BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
nitarudi,
mie bado mdogo hata sielewi ....loh!!!
mie bado mdogo hata sielewi ....loh!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitarudi,
mie bado mdogo hata sielewi ....loh!!!
Nimetoka Kapa hapa
anaye kudodesha basi atakuwa ni kikojozi huyoooooooooooooo Hongera kwa Mashairi yako eee bwana wacha weeeeeeeeeeeee
...Wengine si vikojozi Mkuu bali ni Squirters...ukimshajua basi shurti kwa taulo kitandani/mpira au hapalaliki. Na hutokea wakati wa pambano 🙂🙂 na si baada.
dah ruta umemchunguza vema kweli?inawezekana kabisaaa kakeketwa.
Haya mashairi wayatoa wapi????
Bila bila.
Nimechungulia kapu la utafiti kubaini chanzo chake........
Nimechungulia kauli lukuki kuainisha ni nini haswa.........
Nimechungulia kwa mhusika mwenyewe anijuze kulikoni....
Nimechungulia kila kona lakini majibu utata mtupu.......
Hivi ni kwanini hudodesha kitanda mara baada ya mechi tu?
Taarifa za uchunguzi huu hazitoi mwanga hata chembe....
Taarifa nyingine zakoroma hii ni dalili ya mnyanyaso utotoni...
Taarifa za mtaani kunisakizia ati ni matunda ya kazi yangu!
Taarifa za wapambe kushinikiza ni ushirikina wa wabaya wake!
Hivi ni kwanini hudodesha kitanda mara baada ya mechi tu?
Angelikuwa anajikojolea kila siku ningeona ni ugonjwa tu..
Angelikuwa ni mkavu baada ya mechi ningesema pengine unguli ni tiba.....
Angelikuwa nyan'ganyan'ga kabla ya mechi tu ningesema pengine amefanywa.....
Angelikuwa hudodesha kitanda siku moja moja tu ningehisi bakhati mbaya
Hivi ni kwanini hudodesha kitanda mara baada ya mechi tu?..
Duh, natamani kuchangia lakini ngoja kwanza nikajipange...
Daaah kwa hili sina msaada mkuu.. yani uwanja unakua chepechepe?