Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

Uwiiiiiii shkamoo Huddah [emoji119][emoji119][emoji119] sio kwa kichambo hicho mama!
Eti "I'm no brand ambassador of labor wards.
And I don't want to survive on child support for a living"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani katika hii thread ndo utajua kwamba wasichana/wanawake hawapendani.
Tunapendana sana...mbona hata nyie mpo mnaopenda mondi wengine king kiba na mnamponda sana tu
Mi Zari nilikua nampenda sana tuuu...
Ila alivyoanza kutojitambua kama mmama wanne nimemshusha P

Huddah nakapenda sana kale kabinti kako vizuri yy na vera sidika wote!
 
zari ana madharau sana ,sikuwa namfuatilia zari au wema ila huyu dada ana madharau sana ndo maana hata mama diamond kamshindwa. birthday za watu watandale hata kuwawish hakuna .kapigwa stop madale chezea mama mond wewe
Mwanzo nilikuwa namuelewa lakini nilipokuja kushtukia hii tabia yake ya dharau nilimkataa.
"A LABOR WARDS AMBASSADOR"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunapendana sana...mbona hata nyie mpo mnaopenda mondi wengine king kiba na mnamponda sana tu
Mi Zari nilikua nampenda sana tuuu...
Ila alivyoanza kutojitambua kama mmama wanne nimemshusha P

Huddah nakapenda sana kale kabinti kako vizuri yy na vera sidika wote!
Yani leo unanifurahishaaaa
Hata mimi nawapenda wote Vera na Huddah [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Akitulize kinin sasa? mbona mi sikielewi hicho cha kutulizwa Nifah
 
Hapo sasa.
Akitulize azae wa kuolewa Hamisa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] woyooo wakuolewa hamisaaaaa
Yani leo unanifurahishaaaa
Hata mimi nawapenda wote Vera na Huddah [emoji8][emoji8][emoji8]
sana tu huo ndo ukweli nawapenda sana tu!
Kafie mbali huko,kwani huyo Huddah aliyetupa burudani sio mwanamke?
Mbona tunampenda?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nifah
 
Hawa mademu huwa wananishangaza sehemu moja tu... anyway, hata baadhi ya wanaume nao!! Unakuta eti mtu anamponda mtu mwingine kwa kigezo cha umri!!! Hivi si sawa na msichana mdogo kumcheka mwanamke mkubwa kwamba ana matiti yaliyolala wakati hata yeye mwenyewe yupo njiani kuwa na matiti yaliyolala!!!!

Halafu ningekuwa demu ningemuonea wivu sana Zari... manake baada ya kumkashifu kwa kigezo cha umri, ningeanza kujiuliza hivi nikishafika umri wa Zari bado nitakuwa na Zari's present look au ndo itakuwa basi tena!!! Bora nikashifu tumbo la Le Mutuz kv ni jambo lililo ndani ya uwezo wangu lakini nikashifu umri wake wakati nafahamu ikiwa Mwenyezi Mungu atanijaalia nami lazima nigonge uzee!!
Zari ni mzuri hata kama ana umri mkubwa ajiulize akifikia umri wa zari atakuwaje? Nyani aoni kundule
 
Hawa mademu huwa wananishangaza sehemu moja tu... anyway, hata baadhi ya wanaume nao!! Unakuta eti mtu anamponda mtu mwingine kwa kigezo cha umri!!! Hivi si sawa na msichana mdogo kumcheka mwanamke mkubwa kwamba ana matiti yaliyolala wakati hata yeye mwenyewe yupo njiani kuwa na matiti yaliyolala!!!!

Halafu ningekuwa demu ningemuonea wivu sana Zari... manake baada ya kumkashifu kwa kigezo cha umri, ningeanza kujiuliza hivi nikishafika umri wa Zari bado nitakuwa na Zari's present look au ndo itakuwa basi tena!!! Bora nikashifu tumbo la Le Mutuz kv ni jambo lililo ndani ya uwezo wangu lakini nikashifu umri wake wakati nafahamu ikiwa Mwenyezi Mungu atanijaalia nami lazima nigonge uzee!!
team zari utawajua tu!
binamu muambie mondi binamu muambie mondi bin ladein aoe
ili atukate vilimilimi!
 
Back
Top Bottom