...........hudodesha kitanda kila baada ya mechi tu!

...........hudodesha kitanda kila baada ya mechi tu!

Mwambie awe anamaliza kwanza hiyo kitu kabla mechi haijaanza pengine itasaidia.
 
nitarudi,
mie bado mdogo hata sielewi ....loh!!!

BADILI TABIA..................utabadili tabia vipi kama umekithiri kwa visingizio kibao..............vaa uvaane[MENTION]@BADILI TABIA[/MENTION]
 
Mwambie awe anamaliza kwanza hiyo kitu kabla mechi haijaanza pengine itasaidia.

hiyo jeuri aitoe wapi wafikiri...........Rogi? [MENTION] Rogi[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
Mwambie awe anamaliza kwanza hiyo kitu kabla mechi haijaanza pengine itasaidia.

hiyo jeuri aitoe wapi wafikiri...........Rogi? [MENTION] Rogi[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
Nimetoka Kapa hapa

Ta Kamugisha pole sana..................fasihi simulizi siyo ya kila mtu........[MENTION]@Ta Kamugisha[/MENTION]
 
anaye kudodesha basi atakuwa ni kikojozi huyoooooooooooooo Hongera kwa Mashairi yako eee bwana wacha weeeeeeeeeeeee


...Wengine si vikojozi Mkuu bali ni Squirters...ukimshajua basi shurti kwa taulo kitandani/mpira au hapalaliki. Na hutokea wakati wa pambano 🙂🙂 na si baada.
 
...Wengine si vikojozi Mkuu bali ni Squirters...ukimshajua basi shurti kwa taulo kitandani/mpira au hapalaliki. Na hutokea wakati wa pambano 🙂🙂 na si baada.

sasa BAK hii nayo ni nini? [MENTION]@BAK[/MENTION]
 
dah ruta umemchunguza vema kweli?inawezekana kabisaaa kakeketwa.

hivi ndivyo wanavyokuwa....................ngoja siku mingine akinipa nitafanya utafiti wa aina hii
 
Nimechungulia kapu la utafiti kubaini chanzo chake........
Nimechungulia kauli lukuki kuainisha ni nini haswa.........
Nimechungulia kwa mhusika mwenyewe anijuze kulikoni....
Nimechungulia kila kona lakini majibu utata mtupu.......
Hivi ni kwanini hudodesha kitanda mara baada ya mechi tu?

Taarifa za uchunguzi huu hazitoi mwanga hata chembe....
Taarifa nyingine zakoroma hii ni dalili ya mnyanyaso utotoni...
Taarifa za mtaani kunisakizia ati ni matunda ya kazi yangu!
Taarifa za wapambe kushinikiza ni ushirikina wa wabaya wake!
Hivi ni kwanini hudodesha kitanda mara baada ya mechi tu?

Angelikuwa anajikojolea kila siku ningeona ni ugonjwa tu..
Angelikuwa ni mkavu baada ya mechi ningesema pengine unguli ni tiba.....
Angelikuwa nyan'ganyan'ga kabla ya mechi tu ningesema pengine amefanywa.....
Angelikuwa hudodesha kitanda siku moja moja tu ningehisi bakhati mbaya
Hivi ni kwanini hudodesha kitanda mara baada ya mechi tu?..



Sina ushahidi kama unamfuata shaban Robert
 
Daaah kwa hili sina msaada mkuu.. yani uwanja unakua chepechepe?

Samora10.....................umejuaje uwanja nao hudoda kama hayajakukuta................funguka...............[MENTION]@Samora10[/MENTION]
 
Back
Top Bottom