...........hudodesha kitanda kila baada ya mechi tu!

...........hudodesha kitanda kila baada ya mechi tu!

kuuliza si ujinga... unamaanisha nin kudodesha kitanda Rutashubanyuma
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma hii mada ipeleke kule GF Doctor hapa watu wanacheza makida makida tu!
 
Last edited by a moderator:
Big up !!
Rutashubanyuma, sasa wewe umemwagia maji unataja asidodeshe kitanda?

Ukimwaga unga anatoa ugali, nzuri zaidi ukimwaga mchanga anakupa tofali.


Na ukiamua unaanzisha mradi wa uvunaji maji au badala ya kufanyia mechi kitandani fanyieni bustanini, mnamwagilia kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu hili jibu swadata na kama atasema haelewi basi imekula kwake
Rutashubanyuma, sasa wewe umemwagia maji unataja asidodeshe kitanda?

Ukimwaga unga anatoa ugali, nzuri zaidi ukimwaga mchanga anakupa tofali.


Na ukiamua unaanzisha mradi wa uvunaji maji au badala ya kufanyia mechi kitandani fanyieni bustanini, mnamwagilia kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma, sasa wewe umemwagia maji unataja asidodeshe kitanda?

Ukimwaga unga anatoa ugali, nzuri zaidi ukimwaga mchanga anakupa tofali.


Na ukiamua unaanzisha mradi wa uvunaji maji au badala ya kufanyia mechi kitandani fanyieni bustanini, mnamwagilia kabisa.

Hata mkulu wa kaya angepata mshauri hata mmoja kama wewe nchi isingekuwa hapa ilipo
 
Last edited by a moderator:
kazi kweli kweli makubwa lakini mchezo ndio hutoa mazao ya match
 
Back
Top Bottom