...........hudodesha kitanda kila baada ya mechi tu!

...........hudodesha kitanda kila baada ya mechi tu!

Sina ushahidi kama unamfuata shaban Robert

Moyo wa Glory.....shaabani Robert anatoka wapi kwenye hili?.............[MENTION]@Moyo wa Glory[/MENTION]
 
Rutashubanyuma, sasa wewe umemwagia maji unataja asidodeshe kitanda?

Ukimwaga unga anatoa ugali, nzuri zaidi ukimwaga mchanga anakupa tofali.


Na ukiamua unaanzisha mradi wa uvunaji maji au badala ya kufanyia mechi kitandani fanyieni bustanini, mnamwagilia kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Yaan ruta kaka kama safar ya moro nyie mpo kibaha mi ndo kwanza nipo ubungo maana umeniacha kabisaaa
 
Hapo mi ndo sijaambulia kitu wazee, we Luta hebu fafanua labda bwana, dare to talk openly.
 
Rutashubanyuma, sasa wewe umemwagia maji unataja asidodeshe kitanda?

Ukimwaga unga anatoa ugali, nzuri zaidi ukimwaga mchanga anakupa tofali.


Na ukiamua unaanzisha mradi wa uvunaji maji au badala ya kufanyia mechi kitandani fanyieni bustanini, mnamwagilia kabisa.
[MENTION]
Kongosho[/MENTION] yaelekea wamo na wapangaji wamejaa..........lol
 
mhh ruta pole, mvalishe pampers baada ya mechi!

cacico nimavalishe au ajivalishe............si wanasema naop wanaweza au kuweza ni kwenye msosi pekee ake?
 
Last edited by a moderator:
Yaan ruta kaka kama safar ya moro nyie mpo kibaha mi ndo kwanza nipo ubungo maana umeniacha kabisaaa

Meritta mapaka yakukute khalafu nawe utasimulia tena vizuri zaidi yangu.............lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom