Hudah Monroe na Zarina watunishiana misuli kisa Diamond

Alimuacha Chibu kwa ile scandal ya kupewa zawadi ya gari kali wakati chibu alitoa Nissan Murano manyi. Kama utakuwa makini pia na safari ya china alokwenda Madam. Tangu hapo pakawa na mikwaruzano na ndipo wakaachana

Nadhani umesahau pia kwamba hiyo Murano walinunua wote wawili baada ya Wema kuuza gari yake ya mwanzo.
 
zari ana madharau sana ,sikuwa namfuatilia zari au wema ila huyu dada ana madharau sana ndo maana hata mama diamond kamshindwa. birthday za watu watandale hata kuwawish hakuna .kapigwa stop madale chezea mama mond wewe
Hilo hata mm kanikera yaani Ndugu wa diamond hawajahudhuria birthday ya tifa
 
Yaani Mimi mwenyew nimemdharau Sana yaani kwa umri wake si MTU wa kuchambana mitandaoni anajitia uzungu kumbe mswahili kupita hata mama mkwe wake, halafu kwa Diamond ataumiza kichwa Sana maana ni donoa donoa yule inawezekana hata huyo huda katongozwa
 
Huddah hana cha kupotezaa...
Zari anapaswa ajiheshimu tayari ni mzazi yule
Hapo anazini tu,akiolewa sijui itakuaje.….[emoji57]

Anachamba kama mzaramo!!!
Si ndo hapo sasa ,hajaolewa anakuwa hivi akiolewa je ? Na kwa diamond ndoa cjui
 
Uwiiiiiii shkamoo Huddah [emoji119][emoji119][emoji119] sio kwa kichambo hicho mama!
Eti "I'm no brand ambassador of labor wards.
And I don't want to survive on child support for a living"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kichambo kina ka ukweli flani[emoji3] [emoji3]
 
Karibu Eid kwangu tafadhali, sio kwa kunifurahisha huku [emoji11][emoji11][emoji11]
 
Wema mwenyewe alishasema kua tym zari ana date na mondi alikua ameshabreak n mondi. So zari km mwanamke kutongozwa na kukubali sio issue coz mondi alikua single (ameachana n wema) apo kamnyakuaje?
Una uhakika katongozwa?? Sasa mbona alitetongozwa anahaha zaidi ya aliyetongoza
 
Nilivyomwelewa nn ni yyt mwenye tabia ya kutembea na bwana na mwenzie. Unajua fika huyu ni mume wa mtu lkn wambeba juu juu ka mwewe. Japo kwa wengi walijua ni dongo la Hamisa Mobeto
Mwanamke kujiamini bibi weee,kama ameshakuweka ndani,umezaa na bado una mimba nyingine juu na unajiamini kisa unapostiwa maneno ya nini?

Huoni kama kuchamba huko ni dhahiri anachapiwa na anajua ndio maana anarusha mafumbo?
Kama bae wake anampa good good kizani na anampost 'in return' ya hizo 'good good' anazompa tatizo ni nini?

Ambane bwana ake na sio kuchambana na 'side chicks',ni kujishusha hadhi tu.
Na hili halijui...poor Zari [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Boss labour babu Weeh anategemea Watoto ili aongeze siku duniani Pyeee
Heheheee bibi yule ana mambo?
Farouk kaka wa watu broke mimba zake zilitolewa aliliaje?
Halafu kuna watu wanasifia eti kuzaa kwa mwanamke ni sifa.
Mbona hazai na masikini?
 
Maana yale mapenzi yako kwa EL....


NIKAJUA USHA RIP MDAA... Nifah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…