwezi asee hivi kiliishia wapi na sinta?
 
Halafu zari inaonesha ushost hauwezi asee hivi kiliishia wapi na sinta?

Nahisi ushoga ulikufa sbb ya katunzi.. Zari anahisi sintah ndio amevujisha hizo habari coz watu wangejuaje kama anakuja Tanzania kumfanya katunzi kama sio sintah
 
Watanzania tu ndio wanambabaikia hoko SA hamna anaemtambua nenda Kenya hana kiki kwao ndio kabisaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] 90% Ya followers wake watanzania Sijui wananini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watanzania ni mwendo wa uluga luga kwa kwenda mbele...yaani zile comments 300 hadi 400 kwa siku insta kwenye page yake zote za wabongo...wabongo wanasifia hata picha ya penseli kisa zari kapost[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…