Huddah hana cha kupotezaa...Hahahaha zari kaingia cha kiume this time.....
Last time Huddah alimchamba kuwa chibu mwenyrwe ni sawa na pizza boy....
Ila wote wanatafuta kiki tu
Anachamba kama mzaramo!!!View attachment 397830 huda si kwa chambo hili takatifuu hehe
View attachment 397831 aiseeee huda si wa kuchambana naee
sista duu wa Kenya Mwenye michambo ya hajja ya kumkomesha bibi kizee zari!Who is Huda!???
zari ana kipi?!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] alikua Malaya tu Ivan akamuokoaKwa kipi?
just like an East African labour ambassadorShe is an International prostitute from kenya also a drug user
cute mmoja kiboko ya Zari!!Who is Huda!???
Tunapendana sana...mbona hata nyie mpo mnaopenda mondi wengine king kiba na mnamponda sana tuYaani katika hii thread ndo utajua kwamba wasichana/wanawake hawapendani.
Huddah ndio kiboko ya kibibi Zari.Hahahaha zari kaingia cha kiume this time.....
Last time Huddah alimchamba kuwa chibu mwenyrwe ni sawa na pizza boy....
Ila wote wanatafuta kiki tu
Mwanzo nilikuwa namuelewa lakini nilipokuja kushtukia hii tabia yake ya dharau nilimkataa.zari ana madharau sana ,sikuwa namfuatilia zari au wema ila huyu dada ana madharau sana ndo maana hata mama diamond kamshindwa. birthday za watu watandale hata kuwawish hakuna .kapigwa stop madale chezea mama mond wewe
Kafie mbali huko,kwani huyo Huddah aliyetupa burudani sio mwanamke?Yaani katika hii thread ndo utajua kwamba wasichana/wanawake hawapendani.
Yani leo unanifurahishaaaaTunapendana sana...mbona hata nyie mpo mnaopenda mondi wengine king kiba na mnamponda sana tu
Mi Zari nilikua nampenda sana tuuu...
Ila alivyoanza kutojitambua kama mmama wanne nimemshusha P
Huddah nakapenda sana kale kabinti kako vizuri yy na vera sidika wote!
Hapo sasa.Zari kasahau kama na yeye ni mmoja wa nyakunyaku anahisi tumesahau kama alimnyakua Chibu toka kwa Wema.
Embu atulie huyo bibi kizee atuzalie tu Salama mtoto wetu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] woyooo wakuolewa hamisaaaaaHapo sasa.
Akitulize azae wa kuolewa Hamisa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
sana tu huo ndo ukweli nawapenda sana tu!Yani leo unanifurahishaaaa
Hata mimi nawapenda wote Vera na Huddah [emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nifahKafie mbali huko,kwani huyo Huddah aliyetupa burudani sio mwanamke?
Mbona tunampenda?
Zari ni mzuri hata kama ana umri mkubwa ajiulize akifikia umri wa zari atakuwaje? Nyani aoni kunduleHawa mademu huwa wananishangaza sehemu moja tu... anyway, hata baadhi ya wanaume nao!! Unakuta eti mtu anamponda mtu mwingine kwa kigezo cha umri!!! Hivi si sawa na msichana mdogo kumcheka mwanamke mkubwa kwamba ana matiti yaliyolala wakati hata yeye mwenyewe yupo njiani kuwa na matiti yaliyolala!!!!
Halafu ningekuwa demu ningemuonea wivu sana Zari... manake baada ya kumkashifu kwa kigezo cha umri, ningeanza kujiuliza hivi nikishafika umri wa Zari bado nitakuwa na Zari's present look au ndo itakuwa basi tena!!! Bora nikashifu tumbo la Le Mutuz kv ni jambo lililo ndani ya uwezo wangu lakini nikashifu umri wake wakati nafahamu ikiwa Mwenyezi Mungu atanijaalia nami lazima nigonge uzee!!
team zari utawajua tu!Hawa mademu huwa wananishangaza sehemu moja tu... anyway, hata baadhi ya wanaume nao!! Unakuta eti mtu anamponda mtu mwingine kwa kigezo cha umri!!! Hivi si sawa na msichana mdogo kumcheka mwanamke mkubwa kwamba ana matiti yaliyolala wakati hata yeye mwenyewe yupo njiani kuwa na matiti yaliyolala!!!!
Halafu ningekuwa demu ningemuonea wivu sana Zari... manake baada ya kumkashifu kwa kigezo cha umri, ningeanza kujiuliza hivi nikishafika umri wa Zari bado nitakuwa na Zari's present look au ndo itakuwa basi tena!!! Bora nikashifu tumbo la Le Mutuz kv ni jambo lililo ndani ya uwezo wangu lakini nikashifu umri wake wakati nafahamu ikiwa Mwenyezi Mungu atanijaalia nami lazima nigonge uzee!!